UHUSIANO WA VITI VYA ENZI NA MAFANIKIO YAKO | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, March 19, 2015

UHUSIANO WA VITI VYA ENZI NA MAFANIKIO YAKO


Somo hili limenukuliwa na dada yetu mpendwa Josephina aliyehudhuria semina ya mwalimu Christopher Mwakasege iliyofanyika viwanja vya Jangwani jijini Dar es salaam hivi karibuni. Kwakina zaidi ya neno hili wasiliana na wahusika ili ununue Audio CD na video. Mbarikiwe


Mwalimu Christopher Mwakasege

UHUSIANO WA VITI VYA ENZI NA MAFANIKIO YAKO

Mahali: Viwanja vya Jangwani

Mnenaji; Mwalimu  C.Mwakasege


Day:1

Nini Maana ya Kiti cha Enzi

Ni nafasi ya utawala ambayo iko katika ulimwengu wa Kiroho yenye mamlaka juu ya mwelekeo wa maisha ya watu
Nafasi hii utikuta katka ngazi tofauti

1.Siasa

2.Familia

3.Huduma

4.Taifa

5.kabila

6.Kanisa

7.Jamii NK

Kimuonekano kunaweza kukawa na kito cha kawaida mf:kanisan au maaskofu anapokua hayupo huwa kiti chake kinafunikwa au hakiruhusiwi mtu kukalia kwa ishara ya kwamba amepewa heshima na watu wanaomzumguka na anaongea kwa kiti sio kama yy

Mat 23:1,2

Kutok 3:9,10

Kutk 4:12-16

Musa alipokufa kiti chake kiliendelea kubaki na Mungu alimpa Nafasi ili aheshimike Kiroho na kiutawala

Mungu akikupa kiti anaheshim na kusikia maneno yanayotoka kwa Yule aliyeko au aliyekalia kiti Hicho

Mat 22:14

Shetani hana shida na na waitwao anashida na Mteule au wateule

Mf:katika uchaguz wa nafasi au kiti cha Urahis waliopeleka kugombea nafasi izo kutoka katka vyama vyao wao ni wateule katika chama chao ila katka tume ya uchaguz ni waitwao na atakayepita katka na kuwa Rais yy ndio Mteule

Rais akisimikwa ndio anakua mwenykt mana hawz kuwa mwkt akat yuko Rais mwengine ambae bado hajaachia kiti

Ufunuo 3:21

Efeso 2:6

Efeso 1:20
Katikati ya kuchaguliwa na kuketi kuna mapambano kwaiyo huwez kuketi bila kushindana au kupambana

Ufun 13:1,2,7,9

Shetani akikuvuruga katka kusikia kwako kavuruga imani yako

Ni hatari sana kwa kanisa kutegemea upako kuliko kuka katka kiti

Ufunuo 2:12-17

Matend 1:8

Antipas alikua na uwezo wa kuhubir lakin alikua hana mamlaka wa kulinda kazi ya Mungu na usalama katka kile anacho hubir na aliyekaa ktka kiti cha peligamo ni mchungaj wake ambae alikaa katka kiti cha enzi cha shetani

Sifa lakanisa la peligamo hilo walikua na kiburi cha uzima na walikua vuguvugu

Ufunuo 22

Mungu aliweka kiti katika Kiti Hema alilotengenezewa na wana wa israel

Kazi ya kiti ni kutengeneza mazingira ya kiroho na kupitisha mambo na kulinda mambo yaliyopitishwa kiroho

Mf:Wamama walioolewa katka makanisa ambao mume wao amekaa katka kiti cha enzi cha shetani chek viroho vyao

Cheki nchi ambayo wamesema itaongozwa kwa minaji ya kiislam chek wakristo walioko hawana uhuru na usalama wa viroho vyao

Yeremia 1:10

Ukiwa na mamlaka ya kiti au ukikaa katka kiti umepewa mamlaka ya unabomoa na kuvunja

Kama kila anayekataa kiti eidha cha uongoz nani atakayebomoa?na huwez bomoa,kuvunja kama hujakaa katka kiti mana huna mamlaka

Isaya 6:1

Watu wengi wanafikiria kwamba Shetani kawapiga bao ktk huduma yao katka utumish wao na hakuna faina wala manufaa kumbe laa,kuna mtu kakaaa katka icho kiti ambacho kinamfanya awe kipofu na haoni kitu cha Mungu kwasababu hayupo katka kiti

Na huwez kukaa katka kiti au kaama hujapigana au kupamana

Unataka kuona mafanikio katka familia au ofic au kanisan chek kile kiti cha hapo mahali na mpe Mungu nafasi

Asomaye na afahamu



MWL MWAKASEGE JANGWANI-SIKU PILI. 02/MARCH 2015

SOMO: UHUSIANO WA VITI VYA ENZI NA MAFANIKIO YAKO.

Ufunuo 13:1,2,7,8,9.

Somo hili ni zito kidogo maana kuna wito ndani yake.

Kama tulivyosema jana kiti kinatoa mamlaka.


JINSI SHETANI ANAVYOTUMIA VITI VYA ENZI KUKWAMISHA MAFANIKIO YAKO.

Soma habari za Joka,alimpa mnyama kiti,Nguvu na uwezo mwingi ili kufanya vita na watakatifu na aliwashinda wengi.Nguvu juu ya kila jamaa na kabila ili Wamwabudu yeye.

Kwa kawaida alitoa nguvu,mamlaka na uwezo mwingi(mamlaka) ili kuwapiga vita watakatifu.

Watakatifu ni nani?Ni yule aliyetengwa ili aweze kufanya kusudi la Mungu.Matakatifu sio tu mtu aliyeokoka au mkristo.

Mtakatifu ni zaidi ya aliyeokoka.si kila aliyeokoka anasimamia kusudi la Mungu.

Inawezakana mtu si mkristo au hajaokoka Mungu anaweza kumtenga kusimamia kusudi.huyu ni mtakatifu.

Mfano :Kama Nebukadreza.kile kiti haikuwa cha shetani ila shetani alifanya kufoji.

Ufunuo 13:Shetani anapiga vita mtu aliyetengwa kwa kusudi.mfano ofisini.hata kama hujaokoka jaribu kutetea haki utaona.

Haki si suala la ukristo ni kanuni za mbingu.

Ufunua 5:9-14.

Nao waimba wimbo mpya......

Yesu alimnunulia Mungu watu wa kila kabila.naye Joka alimpa mnyama nguvu ya kufaya vita na watu wa kila kabila.

Yesu anataka asujudiwe na kila kabila na kila lugha, shetani naye anataka watakatifu waliotengwa na damu ya Yesu na kupambana nao.Pamoja na kwenye ukoo au familia shetani yupo tu anatafuta watakatifu.

Ufalme wa Mungu ni the highest form of government.incomparable

Shetani anang'ang'ana kila mahali.

Ukiokoka Yesu anakupa na shetani naye anawapa watu wake vile vile.

Vitani tunaenda na nguvu na mamlaka ila shetani anakuja na kiti,nguvu na mamlaka.USISAHAU KITI ULICHOPEWA NA YESU VITANI.

Shetani anapambana na watu wasifahamu mamlaka ulionao ndani ya Yesu.

Kula hazikupi utawala bali zinaonyesha unaopendwa kiasi gani.ila mwenye mamlaka ni mwenye kiti.

Ukiwa na nguvu,upako na ufunguo bila kiti unakosa kitu kikubwa sana.

1Kings 2:12

Kiti kinatenga mamlaka ya kiti na kiti

Ufunuo 21:3-5

Yeye aketiye..........

Kutoka 25:17-22.

Kuna tofauti Mungu akisema ukiwa kwenye kiti na ukiwa nje kiti.

Sisi hatupo kwenye hema iliofanywa na mikono ya binadamu.ili viti vyetu ni vya Rohoni.

Farao aliota ndoto lakini Mungu akaifunga asielewe kwa sababu waganga wangejipatia heshima.Ila akamtumia mtu aliyeketi kwenye kiti (Yusufu)

VITU VINAVYOWEZA KUTOKA KWENYE KITI CHA ENZI INATEGEMEA KAZI YA KITI.

Waebr 4:16.

Ufunuo 20:16.

Yesu aliketi kwenye kiti cha Rehema.ni Yesu yule yule aliketi kwenye kiti cha hukumu.

Kiti kinambadilisha mti.

Mfamo.mpeleke Mke wako akasome U judge halafu uwe MWIZI.

Usicheze na Yesu.

Kuna wakati wa Rehema na hukumu.

Kuna vitu unaweza kura kwa sababu anaketi kwenye kiti.KITI KINATOA.

Matendo 12:1.....

Matendo 11:27-30.

Herode alipokufa Neno lilienea.

Shetani anatumia watu walioko madarakani kuzuia haki,huduma n.k.

Herode alimfunga petro kuwafurahisha wayahudi.

Kiti kilikuwa ni kikwazo kwenye huduma ya mitume.

SHETANI ANAPAMBA NA WATEULE.

HERODE si jina la mtu ni jina la CHEO.

Herode namba 2.alikata kichwa cha Yohana mbatizaji.

Herode namba 3.alimuua Yakobo na kumfunga Petro.

Herode namba 4:ni mfalme Agripa.

USICHEZE NA VITI ILIMFUNGA NEBUKADREZA MIAKA SABA KAMA MNYAMA.

Inakuwaje kanisa hakuna hat mmoja aliyeketi kwenye kiti na Yesu mnamsukumia nje kama kanisa la LADOKIA.

Walimpiga Mchungaji kondoo wakatawanyika.

Nani anayejua thamani ya Yakobo.nani atakayeomba kwa ajili ya kina Yakobo katika familia,ndoa,ukoo na nchi.

Shetani anapigana na wakristo wasikae kwenye viti.Yesu alikuja na ufalme begani mwake.

Yesu hakuja kupigana vita duniani walishapigana mbiguni na shetani akashindwa.duniani YESU HAKUHITAJI ROUND YA PILI DUNIANI.
source.Gospel Kitaa™ 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhijb-QW77aU9WlbGn6jYv1e7hG18FhYt-pm6f-qap513aBpqnDOQKx4tjzLkBglSxWPIiB0xMSrPB4w01cXujqQUl7iaxx99ivmpaMCYUwTH7nFEzOzuJw2UF5MqYjUqFPCndz31UYDUT0/s400/DSC_0030.JPG
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.