MKUTANO WA INJIRI | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Tuesday, July 30, 2013

MKUTANO WA INJIRI

BONNKE KUFANYA MKUTANO MKUBWA MWEZI WA 8 HAPA TANZANIA

Mhubiri wa injili wa kimataifa Reinhard Bonnke anatarajiwa kufanya mkutano mkubwa wa injili jijini Dar. mkutano huo utakaoanza tar 21-25/08/2013. mkutano huo mkubwa unatarajiwa kufanyika katika viwanja vya nje ya uwanja wa taifa. taarifa zilizoifikia blog hii maandalizi mbalimbali zimeshaanza ikiwapo Maombi, kikundi cha kusifu na kuabudu, watu wa matangazo, wasimamizi wa wahudumu na idara mbalimbali. Muandaaji mkuu wa mikutano hiyo ukanda wa africa alisha wasili hapa tangu wiki iliyopita ili kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa, kumekuwa na vikao vya mara kwa mara vya wachungaji wenyeji wa mkutano huo wa makanisa ya hapa Dar. upande wa matangazo kutakuwa na cinema za mikanda ya mwijilisti huyo itakayoonyweshwa kwenye nitaa mbalimbali ya hapa Dar.


Bonnke anakuja tz baada ya kupata mwaliko na askofu mkuu wa TAG ampaye alikutana naye mapema mwaka huu huko marekani, kwa mara ya mwisho mkutano wa mtumishi huyu ulifanyika mwaka 98 ambapo maelfu ya watu waliokoka na kufunguliwa. vipeperushi ambavyo vimeshatoka vinamtaka kila muumini aalike watu wasiopungua watu 10 ili waje kwenye huo mkutano. awali mkutano huo ulikuwa ufanyike katika viwanja vya jangwani lakini kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea kwa sasa ilionekana itakuwa usumbufu kwa watakaokuwa wakitumia barabara ya morogoro.
 kama unataka kuwa mhudumu kwenye mkutano huo onana na mchungaji wa kanisa lako ili upewe maelekezo. ikumbukwe mwezi uliopita Bonnke alikuwa nchi ya Kenya na alifanya mkutano mkubwa sana katika viwanja vya uhuru na sasa ni zamu ya Tanzania na utafanyika viwanja vya nje ya uwanja wa uhuru.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.