Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Sunday, April 9, 2017

DAY 8: SEMINA YA NENO LA MUNGU DODOMA- MWL. MWAKASEGE

SEMINA YA NENO LA MUNGU DODOMA UWANJA WA BARAFU NA MWL MWAKASEGE*
SOMO: *FAHAMU YAFUATAYO KUHUSU NDOTO UNAZOOTA ILI UFANIKIWE KIMAISHA*

*APRIL 9, 2017*
*SIKU YA 8*
DOWNLOAD KITABU CHA HONGERA KWA KUOKA https://drive.google.com/…/0BxdP6mgDJWByVERtampLTGZWR…/view…
SALA YA TOBA http://www.mwakasege.org/mafundisho/okoka.htm
Lengo: Kuimarisha uhusiano wako na Mungu ili ufanikiwe kimaisha.
Ndoto ni njia ambayo Mungu anatumia kuongea na mtu, na kwa wakati ule wetu ilikuwa shida sana kupata masomo haya ya ndoto. Kwa hiyo hii ni neema kusikia masomo haya kwa wakati huu. Tafsiri za ndoto zipo kwenye biblia kwa hiyo fuatilia hatua kwa hatua.
*Na nilikuambia tunaandika kitabu cha Ndoto na tunaomba Mungu atusaidie kitoke mwaka huu.*
*Summary*
_Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe. Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,Ayubu 33:14‭-‬15 NEN_
👉Ndoto ni njia ambayo Mungu anatumia ili uweze kusikia kitu ambacho Mungu anataka kukuambia
_Ikawa, mwisho wa miaka miwili mizima, Farao akaota ndoto; na tazama, amesimama kando ya mto. Na tazama, ng’ombe saba wazuri, wanono, walipanda kutoka mtoni, wakajilisha manyasini. Na tazama, ng’ombe saba wengine wakapanda nyuma yao kutoka mtoni, wabaya, wamekonda, wakasimama karibu na wale ng’ombe wengine ukingoni mwa mto. Kisha hao ng’ombe wabaya waliokonda wakawala wale ng’ombe saba wazuri, wanono. Basi Farao akaamka. Akalala, akaota ndoto mara ya pili. Tazama, masuke saba yalimea katika bua moja, makubwa, mema. Na tazama, masuke saba membamba, yamekaushwa na upepo wa mashariki, yakatokeza baada yao. Kisha hayo masuke membamba saba yakayala yale masuke saba makubwa yaliyojaa. *Basi Farao akaamka, kumbe! Ni ndoto tu*.MWANZO. 41:1‭-‬7 SUV_
👉Farao aliposema kumbe ni ndoto tu ina maana alikuwa anataka kudharau. Na naamini wewe sasa hutaweza kudharau ndoto .
Na ndoto zina vyanzo mbali mbali japo Mungu anaweza tafsiri ndoto zote.
1. Mungu
2.Shetani
3 Shuguli nyingi unapokosa vipaumbele vya kutumia muda vizuri unakuwa na shughuli nyingi maana yake hazina mpangilio
4.Hali ya Kiroho ya mahali unapolala.
Mungu ndiye aliyetengeneza lango la ndoto na kwa kuwa hatujui namna ya kulinda shetani nae analitumia. Na nilikufundisha kuwa linalindwa kwa kwa damu ya Yesu. Ndio inatumika kuziba lango la ndoto
Kama hukuwepo hakikisha unapata kanda na sikiliza itakusaidia sana.
Jana nilipitia baadhi ya ndoto na nyingi sana ni ndoto za shule. Na jana nilikupa mtaji wa kuanzia kufanya maombi
*UMUHIMU WA KUFANYA MAOMBI YA KUONDOA KINACHO KUFUATILIA KWA NJIA YA A NDOTO TOKA KWENYE ENEO UNALOLALA AU ULILOWAHI KULALA*
1⃣ *SEHEMU YA KWANZA*
*.Kutoka eneo unalola*.
Nyumbani kwako, hotelini, kazi, nyumba ulipanga
_Yakobo akatoka Beer-sheba, kwenda Harani. Akafika mahali fulani akakaa huko usiku kucha, maana jua lilikuwa limekuchwa; akatwaa jiwe moja la mahali pale akaliweka chini ya kichwa chake, akalala usingizi pale pale. *Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake. Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako*. Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa. Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia._
_*Yakobo akaamka katika usingizi wake, akasema, Kweli BWANA yupo mahali hapa, wala mimi sikujua. Naye akaogopa akasema, Mahali hapa panatisha kama nini! Bila shaka, hapa ni nyumba ya Mungu, napo ndipo lango la mbinguni*.MWANZO. 28:10‭-‬17 SUV_
Yakobo alipolala na aliota ndoto na kazi ya ile ndoto ilikuwa na kazi kubwa ya kumtaarifu juu ya mahali alipolala.
Na Mungu alikuwa anajitambulisha kwake na ndio maana yako alisema hapa ni nyumba ya Mungu. Ina maana mahali pale palikuwa uwepo wa Mungu.
Jambo lingine ni lango ina maana kuna vitu vya kiroho vinapita pale kutoka katika ulimwengu wa roho kuja ulimwengu wa mwili.
Tulikuwa mkoa mmoja na tulikuwa tunajenga hema, na kuna watu walikuja na wakasema hapa mnapojenga hema mnakata network zetu. Na walisema tutaona nikasema haisha shida. Na tulijua kabisa ni wachawi.
Baada ya siku 2 mchawi wa kwanza aliokoka na wakaenda kutafuta mchawi mwingine mkubwa maana na wao wana ngazi zao.
Jumamosi alikuja kupambana na sisi. Alijaribu kila kitu na alishindwa na akarudi nyumbani kwake na anakaandika bango lake na kuwa mganga wa kienyeji.
Na alikuwa na uwezo wa kujigeuza umbo lolote na anaingia chumbani kwake na anafungua hata Ardhi. Na alishangaa aliporudi nyumbani kwake alijaribu kila kitu alishindwa.
Na ilibaki moja na alikuwa na kadi ya ATM, na alikuwa anatumia kila mahali maana alipewa kuzimu. Na alipewa masharti kuwa hela atakayochukua lazima aitumie yote . Sasa jumapili alipoenda benki kutoa hela kadi yake ilimezwa.
Na aliona sasa kapatikana alinyoosha moja kwa moja uwanjani aliwakuta wenzangu na alijitambulisha kuwa anaenda kijisalimisha kuwa anataka kuokoka. Na wakamhoji maswali na walienda nae nyumbani kwake.
Na walienda nae nyumbani kwake, na gari zinapiga nyimbo za injili na walishangaa kuona mganga anakuja na nyimbo za injili maana pale kwake walikuwepo watu waliokuwa wanahitaji wake na magari yao.
Na bango la mganga walilitoa na kila kitu chake wakaondoa kila kitu wakachoma uwanjani. Na tukaomba nae na alipokuwa kwenye madhababu wenzake walishindwa kuingia ndani.
Na hii iwasaidie wahudumu na alikuwa haoni mtu na alikuwa anaona miali ya moto. _Na kwa habari za malaika asema, Afanyaye malaika zake kuwa pepo, Na watumishi *wake kuwa miali ya moto*.Waebrania 1:7_
Na hata mapepo yanakuwa hayaoni watu yataona moto tu. Hata wachawi walipokuwa wanatafuta kuingia walishindwa. Kwa hiyo biblia inaposema kuwa hili ni lango ina maana ni eneo maalumu la kuingilia.
Kwa hiyo hadi sasa huyu ni mtumishi wa Mungu na mchungaji sasa. Sasa turudi kwa Yakobo, chukulia huyu Yakobo angekutana na miungu mingine ingekuaje?
Sasa twende kwa mtoto Samuel na nafuatilia kwenye maandiko na sijaelewa bado kwanini aliwekwa karibu na sanduku la agano. Maandiko yanasema alipompeleka hekaluni na Kuhani Eli alimpeleka karibu na Sanduku la agano sasa kama unalala karibu na sanduku la agano utalala kweli? Biblia inasema kuwa akaanza kusikia sauti, maana kuna watu huwa usiku wakilala wanasikia sauti. Sasa ile sauti ilikuwa ni ya Mungu.
Sasa fikiria unaenda kulala hotel na unalala sehemu mtu kasahau hirizi yake hapo na wewe unakuja speed kuwa na hujaombea hapo. Sasa lazima utaota ndoto ngumu ngumu ivi.
_Na Babeli, huo utukufu wa falme, uzuri wa kiburi cha Wakaldayo, utakuwa kama Sodoma na Gomora hapo Mungu alipoiangamiza. Hautakaliwa na watu tena kabisa, wala watu hawatakaa ndani yake tangu kizazi hata kizazi. Mwarabu hatapiga hema yake huko, wala wachungaji hawatalaza makundi yao huko. Lakini huko watalala hayawani wakali wa nyikani; na nyumba zao zitajaa bundi; mbuni watakaa huko; na majini watacheza huko. Na mbwa-mwitu watalia ndani ya ngome zake; na mbweha ndani ya majumba ya anasa; na wakati wake u karibu kufika, na siku zake hazitaongezeka.ISAYA. 13:19‭-‬22 SUV_
👉Hii ni adhabu iliyotolewa katika mji wa Babeli na Mungu Mungu aliweka zuio na aliweka na wanyama wakali na majini yacheze ndani yake na mbwa mwitu walie huko ndani.
👉hujawaji jiuliza kwanini mtu anaota ndani kwake kuna nyoka au jogoo au myama yoyote? Na ukiamka ni unasema ni ndoto tu na Mungu anakuambia kuwa hapa kuna shida.
Kuna mtu aliota mbwa kalala kwenye kitanda chake. Na majini yapo pale kisheria na huwezi nyamazisha maana wapo pale kihalali na ukitaka kuwatoa pale lazima uwe na *eviction order* ya mahakama ya mbinguni. Kwa hiyo lazima utumie neno la Mungu kisheria.
Na nilikuambia kuwa kila picha unayoota ina maana yake. Ukiona nyoka kuna maana yake ukiona mbuni kuna maana yake.
Kuna mtu alikuwa anaombea nyumba yake na kila akilala alikuwa anaona nyoka kweye ndoto na akimka anawakuta kweli mara mlangoni na akiamka anakutana na nyoka kweli. Na aliua zaidi ya nyoka 30 na wote wana rangi ya kufanana. Nenda kwenye biblia kuna mifano na mifano.
Kuna wakati wana wa Israel walitolewa Samaria.
_Naye mfalme wa Ashuru akaleta watu kutoka Babeli, na Kutha, na Ava, na Hamathi, na Sefarvaimu, akawaweka katika miji ya Samaria badala ya wana wa Israeli; wakaumiliki Samaria, wakakaa katika miji yake. Basi ikawa, wakati ule walipoanza kukaa huko, hawakumcha BWANA; kwa hiyo BWANA akapeleka simba kati yao, nao wakawaua baadhi yao. Kwa hiyo wakamwambia mfalme wa Ashuru, wakasema, Wale wa mataifa uliowahamisha, na kuwaweka katika miji ya Samaria, hawaijui kawaida ya Mungu wa nchi; kwa hiyo amepeleka simba kati yao, na tazama, wanawaua, kwa sababu hawaijui kawaida ya Mungu wa nchi. Ndipo mfalme wa Ashuru akatoa amri, akasema, Mpelekeni mmojawapo wa makuhani, mliowachukua kutoka huko; aende akakae huko, akawafundishe kawaida ya Mungu wa nchi. Basi mmoja wa makuhani waliochukuliwa kutoka Samaria akaenda akakaa katika Betheli, akawafundisha jinsi ilivyowapasa kumcha BWANA. Lakini pamoja na hayo watu wa kila taifa wakajifanyia miungu yao wenyewe, wakaiweka katika nyumba za mahali pa juu, walipopafanya Wasamaria, kila taifa katika miji yao walimokaa.2 WAFALME. 17:24‭-‬29_
Baada ya kuraruliwa na simba walisema kwa sababu hatujui kawaida ya Mungu wa eneo hili. Ndio maana kuna wengine wanaota wanakimbizwa na nyoka au mbwa au wanyama wakali hivi.
Cha kufanya ni ombea kwanza mahali pako pa kulala na Mungu anakuambia kuwa mungu wa eneo hili ana alama hii. Na kama wewe ni mpangaji na hujafuatilia uwe na uhakika kuwa utaondolewa hilo eneo kama ni kwako patakukinai na uwe na uhakika kuwa utahama.
*MAMBO YA KUFANYA KAMA UMEKUTANA NA HALI YA NAMNA HIYO*.
🛐1.Omba toba kama kuna kitu kiko mahali hapo na hakimpendezi Mungu. Omba toba . Na nilikufundisha namna ya kuzia ndoto mbaya kuwa ombea
👉Nyumba unayolala
👉Ombea mbingu
👉Au mtu huyo a aingia kwako.
👉Secure chumba cha kwako. Ombea hicho tu.
👉Ombea ardhi ya hapo.
👉Zuia kwa damu ya Yesu ndoto mbaya
Kama uko hotel ombea mahali pako tu usianzishe ugomvi bila sababu.
Siku moja tulikuwa Calfonia kwenye mkutano wa uchumi. Na sisi tuliwahi siku nne kabla. Sasa tulifika eneo la hollywood nadhani mnajua. Sasa unaweza kuelewa Mhubiri anaingia holly wood.
Na kama hujawahi muona shetani akitembea nenda pale. Na tukamuuliza Mungu tunafanyeje hapa. *Mungu alituambia jifunike kwa damu yangu.*
Si unajua hata Yesu alikwepa vita, na sisi tulijiombea wenyewe. Sasa kama hujui namna ya kufanya mazingira ya namna hiyo unaweza kwama.
Mahali popote pale watu hawakai au nyumba au chumba ina maana kuna ukiwa na ukiwa ni adhabu. Unasafiri muda mrefu hata kama ni kwako jifunze kuomba maana unaweza kutana na vitu vigumu.
🛐 *2.Mwaga damu ya Yesu kwenye eneo unalokaa au unalolala*
Damu ikimwagika huwa inaondoa kila kilichoko hapo.fanya zoez nyumbani kwako. Na kuna kijana mmoja alisikia hili somo na yeye akaenda akamwaga damu ya Yesu nyumbani kwake na aliweza kuomba maana mara ya kwanza alikuwa hawezi.
Mwingine alikuwa anashindwa kulala lakini baada ya kumwaga damu ya Yesu eneo lake aliwaza kulala vizuri.
*3.Hakikisha unakemea nguvu za giza zilizoko mahali pale*
Kama watu wamelala hapo na wamefanya uasherati na eneo hilo hilo, juzi nilikuambia sabuni haiondoi nguvu za giza. Na unashangaa unalala hapo na mapepo yanaanza kukusumbua.
Kwa hiyo ombea na mashuka kwa damu ya Yesu maana damu ya Yesu hua
safisha kabisa.
*4 Ombea uwepo wa Roho Mtakatifu na malaika zake*
Neno la Mungu linasema _*Malaika wa Bwana hufanya kituo, Akiwazungukia wamchao na kuwaokoa.Zaburi 34:7*_
Kwa hiyo malaika wanaweza kukufanyia ulinzi.
*SEHEMU YA PILI*
*ENEO ULILOWAHI KULALA NA UKAONDOKA KATIKA HIMAYA YA MAPEPO*
_Biblia inasema Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni *juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho*.Waefeso 6:12_
👉Hiyo ni hirach yao sasa jeshi la pepo wabaya wana vikosi vyao. Na nilishangaa siku moja niliona makundi Tofauti Tofauti ya malaika. Na wanakuwa miili Tofauti wale wa kuligana na kazi iliyopo. Wale wapiganaji hawana mabawa ila wanakuwa na Farasi weupe. Na wengine wana maumbo ya kwao. Na wale wanaoimba nao wana sura tofauti. Ni mara chache huwa nawaona , na muda mwingine na wao wanakuja kuimba na sisi.
Ukisoma Mwanzo 28:10-17angalia 28👇
_Yakobo akaondoka asubuhi na mapema, akalitwaa lile jiwe aliloliweka chini ya kichwa chake, akalisimamisha kama nguzo, na kumimina mafuta juu yake. Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu. Yakobo akaweka nadhiri akisema, Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae; nami nikirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, ndipo BWANA atakuwa Mungu wangu. Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.MWANZ. 28:18‭-‬22 SUV_
_Na malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, Yakobo! Nikasema, Mimi hapa. Akasema, Inua, basi, macho yako, ukaone; mabeberu wote wanaopanda wanyama wana milia, na madoadoa, na marakaraka; maana nimeona yote aliyokutendea Labani. Mimi ni Mungu wa Betheli, huko ulikotia mafuta nguzo, na kuniwekea nadhiri. Sasa ondoka, toka katika nchi hii, urudi mpaka nchi ile uliyozaliwa.MWANZO. 31:11‭-‬13 SUV_
_Mungu akamwambia Yakobo, Ondoka, panda uende Betheli, ukakae huko; ukamfanyie Mungu madhabahu huko; yeye aliyekutokea ulipomkimbia Esau, ndugu yako. Yakobo akawaambia watu wa nyumbani mwake, na wote waliokuwa pamoja naye, Ondoeni miungu migeni iliyoko kwenu, mjisafishe mkabadili nguo zenu. Tuondoke, tupande kwenda Betheli, nami nitamfanyia Mungu madhabahu huko; yeye aliyenisikia siku ya shida yangu, akawa pamoja nami katika njia yote niliyoiendea.MWANZO. 35:1‭-‬3 SUV_
Sasa kwanini Mungu alitaka kumkubusha kuwa Mungu wa Betheli. Na kila mahali nilienda na wewe na malaika wangu. Sasa fikiria Yakobo angekutana na mapepo?
Mungu anataka kuingia kwenye agano. Mara nyingi huwa nawaambia watu kuwa kama unaota ndoto unakula na watu waliokufa kwenye ndoto usiowajua au unakula nyama ambayo sio kawaida kula. Maana yake ni kuwa unaingizwa kwenye agano na mapepo yako pale
Kama Malaika alimfuata Yakobo kwa Labani na alimkumbusha kurudi Betheli. Na kama ulikutana na mapepo yaani ulilala shule na hapakuwa pazuri kuna mapepo yataanza kukufuatilia. Kuna mapepo yanaitwa Demon monitors na kila mahali yanakufuatilia. Miaka na miaka na unaota ndoto uko shule. Sasa kumbuka kukata kitu cha kiroho ulicho kutana nacho mahali hapo maana itakutesa.
Jifunze namna ya kujikung'uta maana unaweza ukaokota kitu hotelini na inaanza kuhamia kwako. Cheki unamtembelea mwenzio na unakuta ugomvi wa nyumbani kwa rafiki yako na unahamia kwako na unaanza kufanana fanana na kule.
Kwa hiyo hakikisha unakata hiyo connection kwa damu ya Yesu. Jikung'ute kila mahali ulipotoka hata kama mtu amekuja kukutembelea kwa kwako hakikisha unaomba na kung'uta kila kitu anachokuja nacho.
Hujawahi ona umeota ndoto katika mazingira mbali mbali na uko sehemu tofauti tofauti. Mara uko Morogoro na Dar es Salaam au Dodoma. Hiyo ni Mungu anataka kukumbia kuwa kata hiyo connection.
Ninaona mtu aliachiwa alama mkononi kwenye ndoto na nyoka ulipolala. Na kuna pepo lipo linakufatilia na kila ukienda mahali popote una tembea nalo. (Mwl alifanya maombi ya mtu huyo na kukata hiyo network.) Na pepo lilipuka na kumtoka huyo mtu.
Hili lilikuwa ni zoezi ili kuthibitisha kitu alichokuwa anafundisha. Kwa hiyo jifunze namna ya kuomba toba. Na sasa nakata connection ya hilo pepo na baada ya maombi mtu alifunguliwa.
Tunakwenda sawa sawa.?
WEKA MKONO WAKO JUU YA MAGOTI NA MAHALI ULIPOLALA NA ARDHI INAKUMBUKA.
NA NAOMBEA ENEO LOLOTE AMBALO UNALALA NA UKIWAHI KULALA NA NAACHILIA DAMU YA YESU.
KAMA KUNA KITU NYUMBANI KWAKO CHA KAMBI NYINGINE KAKITOE MAANA NAMWAGA DAMU YA YESU SASA HIVI KWA KILA ANAYEFUATILIA SOMO HILI
MAOMBI NA BARAKA.
Pia kama hujampokea Yesu hakikisha unaokoka na kumpata Yesu. Soma kitabu pale juu cha hongera kwa kuokoka.
Pia tembelea www.mwakasege.org na angalia eneo la chini utaona alama ya Facebook like pale na utakuwa unapa masomo kwa njia ya Facebook.
Pia somo hili la ndoto linaendelea Facebook kwenye ukurasa wa Christopher & Diana Mwakasege (Mana Ministry)
Ubarikiwe sana sana na tuonane tena semina ijayo

DAY 7: SEMINA YA NENO LA MUNGU DODOMA- MWL. MWAKASEGE

SEMINA YA NENO LA MUNGU DODOMA UWANJA WA BARAFU NA MWL MWAKASEGE*
SOMO: *FAHAMU YAFUATAYO KUHUSU NDOTO UNAZOOTA ILI UFANIKIWE KIMAISHA*


*APRIL 8, 2017*
*SIKU YA 7*
Jana tulianza kuangalia jambo la sita. Na endelea kufuatilia somo hili kwenye ukurasa wa Facebook. Christopher &Diana Mwakasege (Mana ministry). https://web.facebook.com/Christopher-Diana-MwakasegeMana-M…/
Pia tuombee tutayarishe kitabu cha Ndoto kibiblia. Na kikiwa tayari tutawapa.
Summary.
*YAJUE MAENEO MUHIMU YATAKAYOKUSAIDIA KUTAFSIRI/KUFASIRI NDOTO*
1.Uwe na kiu ya kutaka Mungu akusaidie kujua tafsiri ya ndoto hiyo.
Mwanzo 40:8 Mwenye kufasiri ndoto ni Mungu. Hata Daniel alisema hivyo.
2.uwe na neno la biblia la kutosha moyoni mwako ili uweze kusikia ujumbe uliomo katika ndoto.
Warumi 10:17 Kusikia huja kwa neno la Kristo na Wakolosai 3 inasema neno la Kristo na likae kwa wingi moyoni mwako kwa hekima yote.
3.Omba Mungu akupe ufahamu wa kudumu juu ndoto.
Daniel alikuwa na ufahamu wa mambo yote. Na wewe omba. Ombeni nanyi mtapewa.
4.Kumbuka ukichokuwa unawaza/kuombea kabla ya kuota ndoto.
Waefeso 3:20 Mungu anajibu mawazo yako.
5.Ikiwa umeota ndoto na umesahau omba Mungu akukumbushe.
Daniel 2:1-29. Daniel aliomba Mungu na akamkumbusha ndoto ya Nebukadreza.
*LEO TUNAENDA NDANI KUANGALIA ZILE NDOTO AMBAZO WATU WAKO SHULE AU CHUO*
👉Hata kama hujawahi kuota daka sana hili somo. Na utapa maarifa ya kumsaidia mtu mwingine
_Mfalme akamwambia Ashpenazi, mkuu wa matowashi wake, awalete baadhi ya wana wa Israeli, wa uzao wa kifalme, na wa uzao wa kiungwana; vijana wasio na mawaa, wazuri wa uso, wajuzi wa hekima, werevu kwa sababu ya maarifa yao, wenye kufahamu elimu, watakaoweza kusimama katika jumba la mfalme; tena alimwambia awafundishe elimu ya Wakaldayo, na lugha yao. Huyo mfalme akawaagizia posho ya chakula cha mfalme, na ya divai aliyokunywa, akaagiza walishwe hivyo muda wa miaka mitatu; ili kwamba hatimaye wasimame mbele ya mfalme.DANIEL. 1:3‭-‬5_
👉Iko siri ya ajabu sana kwa watu wanaoota wako shule au chuo katika habari hii ya Daniel
*1.Ukiota uko shuleni au chuoni maana yake ni*
👉Hatua iliyoko mbele yako inahitaji maandalizi ya fikra zako yanahitaji utaratibu maalumu
_tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo; Yaangalieni yaliyo mbele ya macho yenu. Mtu akijitumainia mwenyewe ya kuwa ni mtu wa Kristo, na afikiri hivi pia nafsini mwake, ya kwamba kama yeye alivyo mtu wa Kristo, vivyo hivyo na sisi_.
2 KOR. 10:5‭, ‬7
*Maana aonavyo nafsini mwake*, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.
MITHALI. 23:7 SUV
kwa maana yeye ni aina ya mtu *ambaye kila mara anafikiri juu*ya gharama. Anakuambia, “Kula na kunywa,” lakini moyo wake hauko pamoja nawe.
Mithali 23:7 NEN
CHUO ni sehemu ya maandilizi na huwa unaandaliwa kifikra. Na maandalizi ya watu kifikra upo kwenye mfumo wa elimu. Na biblia inasema Fikiri.
Katika kiingereza
For as *he thinks in his heart, so is he.* As one who reckons, he says to you, eat and drink, yet his heart is not with you [but is grudging the cost].
Proverbs 23:7 AMPC
*for he is like one who is inwardly calculating*. "Eat and drink!" he says to you, but his heart is not with you.
Proverbs 23:7 ESV
*For as he thinketh in his heart, so is he*: Eat and drink, saith he to thee; but his heart is not with thee.
Proverbs 23:7 KJV
*For as he thinks within himself, so is he*. “Eat and drink”, he says to you, but his heart is not with you.
Proverbs 23:7 TLV
👉Alivyo kimtazamo ndivyo alivyo, ulivyo ni matokeo ya misimamo yako ya kifikra uliyonayo. *Maisha yako hayabadilishwi na cheti, bali ni misimamo yako kifikra.*
Kuna mfumo rasmi huu unaitwa mfumo wa Elimu na biblia inaita elimu ya ufalme wa Mungu. Na shetani anataka kupinga na kuweka wa kwake.
Lakini haina maana ya watu wasiosoma na wana maisha mazuri maana kuna watu wemeishia darasa la saba lakini wana maisha mazuri kuliko watu wa degree 3. *Maana maisha sio cheti ni fikra*.
Mungu anaongea na wewe kukuambia kuwaa kuna hatau iko mbele.. na akili ziko kwenye nafsi yako. Katika nafsi kuna nia, maamuzi na akili.
Ayubu 33:14-15 Mungu husema na mtu kwenye ndoto na hajali na 16. Anafungua masikio yake 17 anasema kumuondoa kwenye makusudio yako.
Unakuta mtu anaomba Mungu naomba nisaidie hatua iliyoko mbele yangu na Mungu anakuletea ndoto ya shule. Ina maana kuna hatua iliyoko mbele yako inahitaji maandalizi.
Au uko katikati ya maandilizi na Mungu anakuletea ndoto ya shule na anakumbia hapo uko shule.. akina Daniel waliwekwa shule miaka 3 kwa ajili ya maandalizi. Sasa ingekuwa ni kosa kwao kutafuta kazi baada ya mwaka mmoja. Na kama wangekuwa wanaomba Mungu awape kazi uwe na uhakika angewaletea ndoto ya kuwa wako shule au chuo.
👉Ina maana kuna hatua iliyoko mbele mbele yao. Na hii inawapata sana hawa watumishi ambao moto wa kumtumikia Mungu unawaka sana ndani yao. Na Mungu wakiwa katika hali ya namna hiyo Mungu anawaletea ndoto ya kuwa wako chuo. Hapo inamaanisha kuwa ni sehemu ya maandalizi. Kaa hapo vumilia hapo ulipo maana saa yako bado.
👉Pia Mungu anasema na wewe kuwa maandalizi ya hatua inayokuja huwezi kujiandaa ipasavyo peke yako. Na ina maana huwezi jisomea peke yako na nenda shule ili uandaliwe.
*2.Kama unaota na chuo au shule uliyosoma zamani maana yake nini.*
👉 Ina maana ya kwamba kuna jambo fulani ulitakiwa kuvuka hapo kifikra lakini hukuweza kuvuka. Na kwa sababu hiyo kuna eneo kwenye maisha yako limekwama kwa sababu hiyo.
Ndio maana nilikuambia lazima ujifunze kuhusu ndoto ili uulize na ujifunze zaidi. Kwa hiyo kama huelewi uliza kwa Mungu na fuatilia kwenye biblia .
*3.Kuota uko Primary(shule ya msingi)*
👉Haijalishi uko wapi na ume ota uko shule ya msingi. Maana yake fikra za kimsingi yaani foundation za kufikiri kuna kitu ulikosa kwenye msingi wa kufikiri.
Sasa unakuta wewe unaomba kwa ajili ya kuingia kwenye ndoa au kupanda cheo lakini unajikuta unaota ndoto uko primary.
👉Mungu anzungumza na wewe juu ya misingi yako mizuri ya maamuzi na wewe hujaandaliwa bado/ hauko vizuri. Biblia inazungumza juu ya maamuzi na inasema *"amani ya Kristo iamue moyoni mwako"*
Ndio maana waalimu wanaofundisha shule ya msingi na mwalimu akakosea kumuwekea msingi mwanafunzi wa kupenda shule ataharibu kabisa maisha yake.
Na sasa watu wengi wanatarajia masomo ya msingi yapelekwe awali lakini si kila mtoto atapata nafasi ya kwenda awali. Lakini mfumo rasmi unahitaji uendele darasa la kwanza na ndiko kuna foundation ya kufikiri kwako maana ndipo inajengwa hapo.
*Waalimu wa darasa la kwanza na la pili ni muhimu sana maana ndio msingi wamaisha ya wengi. Mwalimu ukipewa hiyo nafasi chunga sana*.
Mama yangu alikuwa mwalimu na kafundisha miaka yote lakini alifundisha darasa la kwanza na la Pili na alikuwa mwalimu mkuu.
Sasa watu wengi Mungu anawapa ndoto za kuwa wako primary hata kama wamemaliza chuo kikuu. Na hapo Mungu anasema na wewe kuwa misingi yako ya kimaamuzi, kihisia au makusidio hayako vizuri. Kwa hiyo unahitaji kwenda kwa Mungu ili akusaidie ujue hiyo misingi.
*4.Je wale watu ulio nao darasani katika ndoto.*
👉Ina maana kuwa hao ni watu mlio nao ngazi moja ya kimaandalizi.
*5.Ukiota ndoto uko darasani na watu uliowahi kusoma nao zamani*
👉Maana yake kuna eneo mlikwama kifikra kwa kufanana ina maana kuna maandalizi unahitaji kufanya. Wewe fanya utafiti utakuta na wewe umekwama hapo.
Kwa hiyo Mungu anasema na wewe kuwa unahitaji kuvuka hapo.
*6.Ukiota hukai darasani na unategea au unatoroka.*
👉Maana yake huna utulivu unaotakiwa kuwa nao ili uweze kujiandaa au kuandaliwa kwa ajili ya hatua inayokuja.
Au unaomba Mungu akupe kujua kwanini umekwama hapo unakuta Mungu anaongea na wewe kwa njia hii ili kukuonesha kuwa ulikuwa unatega shule aliyokuwa anakuandaa.
Mtu anayetega darasani anakuwa na maisha mabovu. Maana kuna baadhi ya chuo usipohudhuria masaa kadhaa wanakudiaqualify. Maana hamna namna nyingine ya kuweza kuelewa kama hukai darasani.
Kwa wale waalimu kama mimi wanaelewa maana yake nini hapa. *Maana nazungumza na wewe lisaa limoja kila siku. Na huwa natumia masaa 4 au matano au siku 2 au tatu kabla na unasema na kufundisha lisaa limoja*.
Huwezi fanya maandalizi ya dakika 5 alafu uongee masaa 2. Kwa Mungu muda wa maandalizi ni muhimu sana kuliko muda wa kufanya kazi. Sasa jaribu tegea shule alafu tafuta kazi. Ujue huwezi pata. Kwa hiyo tafuta utulivu mbele ya Bwana.
Kuna vitu vinaweza kukuondolea utulivu kama miradi, marafiki, au maisha haya.. ndio maana kusoma shule ukubwani ni shida. Au ni mazingira nayo yanakukosesha utulivu.
Nadhani mlisikia msiba wa mama yangu uliotokea Dar es Salaam. Na tulikuwa familia na nipo katikati ya semina. Na Mungu alitupa kufanya maamuzi na kujua na gharama yake. Sasa tulichagua kuendelea na semina na *halikuwa jambo jepesi*. Na kwa mara ya kwanza ndio nilielewa kwanini mtu *akifiwa huwa anazungukwa na watu*. Na niliwahi fiwa lakini sikuwahi kukutana hali hiyo.
Na wenzangu wanaliponiuliza niliwaambia kuwa tutaendelea na semina. Na wadogo zangu nao wakasema kaka tuko pamoja na tukagawana majukumu na tukatawaanyika kila mtu eneo lake. Hapo ilikuwa ni masaa 7 tu tokea mama kafariki. Na jion semina inanisubiri. Sasa wote wameondoka na nimebaki peke yangu ili kuandaa semina na hicho ndio kilikuwa kipindi kigumu kwangu sana.
Maana ghafla picha ya mama yangu dk za mwisho ilikuja na naona madaktari wamemzunguka na mmoja akaja kuniambia Mwakasege mama hayupo na kila nikitazama ile picha yake. Niliona wakiandika death certificate. Na walisema ngoja tukaweke mwili mortuary na tuliusindikiza.
Na nilipofungua biblia sikuona maandiko ya biblia nilikuwa naona picha ya mama yangu, na nilianza kuwaza maamuzi haya kuwa sasa kama sina utulivu wa ujumbe kutoka kwa Mungu sasa ndio ntaenda kuhubiri kitu gani.
Kwaa mara ya kwanza nilielewa kwanini unazungukwa na watu ukifiwa maana niliona mara ya kwanza tulikuwa na watu wametuzunguka na uchungu uliisha pale maana si watu walikuwepo.
*Nikafunga biblia na nikaanza kuomba kwa kunena kwa lugha, maana kwa mazingira ya namna hiyo huwezi kuomba kwa kiswahili*. Maana nakumbuka nilipokuwa nazungumza na wenzangu. Walisema Mwakasege sio swala la kuhubiri bali ni kuwa utaweza. Na niliwaambia niinulieni watu wa kuniombea. Na baada ya muda baada ya kuomba nguvu za Mungu zilinishukia na ghafla nikapata utulivu kama sina msiba vile. *Mkono wa Mungu ulinyamazisha kila kitu.*
Na ujumbe ukaja na nilikaa lisaa lizima na niliandika na nilipokuwa nimeenda kufundisha nilikuwa nafundisha kama sijafiwaa vile. Hata watu wengine walikuwa wanasema inawezekana hatujasikia sawa sawa maana sidhani kama amefiwa.
Nataka kukuambia kuwa kwa *Mungu kuwa utulivu ni muhimu maana hata Martha na Mariam walikuwa na shida hiyo*. Yesu alisema huyu aliyetulia ndiye kachagua fungu jema.
*7. Ukiota unasoma na ukaona somo unalosoma*.
👉Maana yake Mungu anasema na wewe juu ya aina na eneo unalohitaji kujiandaa vizuri kifikra.
*8. Ukiota unajindaa kufanya mtihani au unafanya mtihani*.
👉Maana yake unapimwa kiwango chako ulichofikia kimaandalizi. Ulichofikia kimaandalizi kama unaqualify kwenda hatua nyingine.
Hili unaliona pale ambapo akina Daniel walipewa mtihani wa kitaifa. Na ulitungwa na Nebukadreza na alisaisha mwenyewe. *Na wa nne tu ndio waliofaulu.*
Kazi ya mtihani sio kupima tu masomo yako bali ni kucheki kama uko tayari kwa kilichoko mbele yako.
*Ndio maana usifurahie tu kufaulu mtihani, bali faulu maisha kwa kutumia masomo*.
_*Biblia haisemi kwenye lugha walipata ngapi, bali biblia inasema hivi waandaliwe ili waweze kusimama kwenye ikulu ya mfalme, na wanne ndio walionekana wanafaa kusimama mbele ya mfalme na haisemi ndio waliofaulu masomo yao*_.
Wakati nilipokuwa nazungumza na watoto wangu wakiwa primary. Nilizungumza nao sentensi hii na iliwashatua kidogo nilipowaambia kuwa *si suala la kufaulu mtihani bali ni kufaulu maisha*. Na kama mkifaulu tu mtihani na mkakwama maisha ina maana sikuwekeza vizuri kwenye maisha yenu. Kwa hiyo ninacho tafuta ni kufaulu maisha na mtihani. Na hili suala sio jepesi maana wengi wanataka kufaulu masomo tu. Na sio kufaulu maisha.
Na utashangaa hufaulu maisha, na ulikuwa hujiandai kufanya kazi na ulikuwa unajindaa kufaulu mitihani. *Unafaulu mitahani lakini maisha umekwama*.
👉Na fuatilia na hilo somo ulilooneshwa.
*10.Ukiota unafanya mtihani na umefeli.*
👉Hujafikia kiwango ambacho ulikuwa unatakiwa. Kwa hiyo huaminiki kwenda hatua inayofuata.
*11.ukiota uko shule au chuo na ukioa kitu kinachohusiana na mambo ya kiroho.*
👉Mwingine anaota yuko darasani na kuna biblia. Na anauona nyoka, mjusi au bibi yake na aliyekufa au unamuona mchungaji kavalia rasmi.
👉Ukiona namna hiyo ina maana kuna jambo la kiroho limetokea ukiwa shule na linakusumbua mpaka sasa. Mungu aliwaambia akina Daniel kuwa chakula na vinywaji havikuwa vizuri rohoni. Na lazima vyakula vilikuwa vinatolewa sadaka.
Na walijua kabisa hali ya kiroho ingeweza haribu maandalizi yao. Hali ya kiroho ilijotokeza mwanzoni kabisa wakati wanaanza maandalizi ya masomo yao ya miaka 3.
Baada ya miaka 3 walionekana kuwa mara 10 zaid kuliko wachawi wale waliokiwa wame wazunguka.
Huyu ndugu alikuwa na wachawi na alikuwa anawataka kuwaondoa kazini, aliwatafuta watu wengine na ndio maana alikuwa anataka kuona je wanafiti kiasi gani.
Maana hamna haja ya kuondoa watu wazuri kazini na ukaleta watu ambao si bora kuliko hao. Ujue tu utendaji wa kazi utakwenda chini.
Na kilicho wasababisha kuwa wawe mara kumi bora ina maana ni kitu cha kiroho kilichokuwa chuoni. Na ilikuwa ni chakula. Na ndio maana Mungu aliwazuia kula.
*12.Ukiota uko shule au chuo na uko eneo la chakula (dining au cafeteria)*
👉Kama ni hivyo ombea chakula ulichokula au kitu kilichogusa fikra zako. Maana utashangaa kuwa ulipokuwa unakula kumbe kuna vitu mlizungumza na vikapandwa na viliharibu maisha yako.
Kwa hiyo kila ukiomba Mungu akuvushe unaonesha hapo ombea ulichokula shule.
Tulikuwa mkoa mmoja hapa nchini kwenye mkutano kama huu na niliona katika ulimwengu wa Roho watu wana mavazi marefu na wanafuatilizia watoto na wanawapa chakula watoto chakula si kizuri. Mungu aliniambia futa hiyo kitu kwenye damu yao maana kinashika fikra zao.
Na nilitangaza kufuta kwa damu ya Yesu. Na kulikuwa na mapepo mengi sana yalilipuka na Mungu alinionesha wazi wazi lakini anaweza sema na wewe kwa njia ya ndoto.
*13. Ukiota uko shule au chuo na umemaliza course na hupati kazi na ukiomba Mungu upate kazi unaota uko shule*.
👉Maana yake ni hii kuna shida kati ya kitu ulichosoma na soko la ajira unalotafuta kazi. Kwa hiyo lazima uombe Mungu aunganishe kati ya ulichosoma na soko la ajira.
Kuna watu walisoma miaka 3 na akina Daniel na hawana kazi kwa sababu masomo yao ilikuwa ni kwa ajili ya kukaa ikulu ya Nebukadreza . Na hawana kazi.
Omba kwa Mungu ili akusaidie kusoma masomo yatakayohitajika na soko la ajira.usisome masomo ambayo soko lake linabadilika na unasoma sasa na baada ya miaka 3 imejaa watu. Na unaanza kukemea shetani.
Hamna mfumo wa Elimu unao fundisha watu saa hiyo hiyo au muda huo huo waingie kazini. *Ikitokea wanaita crash program au inservice training*.
Lakini kama ni kwa ajili ya miaka 5 utashangaa hata hawahangaiki kupata kazi maana ajira zao zinakuwa tayari (demanded)
Miaka ile tunasoma sisi tulikuwa tunaletewa barua kabisa chuoni hata kabla ya kumaliza. Na barua ya kwanza ilikuwa ni National Insurance Corporation. Lakini sikuenda huko. Maanaa nilienda kufanya kazi nyingine.
Hii ni dondoo kwa uchache.
*MAMBO YA KUFANYA SASA*
🛐1.Omba toba kwa Mungu kama kuna mahali hujufanya vizuri wakati wa maandalizi.
🛐2.Omba Mungu akuvushe .
Na mtu mmoja alidaka na alianza kuomba na alisema Mwalimu ulipofunsidha nilikuwa naota ndoto niko tu primary na nilianza kuomba na kuomba na niliomba Mungu aniasidie.
Baada ya muda kadhaa niko chuo na niliendelea kuvuka hatua kwa hatua. Na nilimwambie endelea kuvuka
*USIKUBALI FIKRA ZAKO ZIKWAME OMBA KWA MUNGU*
Mungu atakusaidia kwenda darasani au atakupa Vitabu. Fanya kitu ambacho Mungu atakupa.
Niliona mahali katika shule ya seminary sista yuko form one na watoto wadogo nae anasoma.
Kwa hiyo fuata maelezo Mungu atakayokupa.
Ubarikiwe.
**************************
*TANGAZO*
Leo siku ya mwisho ya semina ungana nasi kwa njia zifuatazo.
👇👇👇👇
Bwana Yesu Asifiwe. Tunawakaribisha kwenye semina inayoendelea Dodoma mjini katika uwanja wa barafu. Semina imeanza jana tarehe 2 April itaendelea hadi jumapili tarehe 9 April.
Redio zinazorusha Semina inayoendelea Dodoma mjini ni;
1. Redio Sauti ya injili -
Moshi, 92.2 FM
Arusha,96.1 FM.
Tanga 102.6FM & 96.7 FM
Same 100.4 FM
Rombo 96.4 FM
Manyara 102.9 FM & 96.1FM
Morogoro 99.1 FM
Mara 96.1 FM
Unguja, Pemba na Mombasa 102.6 FM
Voi - Kenya 96.4 FM
Dodoma 102.9 FM
Pwani, Rufiji, Kiluvya, Tegeta, Ubungo, Manzese, Mbezi, na Ruaha 99.9 FM
Daraja la Mkapa (Lindi) 99.9 FM
2. Redio HHC Alive
Mwanza, Mara, Simiyu, Geita, Kagera, Shinyanga, - 91.7 FM.
3. Redio CG FM
Kigoma, Simiyu, Shinyanga, Tabora na Katavi 89.5 FM
4. Redio Baraka
Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa 107.6 FM
5. Radio Rungwe
Rukwa, Malawi,Mbeya na Njombe102.5 FM
6. Radio Info
Mtwara 92.1 FM
7. Redio Uzima
Dodoma 94.0 FM
8. Redio Bunda FM
Mwanza, Mara, Simiyu na Kagera 92.1 FM
9. Redio Mpanda FM
Katavi, Rukwa na Kigoma 97.0 FM
Unaweza kusikiliza live kupitia www.kicheko.com na www.mwakasege.org, unaweza kusikiliza na kuangalia live kupitia www.ustream.tv/chanel/mwakasegemanaministry na www.youtube.com (jina la chanel ni Christopher Mwakasege) https://youtu.be/Ul6ONaN6Mtc
Mungu Awabariki!
https://m.facebook.com/story.php…
Noted by
*felixmbwanji@gmail.com*
*Arusha, Tanzania*
🙏🙏🙏🙏7⃣ *SEMINA YA NENO LA MUNGU DODOMA UWANJA WA BARAFU NA MWL MWAKASEGE*
SOMO: *FAHAMU YAFUATAYO KUHUSU NDOTO UNAZOOTA ILI UFANIKIWE KIMAISHA*
*APRIL 8, 2017*
*SIKU YA 7*
Jana tulianza kuangalia jambo la sita. Na endelea kufuatilia somo hili kwenye ukurasa wa Facebook. Christopher &Diana Mwakasege (Mana ministry). https://web.facebook.com/Christopher-Diana-MwakasegeMana-M…/
Pia tuombee tutayarishe kitabu cha Ndoto kibiblia. Na kikiwa tayari tutawapa.
Summary.
*YAJUE MAENEO MUHIMU YATAKAYOKUSAIDIA KUTAFSIRI/KUFASIRI NDOTO*
1.Uwe na kiu ya kutaka Mungu akusaidie kujua tafsiri ya ndoto hiyo.
Mwanzo 40:8 Mwenye kufasiri ndoto ni Mungu. Hata Daniel alisema hivyo.
2.uwe na neno la biblia la kutosha moyoni mwako ili uweze kusikia ujumbe uliomo katika ndoto.
Warumi 10:17 Kusikia huja kwa neno la Kristo na Wakolosai 3 inasema neno la Kristo na likae kwa wingi moyoni mwako kwa hekima yote.
3.Omba Mungu akupe ufahamu wa kudumu juu ndoto.
Daniel alikuwa na ufahamu wa mambo yote. Na wewe omba. Ombeni nanyi mtapewa.
4.Kumbuka ukichokuwa unawaza/kuombea kabla ya kuota ndoto.
Waefeso 3:20 Mungu anajibu mawazo yako.
5.Ikiwa umeota ndoto na umesahau omba Mungu akukumbushe.
Daniel 2:1-29. Daniel aliomba Mungu na akamkumbusha ndoto ya Nebukadreza.
*LEO TUNAENDA NDANI KUANGALIA ZILE NDOTO AMBAZO WATU WAKO SHULE AU CHUO*
👉Hata kama hujawahi kuota daka sana hili somo. Na utapa maarifa ya kumsaidia mtu mwingine
_Mfalme akamwambia Ashpenazi, mkuu wa matowashi wake, awalete baadhi ya wana wa Israeli, wa uzao wa kifalme, na wa uzao wa kiungwana; vijana wasio na mawaa, wazuri wa uso, wajuzi wa hekima, werevu kwa sababu ya maarifa yao, wenye kufahamu elimu, watakaoweza kusimama katika jumba la mfalme; tena alimwambia awafundishe elimu ya Wakaldayo, na lugha yao. Huyo mfalme akawaagizia posho ya chakula cha mfalme, na ya divai aliyokunywa, akaagiza walishwe hivyo muda wa miaka mitatu; ili kwamba hatimaye wasimame mbele ya mfalme.DANIEL. 1:3‭-‬5_
👉Iko siri ya ajabu sana kwa watu wanaoota wako shule au chuo katika habari hii ya Daniel
*1.Ukiota uko shuleni au chuoni maana yake ni*
👉Hatua iliyoko mbele yako inahitaji maandalizi ya fikra zako yanahitaji utaratibu maalumu
_tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo; Yaangalieni yaliyo mbele ya macho yenu. Mtu akijitumainia mwenyewe ya kuwa ni mtu wa Kristo, na afikiri hivi pia nafsini mwake, ya kwamba kama yeye alivyo mtu wa Kristo, vivyo hivyo na sisi_.
2 KOR. 10:5‭, ‬7
*Maana aonavyo nafsini mwake*, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.
MITHALI. 23:7 SUV
kwa maana yeye ni aina ya mtu *ambaye kila mara anafikiri juu*ya gharama. Anakuambia, “Kula na kunywa,” lakini moyo wake hauko pamoja nawe.
Mithali 23:7 NEN
CHUO ni sehemu ya maandilizi na huwa unaandaliwa kifikra. Na maandalizi ya watu kifikra upo kwenye mfumo wa elimu. Na biblia inasema Fikiri.
Katika kiingereza
For as *he thinks in his heart, so is he.* As one who reckons, he says to you, eat and drink, yet his heart is not with you [but is grudging the cost].
Proverbs 23:7 AMPC
*for he is like one who is inwardly calculating*. "Eat and drink!" he says to you, but his heart is not with you.
Proverbs 23:7 ESV
*For as he thinketh in his heart, so is he*: Eat and drink, saith he to thee; but his heart is not with thee.
Proverbs 23:7 KJV
*For as he thinks within himself, so is he*. “Eat and drink”, he says to you, but his heart is not with you.
Proverbs 23:7 TLV
👉Alivyo kimtazamo ndivyo alivyo, ulivyo ni matokeo ya misimamo yako ya kifikra uliyonayo. *Maisha yako hayabadilishwi na cheti, bali ni misimamo yako kifikra.*
Kuna mfumo rasmi huu unaitwa mfumo wa Elimu na biblia inaita elimu ya ufalme wa Mungu. Na shetani anataka kupinga na kuweka wa kwake.
Lakini haina maana ya watu wasiosoma na wana maisha mazuri maana kuna watu wemeishia darasa la saba lakini wana maisha mazuri kuliko watu wa degree 3. *Maana maisha sio cheti ni fikra*.
Mungu anaongea na wewe kukuambia kuwaa kuna hatau iko mbele.. na akili ziko kwenye nafsi yako. Katika nafsi kuna nia, maamuzi na akili.
Ayubu 33:14-15 Mungu husema na mtu kwenye ndoto na hajali na 16. Anafungua masikio yake 17 anasema kumuondoa kwenye makusudio yako.
Unakuta mtu anaomba Mungu naomba nisaidie hatua iliyoko mbele yangu na Mungu anakuletea ndoto ya shule. Ina maana kuna hatua iliyoko mbele yako inahitaji maandalizi.
Au uko katikati ya maandilizi na Mungu anakuletea ndoto ya shule na anakumbia hapo uko shule.. akina Daniel waliwekwa shule miaka 3 kwa ajili ya maandalizi. Sasa ingekuwa ni kosa kwao kutafuta kazi baada ya mwaka mmoja. Na kama wangekuwa wanaomba Mungu awape kazi uwe na uhakika angewaletea ndoto ya kuwa wako shule au chuo.
👉Ina maana kuna hatua iliyoko mbele mbele yao. Na hii inawapata sana hawa watumishi ambao moto wa kumtumikia Mungu unawaka sana ndani yao. Na Mungu wakiwa katika hali ya namna hiyo Mungu anawaletea ndoto ya kuwa wako chuo. Hapo inamaanisha kuwa ni sehemu ya maandalizi. Kaa hapo vumilia hapo ulipo maana saa yako bado.
👉Pia Mungu anasema na wewe kuwa maandalizi ya hatua inayokuja huwezi kujiandaa ipasavyo peke yako. Na ina maana huwezi jisomea peke yako na nenda shule ili uandaliwe.
*2.Kama unaota na chuo au shule uliyosoma zamani maana yake nini.*
👉 Ina maana ya kwamba kuna jambo fulani ulitakiwa kuvuka hapo kifikra lakini hukuweza kuvuka. Na kwa sababu hiyo kuna eneo kwenye maisha yako limekwama kwa sababu hiyo.
Ndio maana nilikuambia lazima ujifunze kuhusu ndoto ili uulize na ujifunze zaidi. Kwa hiyo kama huelewi uliza kwa Mungu na fuatilia kwenye biblia .
*3.Kuota uko Primary(shule ya msingi)*
👉Haijalishi uko wapi na ume ota uko shule ya msingi. Maana yake fikra za kimsingi yaani foundation za kufikiri kuna kitu ulikosa kwenye msingi wa kufikiri.
Sasa unakuta wewe unaomba kwa ajili ya kuingia kwenye ndoa au kupanda cheo lakini unajikuta unaota ndoto uko primary.
👉Mungu anzungumza na wewe juu ya misingi yako mizuri ya maamuzi na wewe hujaandaliwa bado/ hauko vizuri. Biblia inazungumza juu ya maamuzi na inasema *"amani ya Kristo iamue moyoni mwako"*
Ndio maana waalimu wanaofundisha shule ya msingi na mwalimu akakosea kumuwekea msingi mwanafunzi wa kupenda shule ataharibu kabisa maisha yake.
Na sasa watu wengi wanatarajia masomo ya msingi yapelekwe awali lakini si kila mtoto atapata nafasi ya kwenda awali. Lakini mfumo rasmi unahitaji uendele darasa la kwanza na ndiko kuna foundation ya kufikiri kwako maana ndipo inajengwa hapo.
*Waalimu wa darasa la kwanza na la pili ni muhimu sana maana ndio msingi wamaisha ya wengi. Mwalimu ukipewa hiyo nafasi chunga sana*.
Mama yangu alikuwa mwalimu na kafundisha miaka yote lakini alifundisha darasa la kwanza na la Pili na alikuwa mwalimu mkuu.
Sasa watu wengi Mungu anawapa ndoto za kuwa wako primary hata kama wamemaliza chuo kikuu. Na hapo Mungu anasema na wewe kuwa misingi yako ya kimaamuzi, kihisia au makusidio hayako vizuri. Kwa hiyo unahitaji kwenda kwa Mungu ili akusaidie ujue hiyo misingi.
*4.Je wale watu ulio nao darasani katika ndoto.*
👉Ina maana kuwa hao ni watu mlio nao ngazi moja ya kimaandalizi.
*5.Ukiota ndoto uko darasani na watu uliowahi kusoma nao zamani*
👉Maana yake kuna eneo mlikwama kifikra kwa kufanana ina maana kuna maandalizi unahitaji kufanya. Wewe fanya utafiti utakuta na wewe umekwama hapo.
Kwa hiyo Mungu anasema na wewe kuwa unahitaji kuvuka hapo.
*6.Ukiota hukai darasani na unategea au unatoroka.*
👉Maana yake huna utulivu unaotakiwa kuwa nao ili uweze kujiandaa au kuandaliwa kwa ajili ya hatua inayokuja.
Au unaomba Mungu akupe kujua kwanini umekwama hapo unakuta Mungu anaongea na wewe kwa njia hii ili kukuonesha kuwa ulikuwa unatega shule aliyokuwa anakuandaa.
Mtu anayetega darasani anakuwa na maisha mabovu. Maana kuna baadhi ya chuo usipohudhuria masaa kadhaa wanakudiaqualify. Maana hamna namna nyingine ya kuweza kuelewa kama hukai darasani.
Kwa wale waalimu kama mimi wanaelewa maana yake nini hapa. *Maana nazungumza na wewe lisaa limoja kila siku. Na huwa natumia masaa 4 au matano au siku 2 au tatu kabla na unasema na kufundisha lisaa limoja*.
Huwezi fanya maandalizi ya dakika 5 alafu uongee masaa 2. Kwa Mungu muda wa maandalizi ni muhimu sana kuliko muda wa kufanya kazi. Sasa jaribu tegea shule alafu tafuta kazi. Ujue huwezi pata. Kwa hiyo tafuta utulivu mbele ya Bwana.
Kuna vitu vinaweza kukuondolea utulivu kama miradi, marafiki, au maisha haya.. ndio maana kusoma shule ukubwani ni shida. Au ni mazingira nayo yanakukosesha utulivu.
Nadhani mlisikia msiba wa mama yangu uliotokea Dar es Salaam. Na tulikuwa familia na nipo katikati ya semina. Na Mungu alitupa kufanya maamuzi na kujua na gharama yake. Sasa tulichagua kuendelea na semina na *halikuwa jambo jepesi*. Na kwa mara ya kwanza ndio nilielewa kwanini mtu *akifiwa huwa anazungukwa na watu*. Na niliwahi fiwa lakini sikuwahi kukutana hali hiyo.
Na wenzangu wanaliponiuliza niliwaambia kuwa tutaendelea na semina. Na wadogo zangu nao wakasema kaka tuko pamoja na tukagawana majukumu na tukatawaanyika kila mtu eneo lake. Hapo ilikuwa ni masaa 7 tu tokea mama kafariki. Na jion semina inanisubiri. Sasa wote wameondoka na nimebaki peke yangu ili kuandaa semina na hicho ndio kilikuwa kipindi kigumu kwangu sana.
Maana ghafla picha ya mama yangu dk za mwisho ilikuja na naona madaktari wamemzunguka na mmoja akaja kuniambia Mwakasege mama hayupo na kila nikitazama ile picha yake. Niliona wakiandika death certificate. Na walisema ngoja tukaweke mwili mortuary na tuliusindikiza.
Na nilipofungua biblia sikuona maandiko ya biblia nilikuwa naona picha ya mama yangu, na nilianza kuwaza maamuzi haya kuwa sasa kama sina utulivu wa ujumbe kutoka kwa Mungu sasa ndio ntaenda kuhubiri kitu gani.
Kwaa mara ya kwanza nilielewa kwanini unazungukwa na watu ukifiwa maana niliona mara ya kwanza tulikuwa na watu wametuzunguka na uchungu uliisha pale maana si watu walikuwepo.
*Nikafunga biblia na nikaanza kuomba kwa kunena kwa lugha, maana kwa mazingira ya namna hiyo huwezi kuomba kwa kiswahili*. Maana nakumbuka nilipokuwa nazungumza na wenzangu. Walisema Mwakasege sio swala la kuhubiri bali ni kuwa utaweza. Na niliwaambia niinulieni watu wa kuniombea. Na baada ya muda baada ya kuomba nguvu za Mungu zilinishukia na ghafla nikapata utulivu kama sina msiba vile. *Mkono wa Mungu ulinyamazisha kila kitu.*
Na ujumbe ukaja na nilikaa lisaa lizima na niliandika na nilipokuwa nimeenda kufundisha nilikuwa nafundisha kama sijafiwaa vile. Hata watu wengine walikuwa wanasema inawezekana hatujasikia sawa sawa maana sidhani kama amefiwa.
Nataka kukuambia kuwa kwa *Mungu kuwa utulivu ni muhimu maana hata Martha na Mariam walikuwa na shida hiyo*. Yesu alisema huyu aliyetulia ndiye kachagua fungu jema.
*7. Ukiota unasoma na ukaona somo unalosoma*.
👉Maana yake Mungu anasema na wewe juu ya aina na eneo unalohitaji kujiandaa vizuri kifikra.
*8. Ukiota unajindaa kufanya mtihani au unafanya mtihani*.
👉Maana yake unapimwa kiwango chako ulichofikia kimaandalizi. Ulichofikia kimaandalizi kama unaqualify kwenda hatua nyingine.
Hili unaliona pale ambapo akina Daniel walipewa mtihani wa kitaifa. Na ulitungwa na Nebukadreza na alisaisha mwenyewe. *Na wa nne tu ndio waliofaulu.*
Kazi ya mtihani sio kupima tu masomo yako bali ni kucheki kama uko tayari kwa kilichoko mbele yako.
*Ndio maana usifurahie tu kufaulu mtihani, bali faulu maisha kwa kutumia masomo*.
_*Biblia haisemi kwenye lugha walipata ngapi, bali biblia inasema hivi waandaliwe ili waweze kusimama kwenye ikulu ya mfalme, na wanne ndio walionekana wanafaa kusimama mbele ya mfalme na haisemi ndio waliofaulu masomo yao*_.
Wakati nilipokuwa nazungumza na watoto wangu wakiwa primary. Nilizungumza nao sentensi hii na iliwashatua kidogo nilipowaambia kuwa *si suala la kufaulu mtihani bali ni kufaulu maisha*. Na kama mkifaulu tu mtihani na mkakwama maisha ina maana sikuwekeza vizuri kwenye maisha yenu. Kwa hiyo ninacho tafuta ni kufaulu maisha na mtihani. Na hili suala sio jepesi maana wengi wanataka kufaulu masomo tu. Na sio kufaulu maisha.
Na utashangaa hufaulu maisha, na ulikuwa hujiandai kufanya kazi na ulikuwa unajindaa kufaulu mitihani. *Unafaulu mitahani lakini maisha umekwama*.
👉Na fuatilia na hilo somo ulilooneshwa.
*10.Ukiota unafanya mtihani na umefeli.*
👉Hujafikia kiwango ambacho ulikuwa unatakiwa. Kwa hiyo huaminiki kwenda hatua inayofuata.
*11.ukiota uko shule au chuo na ukioa kitu kinachohusiana na mambo ya kiroho.*
👉Mwingine anaota yuko darasani na kuna biblia. Na anauona nyoka, mjusi au bibi yake na aliyekufa au unamuona mchungaji kavalia rasmi.
👉Ukiona namna hiyo ina maana kuna jambo la kiroho limetokea ukiwa shule na linakusumbua mpaka sasa. Mungu aliwaambia akina Daniel kuwa chakula na vinywaji havikuwa vizuri rohoni. Na lazima vyakula vilikuwa vinatolewa sadaka.
Na walijua kabisa hali ya kiroho ingeweza haribu maandalizi yao. Hali ya kiroho ilijotokeza mwanzoni kabisa wakati wanaanza maandalizi ya masomo yao ya miaka 3.
Baada ya miaka 3 walionekana kuwa mara 10 zaid kuliko wachawi wale waliokiwa wame wazunguka.
Huyu ndugu alikuwa na wachawi na alikuwa anawataka kuwaondoa kazini, aliwatafuta watu wengine na ndio maana alikuwa anataka kuona je wanafiti kiasi gani.
Maana hamna haja ya kuondoa watu wazuri kazini na ukaleta watu ambao si bora kuliko hao. Ujue tu utendaji wa kazi utakwenda chini.
Na kilicho wasababisha kuwa wawe mara kumi bora ina maana ni kitu cha kiroho kilichokuwa chuoni. Na ilikuwa ni chakula. Na ndio maana Mungu aliwazuia kula.
*12.Ukiota uko shule au chuo na uko eneo la chakula (dining au cafeteria)*
👉Kama ni hivyo ombea chakula ulichokula au kitu kilichogusa fikra zako. Maana utashangaa kuwa ulipokuwa unakula kumbe kuna vitu mlizungumza na vikapandwa na viliharibu maisha yako.
Kwa hiyo kila ukiomba Mungu akuvushe unaonesha hapo ombea ulichokula shule.
Tulikuwa mkoa mmoja hapa nchini kwenye mkutano kama huu na niliona katika ulimwengu wa Roho watu wana mavazi marefu na wanafuatilizia watoto na wanawapa chakula watoto chakula si kizuri. Mungu aliniambia futa hiyo kitu kwenye damu yao maana kinashika fikra zao.
Na nilitangaza kufuta kwa damu ya Yesu. Na kulikuwa na mapepo mengi sana yalilipuka na Mungu alinionesha wazi wazi lakini anaweza sema na wewe kwa njia ya ndoto.
*13. Ukiota uko shule au chuo na umemaliza course na hupati kazi na ukiomba Mungu upate kazi unaota uko shule*.
👉Maana yake ni hii kuna shida kati ya kitu ulichosoma na soko la ajira unalotafuta kazi. Kwa hiyo lazima uombe Mungu aunganishe kati ya ulichosoma na soko la ajira.
Kuna watu walisoma miaka 3 na akina Daniel na hawana kazi kwa sababu masomo yao ilikuwa ni kwa ajili ya kukaa ikulu ya Nebukadreza . Na hawana kazi.
Omba kwa Mungu ili akusaidie kusoma masomo yatakayohitajika na soko la ajira.usisome masomo ambayo soko lake linabadilika na unasoma sasa na baada ya miaka 3 imejaa watu. Na unaanza kukemea shetani.
Hamna mfumo wa Elimu unao fundisha watu saa hiyo hiyo au muda huo huo waingie kazini. *Ikitokea wanaita crash program au inservice training*.
Lakini kama ni kwa ajili ya miaka 5 utashangaa hata hawahangaiki kupata kazi maana ajira zao zinakuwa tayari (demanded)
Miaka ile tunasoma sisi tulikuwa tunaletewa barua kabisa chuoni hata kabla ya kumaliza. Na barua ya kwanza ilikuwa ni National Insurance Corporation. Lakini sikuenda huko. Maanaa nilienda kufanya kazi nyingine.
Hii ni dondoo kwa uchache.
*MAMBO YA KUFANYA SASA*
🛐1.Omba toba kwa Mungu kama kuna mahali hujufanya vizuri wakati wa maandalizi.
🛐2.Omba Mungu akuvushe .
Na mtu mmoja alidaka na alianza kuomba na alisema Mwalimu ulipofunsidha nilikuwa naota ndoto niko tu primary na nilianza kuomba na kuomba na niliomba Mungu aniasidie.
Baada ya muda kadhaa niko chuo na niliendelea kuvuka hatua kwa hatua. Na nilimwambie endelea kuvuka
*USIKUBALI FIKRA ZAKO ZIKWAME OMBA KWA MUNGU*
Mungu atakusaidia kwenda darasani au atakupa Vitabu. Fanya kitu ambacho Mungu atakupa.
Niliona mahali katika shule ya seminary sista yuko form one na watoto wadogo nae anasoma.
Kwa hiyo fuata maelezo Mungu atakayokupa.
Ubarikiwe.
**************************
*TANGAZO*
Leo siku ya mwisho ya semina ungana nasi kwa njia zifuatazo.
👇👇👇👇
Bwana Yesu Asifiwe. Tunawakaribisha kwenye semina inayoendelea Dodoma mjini katika uwanja wa barafu. Semina imeanza jana tarehe 2 April itaendelea hadi jumapili tarehe 9 April.
Redio zinazorusha Semina inayoendelea Dodoma mjini ni;
1. Redio Sauti ya injili -
Moshi, 92.2 FM
Arusha,96.1 FM.
Tanga 102.6FM & 96.7 FM
Same 100.4 FM
Rombo 96.4 FM
Manyara 102.9 FM & 96.1FM
Morogoro 99.1 FM
Mara 96.1 FM
Unguja, Pemba na Mombasa 102.6 FM
Voi - Kenya 96.4 FM
Dodoma 102.9 FM
Pwani, Rufiji, Kiluvya, Tegeta, Ubungo, Manzese, Mbezi, na Ruaha 99.9 FM
Daraja la Mkapa (Lindi) 99.9 FM
2. Redio HHC Alive
Mwanza, Mara, Simiyu, Geita, Kagera, Shinyanga, - 91.7 FM.
3. Redio CG FM
Kigoma, Simiyu, Shinyanga, Tabora na Katavi 89.5 FM
4. Redio Baraka
Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa 107.6 FM
5. Radio Rungwe
Rukwa, Malawi,Mbeya na Njombe102.5 FM
6. Radio Info
Mtwara 92.1 FM
7. Redio Uzima
Dodoma 94.0 FM
8. Redio Bunda FM
Mwanza, Mara, Simiyu na Kagera 92.1 FM
9. Redio Mpanda FM
Katavi, Rukwa na Kigoma 97.0 FM
Unaweza kusikiliza live kupitia www.kicheko.com na www.mwakasege.org, unaweza kusikiliza na kuangalia live kupitia www.ustream.tv/chanel/mwakasegemanaministry na www.youtube.com (jina la chanel ni Christopher Mwakasege) https://youtu.be/Ul6ONaN6Mtc
Mungu Awabariki!
 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.