UTAWALA WA OBAMA | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Tuesday, August 27, 2013

UTAWALA WA OBAMA


Wednesday, 28 August 2013

UTAWALA WA OBAMA WAKEMEWA KWA KUFANYIA MZAHA MATESO YA WAKRISTO MISRI

 Na Apostle Darmacy

Rais Obama katika mojawapo ya mikutyano na waandishi wa habari White House, Washington D.C Agosti 9 2013. ©Jason Reed/Reuters
Ikiwa ni takriban zaidi ya watu 70,000 wakiwa wamesign waraka (petition) wakitaka Marekani kutoa msaada kwa Misrii kwa masharti kwamba wakristo walindwe dhidi ya fujo zinazoendelea nchini humo, utawala wa rais Obama umeingia matatani mara baada ya kuleta mizaha kwenye suala la amani nchini Misri.
Katika mkutano wa waandishi wa habari, naibu katibu wa habaru wa White House, Josh Earnest alijibu swali kwa utani, jamo lililopelekea umati wa waandishi kutulia kimya katika hali ya kutoamini kama angeweza kuzungumza hivyo ilhali wananchi Misri wanateseka.
"Watu wanauwawa, hasahasa Wakristo wakiwindwa, makanisa yanateketezwa, ni nini hatua ya tahadhari ya Rais nchini Misri?" Liliulizwa swali miongoni mwa wanahabari waliokuwepo. (The President's red line in Egypt)
Lakini jibu la kwanza lilikuwa, "sijabeba kalamu yangu nyekundu leo" (I didn't bring my red pen with me today), jambo ambalo liliwatatiza wanahabari.


Kituo cha haki na sheria cha nchini Marekani kinasema kuwa hakuna aliyecheka wala kutabasamu kuhusu jibu hilo, na kwamba walilaumu utawala wa Obama kwa kufanya utani wakati maisha ya watu yakiwa hatarini nchini Misri, mateso wanayopata wakristo nchini humo sio ya kuchukulia kama utani.
Kumekuwa na ripoti kadhaa za makanisa kuchomwa moto, shule za kikristo, pamoja na wakristo kuuwawa na waislamu ambao wanadai wakristo wamehusika katika maandamano yaliyopelekea Rais Mohamed Morsi kuondolewa madarakani.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.