Vijana na sigara | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, September 5, 2013

Vijana na sigara

 Athari za Sigara
By Darmacy



Michoro ya picha ya kwenye paketi za sigara ambayo inatoa onyo kali dhidi ya kuvuta sigara na kuonyesha madhara ya uvutaji sigara, hupuuzwa na vijana. Hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa nchini Uingereza.
Uingereza ilianza kutumia picha hizo ambazo zinaonyesha mapafu ambayo yemeathirika kutokana na moshi wa sigara pamoja na upasuaji wa moyo, mnamo mwaka 2008.




Lakini utafiti huo uliowahusisha watoto 2,800, uligundua kuwa picha hizo hazikuwazuia vijana wenye kati ya umri wa miaka 11 hadi 16 kununua na kuvuta sigara.

Hata hivyo, picha hizo ziligeuza maoni ya watu wasiovuta sigara na waraibu wa sigara.
Utafiti uliochapishwa katika jarida la kudhibiti matumizi ya Tumbaku ulidurusu data kutoka kwa utafiti uliofanyiwa vijana kuhusu utumizi wa sigara kabla na baada ya picha hizo kuanza kutumika kwenye paketi za sigara.
Kati ya watoto 2,800 waliohojiwa, mmoja kati ya watoto kumi alikuwa mvutaji wa sigara, wakati wengine walikuwa hawavuti sigara na wengine wakiwa wale waliowahi kujaribu kuvuta sigara.
Wakati idadi ya vijana waliofikiria kuwa onyo hizo zinaweza kuwazuia kuvuta sigara baada ya kuanza kutumiwa , miongoni mwao wale wanaovuta na wale wasio vuta, idadi ya wale waliojizuia kuvuta sigara kutokana na onyo za picha hizo ilipanda kwa asilimia moja kutoka kwa asilimia 13 hadi 14.
Mtafiti mkuu Daktari Crawford Moodie, alisema kuwa wakati jambo hili linaudhi kwamba picha zilizo kwenye paketi za sigara haziwezi kuwazuia vijana kuvuta sigara, idadi ndogo ya wale wanaotii onyo hizi sio mbaya sana.
Lakini pia alisema kulikuwa na tisho la watu kupuuza kabisa picha hizo na matamshi yanayoonya vikali dhidi ya uvutaji sigara, kwani picha hizo hazijabadilishwa tangu mwaka 2003 na 2008 mtawalia..
"nchi zengine hubadilisha picha na onyo dhidi ya uvutaji sigara mara kwa mara na baadhi wanahisi kuwa Uingereza inapaswa kuzibadilisha.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.