Semina Ya Umisheni | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Monday, October 21, 2013

Semina Ya Umisheni

UMUHIMU WA UMISHENI

Semina ya umisheni Jijini MBEYA Ni katika makanisa ya  T.AG. Sayuni Mponja Mtoni  kwa Mchungaji Samweli Mpayo na Kanisa La T.AG Calivary Temple Uyole Kwa Mchungaji Daud Mwalonde

Mchungaji Samweli Mpayo Na  Missionary Mr. Laurian Sumaye 

Kutoka Kanisa la  T.AG. Sayuni Mponja Mtoni  kwa Mchungaji Samweli Mpayo Semina iliendeshwa na Missionary Mr. Laurian Sumaye  ambapo alifundisha juu yaUmisheni uinjilisti ,ufuatiliaji na ufuasi,Uchumi  Kibiblia pia mtazamo wa  biblia kuhusu fedha 



Semina ilianza tarehe 18;10;2013 siku ya ijumaa na kumalizika mnamo tarehe 20;10;2013 siku ya jumapili.



 Katika semina iyo Missionary Mr. Laurian Sumaye   alifundisha Somo la “UMUHIMU WA UMISHENI



Ambapo alisema ni kuwafikia watu ambao hawajafikiwa na injili ulimwenguni kote na hili ni agizo kutoka kwa BWANA  ya kwamba tuenende ulimwenguni kote na tukahubiri injili kwa mataifa yote.



“Mathayo 28:19”



Aidha alifafanua jinsi gani umisheni una umuhimu kwa mkristo



·         Ni kuonyesha utii juu ya agizo la Mungu kwa kuwaleta watu Kwa Bwana  waliopotea  ili wasiende katika motoni bali wamjue Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yao Siku zote za maisha yao hapa duniani. Marko 16;15 na Ezekieli 22;30



·         Kulipa  deni maana tulipokea bure nasi tutoe bure Mathayo 10;8 Ezekieli 13;18
  Ni namna ya  kumleta Mungu katika Familia zetu  Ufunuo 7;9




·       


·   Ni wajibu wa kila nafsi kuzaa Ayubu 8;9


Namna ya  kufanya umisheni


Kila mtu anaweza kufanya umisheni kwa njia moja au nyingine kwa njia ya maombi na maombezi
  2 koritho 2;10-16 kuwafanya wale waliopotea kufunguliwa kwao.Kujitoa kwa mali zetu, muda na huduma zetu yote kwa ajilli ya bwana. Rumi 10;15 na Korintho 9;7
Missionary Mr. Laurian Sumaye

Mchungaji Daudi akiwa na Apostle Darmacy

Kushoto ni Feston , Benard na Mbesu

Mguso wa roho mtakatifu

Picha ya pamoja ya wachungaji

Mr. sumaye Pamoja na Mr. Kaaya

Kushoto ni Mchungaji Daudi  Mwalonde wa T.A.G. Calvary Temple Uyole na Mama mchungaji Pamoja na Mr, Sumaye

Mr. and Mrs Sumaye

 


KAMA UNA  UHITAJI WA MAFUNZO YA

UMISHENI/UINJILISTI,UFUATILIAJI NA UFUASI PIA

UCHUMI KIBIBLIA  AU MTAZAMO WA BIBILIA KUHUSU FEDHA

Wasiliana na  Missionary Mr. Laurian Sumaye 

P.O.BOX 1993 Mbeya

+255767-841782

+255713-841782


Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.