Fast jet Ya Zindua safari za Mbeya- Dar | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Sunday, November 3, 2013

Fast jet Ya Zindua safari za Mbeya- Dar

KWA GHARAMA NAFUU NA UHAKIKA SAFIRI NA FASTJET

Timu nzima ya marubani na wahudumu wa ndege katika safari ya kwanza ya fastjet kutoka Dar es Salaam kwenda Mbeya, ikiongozwa na Ali Hammoud (wa kwanza kulia)
Abiria wakifanya ukaguzi wa tiketi zao kabla ya kuelekea kwenye ndege
 Abiria wakipanda kwenye ndege
Injinia Remigius Mussa, mmoja wa abiria waliokuwa kwenye safari ya kwanza ya fastjet kutoka Dar es Salaam kwenda Mbeya
 Abiria
Wananchi wakiwa wamekusanyika nje ya uzio wa uwanja wa ndege wa Songwe jijini Mbeya ili kushuhudia uzinduzi wa safari za ndege za fastjet mkoni humo


Mkurugenzi uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl Julius Nyerere (JNIA), Moses Maliki
Meneja uwanja wa ndege wa Songwe jijini Mbeya, Valentino Kadeha
Meneja Mauzo wa fastjet, Vishal Choudry akifafanua jambo 
 Wadau wa usafiri wa anga
Commercial manager wa fastjet, Jean Uku akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dr. Shaban Mwinjaka.
 Furaha: Hata watoto wanafurahia kusafiri na fastjet
Ndege ya fastjet ikitua kwenye uwanja wa Songwe jijini Mbeya
Ndege ya fastjet ikifanyiwa mbwembwe za kuikaribisha kwenye uwanja wa ndege wa Songwe, tukio hilo linaitwa 'Water Splash'
Naibu Meya wa jiji la Mbeya, Chieffoda Fungo akiwa na mdau wa Mbeya yetu Mr. Nwaka Mwakisu wakakifurahia uzinduzi wa safari ya kwanza ya ndege ya Fastjet kati ya Dar es Salaam na Mbeya
 Ndege ya fastjet kwenye uwanja wa ndege wa Songwe
Commercial Manager wa fastjet, Jean Uku, (kushoto)  pamoja na Mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa safari ya Dar es Salaam Mbeya,  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dr. Shaban Mwinjaka (wa pili kushoto), akifuatiwa na Meneja wa Uwanja wa ndege Songwe, Valentino Kadeha na Meneja Mauzo wa fastjet, Vishal Choudry.
Mdau wa Mbeya yetu Charles Fumbo akipozi baada ya kushuka kwenye ndege ya fastjet
Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro 
 Wageni waalikwa
Meza Kuu: Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl Julius Nyerere (JNIA), Moses Maliki, Commercial Manager wa fastjet, Jean Uku, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dr. Shaban Mwinjaka, na Kaiumu Mkurugenzi wa Mipango na Sera kutoka Wizara ya Uchukuzi, Aunyisa Meena.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dr. Shaban Mwinjaka akizindua rasmi safari za ndege ya fastjet kati ya Dar es Salaam na Mbeya
Mgeni rasmi ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dr. Shaban Mwinjaka akikata keki kuashiria kuzindua safari za fastjet kati ya Dar es Salaam na Mbeya, kushoto ni Commercial Manager wa fastjet, Jean Uku 
Commercial Manager wa fastjet, Jean Uku akimlisha keki mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dr. Shaban Mwinjaka
Meneja Mauzo wa fastjet, Vishal Choudry akiwa na Erick Sichinga
 Commercial Manager wa fastjet, Jean Uku akifafanua jambo
Mwandishi Mwandamizi wa Blog ya Mbeya Yetu, Joseph Mwaisango
Mhariri wa habari wa Tone Multmedia ambao ndio wamiliki wa Blogs za Mikoa, Dotto Kahindi
Ndege ya fastjet ikiondoka uwanja wa ndege Songwe, Mbeya
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.