Watu 200 wafa maji Sudan kusini | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Tuesday, January 14, 2014

Watu 200 wafa maji Sudan kusini

Wamefariki   Ni Katika Ajali ya Feri 

Ni katika Mto Nile wakati wakikimbia mapigano katika mji wa Malakal.

Südsudan Kämpfe Flüchtlinge in Bor Wananchi wa Sudan kusini wakikimbia mapigano

Taarifa zinazopatikana kutoka Sudan Kusini zinasema watu kati ya 200 na 300, ikiwa ni pamoja na wanawake na watoto wamekufa maji katika ajali hiyo ya feri. Chombo hicho kilikuwa na watu wengi kuliko uwezo wake, amesema msemaji wa jeshi Philip Aguer.

Ameongeza kuwa wote wamefariki. Walikuwa wakikimbia mapigano ambayo yalizuka tena katika mji wa Malakal.


Mapigano yanaendelea

Mapigano yameendelea katika maeneo mbali mbali leo(14.01.2014) katika Sudan ya kusini . Mapigano makali yameripotiwa kutokea katika mji wa Malakal, mji mkuu wa jimbo linalotoa mafuta kwa wingi la Upper Nile, wakati waasi walipofanya mashambulizi mapya kuukamata mji huo, ambao umekuwa ukibadilisha udhibiti mara mbili kati ya waasi na jeshi la serikali tangu mzozo huo kuanza Desemba 15 mwaka jana nchini Sudan Kusini.

Konflikt im Südsudan Regierungssoldaten 25.12.2013 Wanajeshi wa serikali wakipambana na waasi

Kuna mapigano mapya ndani na nje ya mji wa Malakal, amesema mkuu wa misaada ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Sudan kusini Toby Lanzer, na kuongeza kuwa kituo cha jeshi la kulinda amani limefurika karibu mara mbili ya idadi ya watu wanaohitaji hifadhi, kutoka 10,000 hadi 19,000.

Jeshi limeripoti kutokea mapigano makali kusini mwa mji wa Bor, wakati serikali ilitaka kuudhibiti tena mji wa huo kutoka kwa waasi, mji mkubwa pekee ambao bado uko katika udhibiti wa waasi.

Hata hivyo amekataa madai ya waasi kuwa wamekamata tena bandari ya Mongola katika mto Nile, mji iliyopo kati ya mji wa Bor na mji mkuu Juba.

Pia amethibitisha kuwa kumekuwa na mapigano makali kusini mwa mji mkuu, katika mji wa Rajaf jana.

Malakal in Südsudan Mji wa Malakal

Miili yatapakaa barabarani

Wakati huo huo miili kadha ya watu , ikiwa ni pamoja na miili ambayo imeharibika imetapakaa barabarani kutoka uwanja wa ndege hadi katika mji mkuu wa jimbo linalotoa mafuta kwa wingi nchini Sudan kusini la Unity. Nyumba na majengo mbali mbali pamoja na maduka yamechomwa moto ama kuharibiwa na kumekuwa na uporaji mkubwa, huku magari yaliyoharibiwa na kuchomwa moto yakifuka moshi.

Matokeo ya vita mjini Bentiu na uharibifu uliotokea katika taifa hilo jipya duniani yanaonekana wazi, wakati jeshi la serikali likiendelea kupambana na wanajeshi ambao walilitumikia jeshi hilo mwezi mmoja uliopita, ambao hivi sasa wanaitwa waasi.

Hayo yakiendelea viongozi wa Japan na Ethiopia wamezitaka pande zinazopigana nchini Sudan Kusini kutia saini makubaliano ya kusitisha mapigano ambayo yamesababisha maelfu ya watu kuuwawa.

"Tumekubaliana kuwa usitishaji wa uhasama nchini Sudan Kusini na mapatano ya kitaifa ni muhimu sana," waziri mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn, amesema katika mkutano wa pamoja na waandishi habari akiwa na mwenzake wa Japan, Shinzo Abe.

Äthiopien Ministerpräsident Hailemariam Desalegn 

  Waziri mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn

Matamshi hayo yamekuja huku mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa kati ya pande hasimu nchini Sudan kusini yakiendelea mjini Addis Ababa. Ethiopia na Japan zimesema zinataka uthabiti nchini Sudan Kusini, nchi ambayo imepata uhuru mwaka 2011 kutoka Sudan

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.