Ajali Dar- Moro. | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, March 6, 2014

Ajali Dar- Moro.

Majeruhi sita wa ajali hiyo walipelekwa katika Kituo cha Afya Chalinze kwa matibabu
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Chalinze mkoani Pwani, Innocent Sull akiangalia lori la mafuta lililogongana na basi dogo eneo la Bwawani na kusababisha kifo cha mtu mmoj


Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Bwawani Barabara ya Chalinze - Morogoro.
Ajali hiyo ilitokea jana saa 4.30 asubuhi baada ya basi hilo aina ya Toyota Coaster lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Ifakara kugongana na lori la mafuta lililokuwa likitoka Morogoro kuelekea Chalinze.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei alimtaja aliyefariki dunia katika ajali hiyo ni dereva wa lori, Ally Ngoma (62).


Kamanda Matei alisema majeruhi 14 wa ajali hiyo ni abiria waliokuwa kwenye basi. Alisema wote walipelekwa katika Kituo cha Afya Chalinze kwa matibabu.
Alisema ajali hiyo ilitokea baada ya dereva wa basi kujaribu kuyapita magari mengine katika eneo la Sekondari ya Bwawani sehemu ambayo ina mwinuko.

 

Barabara yafungwa
Mbali ya kusababisha kifo na majeruhi hao, ajali hiyo ilisababisha adha kwa waliokuwa wakitumia barabara hiyo hasa wale wanaosafiri kati ya Dar es Salaam na Morogoro kwani zaidi ya magari 200 yalikwama kwa zaidi ya saa tatu.

 

Ajali hiyo imetokea siku moja baada ya nyingine iliyosababisha vifo vya watu saba baada ya basi dogo la abiria kugongana na lori katika eneo la Chalinze Mzee na kujeruhi tisa.
Akizungumzia ajali hiyo ya juzi, Ofisa Habari wa Hospitali ya Tumbi, Kibaha, Gerald Chami alisema majeruhi sita hali yao wanaendelea vyema.


Wananchi wakitazama mabaki ya gari la abiria, Linowene iliyokuwa ikielekea Malinyi, Morogoro kutokea Dar es Salaam.

Alisema wakati dereva huyo akijaribu kuyapita magari hayo, alikutana na lori hilo na kugongana uso kwa uso na kusababisha kifo na majeruhi hao.
Alisema dereva wa basi hilo anatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote kuanzia sasa kujibu tuhuma zinazomkabili.






Dereva wa lori, Scania, mali ya kampuni ya Twiga Cement akijiandaa kuvuta gari la Linowene, kabla ya kuachia kijiti kwa lori lingine kuiyuta kwa pembeni, nje ya barabara.




Taswira kwa mbali ikionyesha basi la Linowele na Adveture, ambapo lori aina ya Scania likiivuta kuiondoa barabarani

Mwili wa dereva wa gari la mafuta, mali ya kampuni ya OilCom.




 Photo credit to Logo

and

Credit.http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1596658/medRes/597816/-/maxh/100/-/131l59f/-/logo.png
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.