FAHAMU AHADI 12 JUU YA MAISHA YETU
Neno la
Mungu limepimwa na kuhakikishwa na Mungu, kwamba linafaa kwa matumizi ya
Binadamu. (Zab 12:6) Neno la Mungu li hai na lina Nguvu ya kumshinda shetani
(Ebr 4:12). Kuna umuhimu mkubwa wa kutumia Neno la
Mungu na ahadi za Mungu, wakati wa maombi. Kumbuka, Mungu analiangalia Neno
lake ili alitimize (Yer 1:12)
Zifuatazo ni baadhi tu ya ahadi mbalimbali za
Mungu zilizopo katika Biblia Takatifu. Na wewe kama mwombaji, unatakiwa kuzijua
na kuzitumia ili kumkumbusha Mungu anachosema katika Neno lake (Isaya 43:26)
ili kusababisha mabadiliko mazuri yatokee katika ulimwengu wa mwili kama tunavyoomba
(Fil 4:6-7, Efe 6:18, Math 16:19,18).
1. Ahadi za
Mungu juu ya Hali ya Hatia na Kushitakiwa
Moyoni
1Yohana
1:8,9,7; Isaya 1:18; 1Yohana 2:1; Warumi 8:34; Waebrania 10:19-22;
Waebrani 4:16; Waebrania 9:14; Waefeso 1:7; Yeremia 31:34; Isaya 43:25; Zaburi 103:12; Isaya 55:7; 1Yohana 3:20; Yohana 3:17-18; 2Wakorintho
5:17; Isaya 43:18
2. Ahadi za
Mungu kuhusu juu Mamlaka aliyotupa sisi Wana wa Mungu
Danieli
7:13-14, 27; Waefeso 1:20-23; Waefeso 2:6; Mathayo 28:18;
Mathayo
16:18-19; 1Yohana 4:13,17; Yohana 14:12
3. Ahadi za
Mungu kumshinda shetani na nguvu zote za giza
Hesabu 23:23; Luka
10:19; Yeremia 1:9-10; Yeremia 51:20; Mathayo 18:18;
Marko 16:16-18;
Yakobo 4:7 ; Mathayo 8:8; Yeremia 5:14; Yohana 14:12
4. Ahadi za
Mungu kuhusu Uponyaji wa magonjwa ya mwili
Zaburi 103:3; Mathayo
8:17; 1Petro 2:24; Kutoka 15:26; Kumbukumbu
7:15
Marko 16:16-18;
Warumi 8:12; Yohana 14:12; Yakobo 5:14-15; Marko 6:13
Mathayo 8:8; 1Yohana
4:13,17
5. Ahadi za Mungu kuhusu Ulinzi na Usalama wa Wana
wa Mungu
Zaburi 121:5-8;
Zaburi 91:10-12; Yohana 10:28; Isaya 54:14; Isaya 54:17;
Zaburi 34:7;
Kumbukumbu 9:1-3; Zaburi 121:1-8; Walawi 26:6
6. Ahadi za Mungu kuhusu Utajiri na Mafanikio wa
Wana wa Mungu
3Yohana 1:2; 2Timotheo
2:7; Kumbukumbu 28:1-13; Zaburi 1:1-3; Yoshua 1:7-8
2Wakorintho
8:9; 2Wakorintho 9:11; Wafilipi 4:19; Kumbukumbu 15:4; Isaya 45:1-3
Malaki 3:10-12;
Warumi 10:12
7. Ahadi za
Mungu kuhusu Akili njema, maarifa na busara
2Timotheo 2:7;
Wakolosai 2:2-3; Zaburi 111:10; Kumbukumbu 4:5-8;
Kumbukumbu 28:13; Waefeso 1:18
8. Ahadi za Mungu kuhusu Watoto na Familia
Yeremia 9:17;
Isaya 54:13; Kumbukumbu 28:4; Matendo 16:31; Mathayo 16:18-19
9. Ahadi za Mungu kuhusu Furaha, Faraja
na Amani
Wafilipi 4:6-7;
Wakolosai 3:15; Isaya 55:12; Isaya 9:6; Kutoka 33:6; Zaburi 16:11
10. Ahadi
za Mungu juu ya maonezi kutoka kwa adui zako
Isaya 54:14-15; Isaya 54:17; Yeremia 1:19; Zaburi
118:12; Isaya 49:26;
Warumi 8:31; Waebrania 13:6; Isaya 41:11; Kutoka
14:14; Kumbukumbu 31:6
Kutoka 23:22; Danieli 6:22;
11. Ahadi za Mungu juu ya hali ya Uchovu – Unapojisikia Kuishiwa Nguvu
Luka 24:49, Isaya 40:29,31; Matendo 1:8,
Matendo 2:1-4, Matendo 4:31
Waefeso 3:16, 1Petro 4:11, Warumi 6:10,
Wafilipi 4:13, Wakolosai 1:11,29
12. Ahadi za Mungu kuhusu kupata kibali kwa watu (The Favour of the Lord).
Isaya 66:12; Kumbukumbu 6:10-11; Kumbukumbu 8:6-12,
Warumi 8:33
CREDIT TO;