Abiria wa Iringa wapewa namba za simu kuzuia ajali | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Saturday, December 19, 2015

Abiria wa Iringa wapewa namba za simu kuzuia ajali

KAMATI ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Mtandao wa Mabalozi wa Usalama Barabarani, imetoa namba za simu kwa abiria wakati wakizindua kampeni yao ya ‘Abiria Paza Sauti’. Kampeni hiyo inayolenga kupunguza ajali wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, ilizinduliwa juzi katika stendi ndogo ya mabasi yaendayo mikoa ya Ipogolo, mjini Iringa.
Mratibu wa Kanda ya Nyanda za Juu wa Mabalozi wa Usalama Barabarani, Ramadhani Msangi alizitaja namba hizo kuwa ni 0658376053 ya Trafiki Iringa na 0758807734 ya Sumatra Iringa. Alizitaja namba nyingine kuwa ni 0682887722 ya Trafiki Makao Makuu Dar es Salaam na 0800110019/20 ya Sumatra Makao Makuu Dar es Salaam.
Msangi alisema kwa kupitia namba hizo, abiria wanatakiwa kupaza sauti zao kama kaulimbiu ya kampeni yenyewe inavyotaka kwa kuwaripoti madereva wanaokwenda mwendo kasi, wanaopita magari mengine kwa hatari, walevi na wanaokiuka sheria nyingine zote za barabarani.
“Kampeni hii inawataka pia abiria wakatae kulanguliwa tiketi, kusafiri na dereva mmoja safari ndefu na kupanda gari lisilo na mikanda kwa kutoa taarifa kupitia namba hizo ili hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa mara moja,” alisema.
Akizindua kampeni hiyo, Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa, Salim Asas alisema; “tunashirikiana na mabalozi wa usalama barabarani kuhakikisha kwamba abiria wanafanya safari zao kuanzia maeneo mbalimbali ya mkoa wa Iringa wanashiriki kuzuia ajali za barabarani.”
Asas aliipongeza kampeni hiyo akisema imekuja katika kipindi mwafaka cha mwezi Desemba ambacho rekodi zake zinaonesha ndicho kipindi kinachokuwa na ajali nyingi za barabarani.
Naye Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa, Leopord Fungu alisema; “pamoja na kwamba kampeni hii inalenga kipindi hiki cha Desemba, hapa Iringa tunataka iwe ya kudumu.”
Mabalozi Wa usalama barabarani Leo katika stendi juu ya Mkoa wa Iringa

Credit to .
Frank Leonard-
Clever Anton-Rsa
Salma Mfaume- Rsa
Hadija Kimaro- Rsa
Damas Anthony-Rsa ( photographer)

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.