KAMPENI YA ABIRIA PAZA SAUTI | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Monday, December 21, 2015

KAMPENI YA ABIRIA PAZA SAUTI




TAARIFA ZA KAMPENI YA  ABIRIA PAZA SAUTI


PAZA SAUTI NI NINI?

Abiria PAZA SAUTI ni kampeni maalumu inayoendeshwa  na taasisi ya mabalozi wa Usalama barabarani, yaani Road Safety Ambassadors (RSA) Tanzania kwaajili ya kukuza uelewa na kuwahimiza watanzania kutambua haki na wajibu wao wawapo safarini kama abiria.


KWANINI KAMPENI INALENGA ABIRIA?

Kampeni ya PAZA SAUTI inawalenga abiria hasa wa mabasi ya mikoani kwa kuwa kwanza wao ndio wanachukua idadi kubwa ya watumiaji wa barabara hasa kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya. Katika kituo cha mabasi UBUNGO pekee kuna mabasi Zaidi ya 200 yanayoondoka kwa siku moja, huku basi moja likiwa na takribani abiria 60, hivyo kufanya idadi ya abiria Zaidi ya 12,000 wanaosafiri kila siku. Hawa ni abiria wengi sana ukilinganisha na abiria 15 au 30 wanaoweza kuwa katika daladala au kwenye chombo kingine cha usafiri. 


Sababu nyingine ni kwamba kwakuwa abiria hawa wanasafiri wengi kwa mara moja kwenye basi, hivyo hata ikitokea ajali madhara yake yanakuwa makubwa sana kulinganisha na chombo cha usafiri chenye watu chini ya 30. Aidha abiria hawa wanasafiri na mabasi ya masafa marefu ambapo kitaalamu kadiri urefu wa safari unavyoongezeka ndivyo vihatarishi (risks) au visababishi vya ajali vinavyoweza kuongezeka

Tatu, abiria wengi wanaosafiri na mabasi ya mikoani hawana uelewa wa kutosha kuhusu usalama barabarani, hasa wajibu wao kama abiria. Wengi wetu tukiwa kama abiria maisha yetu yote tunakuwa tumeyakabidhi kwa dereva na kondakta wake. Hawa ndio wanaamua mwendo gani basi litembee, wapi wasimame, wapi wasisimame, nk. Abiria wa basi anakuwa kama mateka asiye na haki yoyote akiwa kwenye basi, wala hana wajibu wowote. Yeye akishalipa nauli tu, basi wajibu wake umekwisha, na wakati mwingine hana thamani tena.

Kwa sababu hii basi ndio sababu baadhi ya abiria hushabikia mwendokasi, au kuwa maadui wa wale abiria ambao ama wamekuwa wakimwonya dereva au kutoa tahadhari fulani. Abiria wengi hata pale wanaposimamishwa na askari na kuulizwa kuhusu mwendo wa dereva, huamua kuficha ukweli na kumwambia askari kuwa dereva alikuwa anakwenda mwendo sahihi tu. Hata hivyo ni abiria hawa hawa ambao, inapotokea ajali tumeshuhudia wakiwa mstari wa mbele katika kusema kuwa mwendo wa dereva ulikuwa mbaya, na uendeshaji wake ulikuwa wa hovyo. Lakini wakati huu wanaongea haya tayari wako hospitali, wameshakatika vingo na wengine ni marehemu.

 

 Nne, abiria wengi pia hawatambui haki zao za msingi kama vile kuwa na tiketi, na faida za kuwa na tiketi. Hawatambui haki zao mathalani pale gari inapoharibika njiani au anapopewa usafiri tofauti na ule aliolipia, na wakati mwingine hata basi linapochelewa kuondoka kituoni.
Aidha pamoja na baadhi ya abiria kujua haki zao, wengine wamekuwa wakishindwa kudai haki hizo kutokana na kutojua wapi kwa kupeleka malalamiko au kutoa taarifa. Hivyo basi kujikuta wakishindwa kutimiza wajibu wao. Baadhi ya abiria wameogopa kutetea haki zao au kutimiza wajibu wao kwa kuona aibu, au kuogopa abiria wenzao wasije wakaanza kuwasimanga nchi nzima
Kwa ufupi hii ndio sababu, kampeni hii imeanzishwa ili kumjengea abiria uwezo wa kutambua haki na wajibu wake na kuweza kutekeleza kwa vitendo wajibu huo. 



RTO Iringa akiwa na wana ROAD SAFETY AMBASSODOR (Mabalozi wa Usalama Barabarani) mara baada ya kusimika bango la ABIRIA PAZA SAUTI Stendi ya Mabasi Ipogoro mkoani Iringa.

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
RTO Iringa akiwa na wana ROAD SAFETY AMBASSODOR (Mabalozi wa Usalama Barabarani) mara baada ya kusimika bango la ABIRIA PAZA SAUTI Stendi ya Mabasi Ipogoro mkoani Iringa.

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu












RTO Iringa akiwa na wana ROAD SAFETY AMBASSODOR (Mabalozi wa Usalama Barabarani) mara baada ya kusimika bango la ABIRIA PAZA SAUTI Stendi ya Mabasi Ipogoro mkoani Iringa.

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu



RTO WA Iringa akiwa pamoja na Mabalozi wa usalama Barabarani

RTO Iringa akiwa na wana ROAD SAFETY AMBASSODOR (Mabalozi wa Usalama Barabarani) mara baada ya kusimika bango la ABIRIA PAZA SAUTI Stendi ya Mabasi Ipogoro mkoani Iringa.

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu






Mabalozi wa usalama barabarani wa Iringa




Ramdhani Msangi



Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.