KAMPENI YA MAGONJWA YASIO PEWA KIPAOMBELE | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, December 17, 2015

KAMPENI YA MAGONJWA YASIO PEWA KIPAOMBELE

 Huduma ya kugawa Dawa za Matende na Mabusha kuanza Disemba 19 Dar



Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na Ofisi za mikoa mbalimbali nchini inatarajia kuendesha zoezi la ugawaji wa dawa kwa ajili ya magonjwa ambayo yalikuwa hayapewi kipaumbele.


Baadhi ya watoto wakipatiwa huduma ya dawa za  Vikope ( trakoma) Ngara


Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es salaam na Mratibu wa Kitaifa wa Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa ambayo yalikuwa hayapewi kipaumbele Dkt. Upendo Mwingira wakati wa semina ya wahariri wa vyombo vya habari mbalimbali nchini.Amesema kuwa zoezi hilo linatarajiwa kufanyika kuanzia hivi karibuni ambapo dawa za magonjwa hayo ni minyoo, matende na mabusha zitatolewa bila malipo kwa wananchi wote.


Dkt. Mwingira amesema kuwa dawa hizo zitatolewa kwenye Hospitali, Vituo vya Afya, Zahanati Masoko, Vituo vya Basi, treni , shuleni, mashirika ya umma, nyumba za ibada, kambi za jeshi na Wizarani.Ameongeza kuwa walengwa ni wananchi wote wenye umri wa miaka kuanzia mitano hadi kuendelea. Alifafanua kwamba dawa hizo humezwa kila mwaka.

Dr. Upendo Mwingira  mratibu wa Taifa wa kudhibiti magonjwa ambayo yalikuwa hayapewi kipaombele

Dkt.Mwingira alisema kampeni hiyo itaanza katika jiji la Dar es Salaam kuanzia Desemba mwaka huu na mikoa ambayo itaambatana na kampeni hiyo ni Katavi, Rukwa, Lindi,Mtwara,Singida, Dodoma na Pwani. Mikoa iliyobakia kampeni hiyo itafanyika kwa awamu kati ya Januari na Februari.Aidha Dkt. Mwingira amesisitiza kuwa dawa zitakazotolewa ambazo ni Albendazolena Ivermectin hazina madhara yoyote na kuongeza kuwa ni vema wananchi wakatumia fursa hiyo kujipatia tibakinga.Magonjwa ambayo yalikuwa hayapewi kipaumbele ni mabusha,matende,usubi,trakoma,minyoo na kichocho.

Charles Guzo katika utendaji wa kazi wa kupima Minyoo ( Tanga,  Lushoto)


Mratibu wa Kitaifa wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Magonjwa yasiyopewa Kipaumbele, Dkt. Upendo Mwingira akielezea jinsi Serikali inavyojitahidi kupambana na magonjwa hayo, ambayo baadhia yake  ni Matende, Mabusha, Minyoo ya Tumbo, Kichocho, Trakoma na Usubi kwa baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari  katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii jijini Dar es salaam.


TAZAMA BAADHI YA PICHA ZA KAZI ZILIZO FANYIKA 


















\






























Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.