Omba kwa Ajili Ya Nchi ya Burundi | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Tuesday, December 15, 2015

Omba kwa Ajili Ya Nchi ya Burundi

Mzozo Burundi wasababisha wahisani kusitisha misaada ya bajeti

Baada ya ziara nchini Burundi kujionea hali ya kibinadamu, Mkuu wa operesheni kwenye ofisi ya Umoja wa Mataifa ya usaidizi wa kibinadamu, OCHA, John Ging, amesema mzozo wa kisiasa umesabisha nchini humo umesababisha wahisani kusitisha msaada wa kibajeti na hivyo kuzorotesha hali ya kibinadamu na kiuchumi.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini New York, Marekani, Bwana Ging amesema bajeti ya Burundi inategemea zaidi ya asilimia 51 kutoka kwa wahisani kwa hiyo kusitishwa kwa misaada kumeongeza shida juu ya shida.

(Sauti ya Ging)

“Wahisani wakuu wanaosaidia bajeti kama vile upatikanaji wa huduma muhimu za umma wamesitisha misaada hiyo. Kwa  hiyo basi huduma hizo sasa hivi hazina fedha, mathalani dawa muhimu, malipo ya mishahara na kadhalika.”

Bwana Ging amesema kwa sasa yaonekana hakuna mwenye jibu kwenye mzozo wa Burundi na hilo ndio tatizo kwa hiyo..

(Sauti ya Ging)

“Tunatoa wito kwa wale wenye wajibu wa kisiasa kuongeza juhudi zao maradufu! Kila mmoja anapaswa ajikite na wajibu wake, mimi najikita suala la kibinadamu lakini nina wajibu wa kupaza sauti na kusema kuwa hali ya kibinadamu inazorota, na suluhu iko wapi? Si ya kibinadamu! Sisi hatuna jibu bali ni suluhu ya kisiasa!”

Kwa mujibu wa Ging, hali ya kibinadamu inashuka kwa kasi na amenukuu ripoti ya maendeleo ya kibinamu inayoiweka Burundi nafasi ya 194 kati ya nchi 197.

(Pichani:Raia wa Burundi wakifungasha virago kwenda kambini: UNHCR/Video capture)

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.