ROAD SAFETY AMBASSADOR | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Friday, December 18, 2015

ROAD SAFETY AMBASSADOR

UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA KIBALOZI
Popote pale ulipo balozi wa usalama barabarani una wajibu mzito wa kutekeleza majukumu yako na kwa ukamilifu. Majukumu hayo ni pamoja na wewe mwenyewe kuwa mfano wa utii wa sheria bila shuruti. Ukikosea unalipa lakini pia unajitahidi sana kutofanya makosa yanayoepukika. Hata hivyo zipo njia mbali mbali za namna unavyoweza kutekeleza majukumu yako.
1. KUONGEA NA ABIRIA UWPAO NDANI YA BASI
Ikiwa unasafiri na basi husika unaweza kuamua kuongea na abiria kwa kuwahimiza kufunga mikanda na kuhakikisha usalama wao muda wote wanapokuwa safarini ikiwamo kuzingatia usafi na kuchukua tahadhari muhimu, hata ile ya kutokupokea kitu hovyo kutoka kwa mtu asiyemfahamu. Hii inaweza kusaidia hata wahudumu wa basi kujua ndani ya basi kuna mtu anayejitambua hivyo dereva akawa makini wakati wote. Usisubiri hadi dereva aanze kuharibu ndio uanze kuongea.
2. UNAWEZA KUTOA TAARIFA YA SIRI TU
Kulingana na mazingira uliyopo mfano kwenye chombo cha usafiri. unaweza kuamua kutoa taarifa ya siri bila wewe kujulikana. Mfano ukapiga picha ya hali ya basi ilivyo mf.kukosa mikanda, au tiketi kutojazwa inavyotakiwa  au hata kuzidishiwa nauli kisha ukatuma picha hizo na ujumbe unaoelezea hali hiyo kwenda nambari 0682 887722. Uzuri wa kutuma ujumbe moja kwa moja kwenda namba hii ni kwamba TCC watakapopeleka taarifa kwa askari walipo ground namba itakayosomeka ni ya kwao kama originators. Usisahau kusema mnakotokea, mlipo na mnapoelekea. Tunawaasa mabalozi pia kutumia njia hii kutokana na mazingira mengine ya utoaji taarifa kuwa hatarishi, na ndio maana njia hii pia inakubalika.
3. KWA KURIPOTI KWENYE GROUPS ZA RSA AU FACEBOOK
Unaweza kuripoti moja kwa moja kupitia groups za rsa zilizopo whatsapp,  na telegram. Taarifa utakayoitoa kwenye group itasomwa nchi nzima kwa wakati huo huo na ufuatiliaji kufanyika kiurahisi. Angalizo ni kwamba ukituma taarifa facebook inaweza kuchelewa kufanyiwa kazi.
4. KWA KUTUMA KWA ADMIN
Unaweza kuripoti kwa kutuma ujumbe moja kwa moja inbox kwa admin ambapo admin husika atareport kwenye mamlaka na kukupa mrejesho baadae. admin anaweza pia kupost kwenye group.
MADHARA YA KUTORIPOTI
Madhara ya kutoripoti au kutekeleza wajibu wako, usishangae gari inapata ajali na wewe umo ndani au hata wewe mwenyewe balozi unalipa nauli kubwa kuliko ile inayoruhusiwa. Au wakati mwingine hata gari linawatelekeza njiani na mnakosa msaada kwa jambo ambalo lingeweza kushughulikiwa mapema. Hapo ndilo unakuja ule msemo usemao "NINGEJUA HUJA BAADAYE".
Balozi pia uwe na tabia ya kureport uwapo safarini ili mabalozi wenzio wajue unatoka wapi unakwenda wapi ili hata ukitokea kuna dharula waweze kukupa msaada haraka. kwani network ya mabalozi ni kubwa nchi nzima. Usisafiri kibubububu isipokuwa tu pale kunapokuwa na sababu za msingi za kufanya hivyo.

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.