Thursday, February 23, 2017
MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017
- Next You are viewing Most Recent Post
- Previous Denice Simeo Youth Development Expert atoa ushauri kwa vijana wa chuo
google+
There is greatness inside of you
I believe that there is a seed of greatness in all human beings. Therefore the aim of my blog is to bring to my readers awareness of things that are happening around us. I will focus majorly on inspirational news that can motivate my readers to doing more with their lives too. If you are too busy to get acquainted with what is in the newspapers or you have read the papers but have not felt any inspiration or motivation, please log on this page and be inspired to walk in your purpose and dream.
Hongera Sana EMMANUEL NA FARAJA KWA HATUA KUFIKA UCHUMBA
MUNGU WA MBINGUNI AWABARIKI!!!!!
Swali: "Bibilia inasema nini kuhusu uchumba?"
Jibu: Ingawa neno “uchumba” halipatikani katika Bibilia, tumepewa kanuni kwamba Wakristo wanastahili kupitia kabla ya ndoa. Kanuni ya kwanza ni kwamba ni lazima tutafautishe mtazamo wa dunia kuhusu uchumba kwa sababu mtazamo wa Mungu wahitilafiana na ule wa dunia (2 Petero 2:20). Huku ikiwa mtazamo wa dunia juu ya uchumba huenda usiwe na jinsi tunavyo taka, cha muimu ni kutambua tabia ya mtu kabla tufanye ahadi naye. Lazima tujue ikiwa huyu mtu ameokoka katika roho wa kristo (Yohana 3:3-8) na kama huyo mtu ako na nia ile kama ya kristo (Wafilipi 2:5). Lengo kuu la uchumba ni kumtafuta mpenzi wa maisha. Bibilia inatuambia kwamba, kama Wakristo tusioe wasio Wakristo (2 Wakorintho 6:14-15) kwa sababu hii itafanya uhusiano wetu na Kristo na tuaibishe tabia zetu na kanuni zetu ziwe hafifu.
Wakati mtu amejitoa kw uhusiano, hata kama ni wa uchumba, ni muimu kukumbuka kumpenda Mungu kuliko vitu vyote (Mathayo 10:37). Kusema au kuamini kuwa mtu mwingine ni “vitu vyote” au kitu cha maana katika maisha ni kuabudu sanamu, ambayo ni dhambi (Wagalatia 5:20; Wakolosai 3:5). Pia hatustahili kuichafua miili yetu kwa kufanya usherati (1 Wakorontho 6:9, 13; 2 Timotheo 2:22). Dhambi ya usherati sio dhambi kwa mwili pekee bali ni kinyume na Mungu (1 Wakorintho 6:18). Ni muimu kuwaeshimu na kuwachukulia kuwa watu wa heshima vile tunavyojipenda wenyewe (Warumi 12:9-10). Na hii ni kweli kwa uhusiano wa uchumba. Hata kama mnachumbiana, kuifuata kanuni hii ndio njia nzuri kuwa na msingi salama wa ndoa. Mojawapo ya maamuzi tutakayofanya, kwa sababu wakati watu wawili wanaoana, hushikana na kuwa mwili mmoja kwa uhusiano ambao Mungu anaunuia uwe wa kudumu na usiovunjika (Mwanzo 2:24; Mathayo 19:5).
There is greatness inside of you
I believe that there is a seed of greatness in all human beings. Therefore the aim of my blog is to bring to my readers awareness of things that are happening around us. I will focus majorly on inspirational news that can motivate my readers to doing more with their lives too. If you are too busy to get acquainted with what is in the newspapers or you have read the papers but have not felt any inspiration or motivation, please log on this page and be inspired to walk in your purpose and dream.