MLIMANI PROJECT "DAY ONE" | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, June 23, 2016

MLIMANI PROJECT "DAY ONE"

MLIMANI PROJECT

SIKU YA KWANZA

Maombi ya Toba

2Nyakati 7:14

Bwana asipoulinda MJI aulindaye akesha Bure. Zaburi 127:1.
Zamu ya Iringa.  Ukipenda kuungana maelfu katika Hii project maalum... Fuata maelekezo. Tukutane Mlimani.

Biblia inaongelea juu ya watu wa Mungu kuchukua nafasi yetu na kuomba kwaajili ya uponyaji wa nchi (Aridhi) mkoa wetu lakini jambo la kwanza inazungumza na muhimu kabla ya Mungu kusikia na kusamehe na kuponya nchi (ardhi) anatutaka kujinyenyekeza kwa kuomba (Toba) kuacha njia mbaya......hii ndio hatua ya kwanza ambayo inaweza kuleta matokeo ya Mungu kuiponya aridhi yetu jambo la kwanza ni kujinyenyekeza na kuomba na kuacha njia mbaya ndipo Mungu anasema atasikia toka mbinguni na kutusamewe na KUIPONYA ARDHI YETU

2Petro 3:9

Bwana hakawii kutimiza ahadi yake, kama wengine wanavyokudhani kukawia,bali huvumilia kwenu,maana hapendi mtu yeyote apotee, Bali wote wafikiri toba.

Bado Mungu anaendelea kutukumbusha ,Na inawezekana kweli kwa muda mrefu tumefanya yaliokinyume lakini hatukuona hasira ya Bwana juu yetu....tusiwaze kwa upumbavu tukidhani kwamba labda kuna mazuri tumefanya yanayotupa nafasi...la hasha..! Ni rehema za Bwana kwamba hatuangamii kwasababu kama alivyosema kwenye neno lake hapendi hata mmoja wetu apotee hivyo anatupa muda wa kujichunguza na kuwaza toba .Ili tue na haki ya kumdai sawa sawa na neno lake ni lazima tuwe safi .

Toba itarejesha uhusiano wetu na Mungu tena na itafungua milango na kutupa nafasi kwasababu tu wasafi na maombi yetu yatafanyika manukato mbele zake

Toba juu ya mtu mmoja mmoja
Toba juu ya familia
Toba juu kaya
Toba juu ya mkoa mzima .Kwa yale tulioyajua na tusioyajua tumuombe Mungu aturehemu na atupe mwanzo mwingine

Kwa muda wa wiki mzima mpka Ijumaa ya tarehe 1 tutakua tukiomba toba na utakaso .

Matendo ya mitume 3:19

Tubuni basi,mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana;

Bwana anaahidi wakati mwema mbele yetu kama tutarejea kwenye toba ,Haijalishi imekua ni wakati wa taabu na mgumu kiasi gani toba inaweza kuturudisha kwenye mstari na kutuletea nyakati za kuburudishwa yaani nyakati zisizo na mahangaiko na majuto

# TOBA

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.