SIKU YA MTOTO WA AFRICA 2016 | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Wednesday, June 15, 2016

SIKU YA MTOTO WA AFRICA 2016

Tanzania na DRC ni miongoni mwa nchi za Afrika zilizoadhimisha siku ya mtoto wa Afrika duniani ikiwa na lengo la kumkomboa mtoto kimaisha.
Siku ya mtoto wa Afrika huadhimishwa kimataifa kote duniani kwa lengo la kutambua thamani, utu , na umuhimu wa mtoto duniani. Maadhimisho haya hufanywa kila juni 16 tangu ilipotangazwa kuwa siku rasmi mwaka 1991 na jumuiya ya umoja wa Afrika. Elimu kwa watoto ndio imekuwa mada kuu kwa nchi nyingi katika kumuinua mtoto wa Africa.
Mwaka huu nchini Tanzania kumefanyika maandamano ya kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika yaliyoandaliwa na shirika la Planning International kwa kushirikiana na wadau wengine kwa lengo la kuhamasisha Serikali na mashirika binafsi na yale ya kimataifa kusaidia watoto wa mitaani na wale yatima walioachwa na wazazi wao kutokana na sababu mbalimbali kama vile maathiriko ya virusi vya HIV na ukimwi.
Watoto wa mitaani walikusanyika alhamisi na kuandamana katikati ya jiji la Dar es salaam wakisoma risala zao kutoa ujumbe kwa Serikali kusaidia katika kuwapatia elimu na kuwaondolea huduma duni za maisha.
Meneja mawasiliano wa shirika la Planning International, Bwana Tenga Tenga akizungumza na Sauti ya Amerika- VOA, amesema kichwa cha habari katika maadhimisho hayo kilikuwa ni “ tushirikiane kwa pamoja kutatua tatizo la watoto waishio mitaani”. Amesema suala la afya pia limepewa kipaumbele katika maadhimisho ya mwaka huu , ambapo shirika lake kwa kushirikiana na watoto limepaza sauti kuhakikisha kuwa afya bora inatolewa kwa watoto hasa waishio mitaani.
Akizungumzia kuhusu elimu amesema shirika la Planning International limeweza kuwakusanya watoto wa mitaani na kuwasomesha, kuwapatia karo za shule, kuwajengea mabweni ili watoto wengi waweze kupata haki ya kuwa na elimu bora.
Aidha amesema ni zaidi ya miaka kumi sasa tangu maadhimisho haya yaanze na mafanikio yamejitokeza licha ya kwamba kumekuwa na changamoto za hapa na pale. Moja ya mafanikio ni kuwawezesha vijana ambao wamefikia umri wa kujiajiri, linatoa masomo ya ufundi stadi kumfanya kijana kujikomboa kimaisha, linawajengea visima vya maji na hata kuwakusanya pamoja na kuwapatia makazi.
Nako Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo –DRC, hasa eneo la mashariki siku hii ya mtoto wa Afrika imeadhimishwa kwa Serikali ikishirikiana na shirika la umoja wa mataifa la MONUSCO kuwaondoa wasichana watoto waliochini ya umri wa miaka 18 kutumikishwa katika harakati za ngono na vile vile vijana wadogo kutumika kama askari watoto kwenye makundi yatumiayo silaha.
Katika maadhimisho hayo pia Serikali ya DRC imeanza mpango wa kuwatafuta watoto wa mitaani na kuwahesabu ili waweze kuwashughulikia kama kuwapa ajira ndogondogo kama vile useremala na ufundi stadi pamoja na kutoa huduma za Elimu.

Credit to Apostle Darmasy blogger

Sabinus Picha

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.