PONGEZI KWA MATHIAS CANAL KUPATA MWALIKO WA KUSHIRIKI KONGAMANO LA NYUMBANI LA DIASPORA ZANZIBAR | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Sunday, August 21, 2016

PONGEZI KWA MATHIAS CANAL KUPATA MWALIKO WA KUSHIRIKI KONGAMANO LA NYUMBANI LA DIASPORA ZANZIBAR

Na Nukuu Maneno ya Mathias Canal

"Oh Oh NIMEALIKWA KUHUDHURIA KONGAMANO LA NYUMBANI NA DIASPORA ZANZIBAR

Na Canal Mathias

Ndugu zangu..!

Waandaaji wa Tamasha la Nyumbani na Diaspora wamenialika kuwa kijana mshiriki katika Kongamano litakalo wakutanisha zaidi ya watanzania 450 waishio Nje ya nchi yetu Maridhawa.

Hii ni heshima kubwa kwangu na kwa Vijana wengine wa kitanzania kupata mualiko wa kipekee kama Mchambuzi, Mjasiriamali na Mwandishi asiyeteteleka katika taaluma yake.

Kwa dhati kabisa nimepokea mwaliko huu na nipo katika maandalizi ya kushiriki Tamasha hili Muhimu litakalofanyika Zanzibar Beach Resort kuanzia tarehe 24 hadi 25 Agosti ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ally Mohamed Shein anatarajiwa kuchezesha ufunguo ishara ya ufunguzi wa mkutano huo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt John Pombe Magufuli atachezesha ufunguo wakati wa kufunga Tamasha hili.

Mkutano unatarajiwa kuvutia kwa kuwakutanisha washiriki 450 waishio Nje ya nchi na waliorejea, wadau kutoka sekta ya umma na binafsi pia kama wanachama wa Jamii ambao wamekuwa na mchango Mkubwa katika uhamasishaji wa wanachama wa Diaspora katika kujenga Taifa.

Kauli mbiu ya Mkutano huu ni kukuza Utalii na uwekezaji nchini Tanzania lakini pia kujihusisha na kuhimiza ugenini ili kuwa na Tanzania ya kushiriki katika Biashara ya Utalii kama Njia ya kukuza uwekezaji nchini.

Hii ni fursa Muhimu sana kwangu lakini inanifanya kuwa na uelewa mpana zaidi katika ushiriki na namna mijadala Mkubwa inavyoendeshwa.

Kipekee sasa niwashukuru kila mmoja kwa nafasi yake kwa namna mnavyoniimarisha kuwa bora Leo kuliko Jana.

Safari moja inaanzisha nyingine Asante kwa Mwenyekiti wangu Maggid Mjengwa kwa uratibu mzuri wa Tamasha hili ambalo limezidi hadi idadi tarajiwa tena pasina kutangazwa kwenye vyombo vya habari zaidi mitandaoni ya kijamii pekee."

Naaam, chura hapigwi teke ukijidanganya kumsukuma kwa hasira ujue umeirahisisha safari yake.

Ni Neno La Wakati Mwema
Mathias Canal (Sauti ya Wanyonge)
0756413465
Mwanza Mjini

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.