HURU FESTIVAL..... IRINGA NJOO UPATE CHANZO KIPYA CHA TAARIFA KUTOKA KWA MINISTER FRED MSUNGU | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Wednesday, October 26, 2016

HURU FESTIVAL..... IRINGA NJOO UPATE CHANZO KIPYA CHA TAARIFA KUTOKA KWA MINISTER FRED MSUNGU


HURU FESTIVAL.....
IRINGA
Ni Usiku wa Kuwekwa Huru Kwa Vijana Wengii

NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUKUKARIBISHA KWENYE MSIMU MPYA WA HURU FESTIVAL IRINGA.
TAMASHA LA IBADA NA SIFA
TAR: 4/11/2016
Mahali: Chuo kikuu RUCU


ONGEA UKWELI NA NAFSI YAKO

Ili ufike hatua ya kutambua kwa namna hii ni lazima uwe ni mtu unaeweza kusema ukweli na nasfi yako mwenyewe,Kwasababu kuna nyakati ambazo tumejikuta tunapoteza fulsa za mabadiliko ndani yetu kwasababu ya kitu kidogo sana ambacho ni kukubali kuiambia ukweli nafsi yako.Ni fikra ngumu kidogo hii unaweza ukawa unajiuliza kuongea ukweli na nafsi yangu...!Hii inawezekanaje? Tulia kidogo, vuta pumzi kisha tujifunze pamoja.
(Yohana 8:32) Tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.

Ukisoma kwa umakini hapo utagundua kabla ya uhuru au kuwekwa huru kuna hatua ya kwanza ambayo mimi hua naiita wajibu ni kuijua kweli unawajibika kuitafuta kweli na kuikubali hata kama haikufurahishi sana, tofauti na ufahamu wa watu wengi sana ulivyojijenga hapa nataka nikupeleke hatua ya juu zaidi ya kutambua kwamba kabla ya kweli ya nje kuthibitika ni lazima kwanza kweli hiyo ianze ndani ya nafsi yako ndipo ije kujithibitisha nje. Japo kuna wakati mwingine pia tumejikuta tukisema kitu nje lakini ndani yetu hakiua hivo kama jinsi vile tulivyosema.Sasa hali hiyo ndo inaitwa kutosema kweli na kukubaliana na nafsi kwasababu kuna wakati dhamira yetu ndani imetushuhudia hasi ila kwasababu na matakwa binafsi tukajifariji kwamba tuko chanya lakini chanzo cha taarifa cha ndani ambacho ndicho chanzo kikuu cha kweli yetu kilitujuza vingine na sisi tunatenda vingine.Kweli hujs kupitia vynzo mbali mbali na sehemu ya kwanza kuithibitisha kweli hua ni kwenye nafsi ya mtu binafsi na huna budi kuikubali kweli ya ndani ili isababishe badiliko.

Muhimu: unaweza ukatakiwa kufanya jukumu flani na mkuu wako au rafiki au ukasikia jambo Fulani la ushawishi kutoka kwa mtu wako wa karibu na ukatakiwa kulitolea mawazo yako, kutokana na ukaribu ulionao na yule mtu ukalazimika kusema ndiyo!Lakini ndani yako umesema hapana au haukuona haja ya wewe kukubaliana na lile lakini kwa sababu binafsi umeamua kusema ndio pengine ili kumridhisha mtu,Sasa tendo hili ni tendo la kuidanganya nafsi yako mwenyewe.Jifunze kusema kweli kama ni ndio basi ndio yako iwe ni ya ndani na nje na kama ni hapana vivyo hivyo hapana yako iwe hivyo.

Kwa maneno machache naweza kusema ili uwe huru ni wajibu wako kwanza kuijua kweli na kupitia hiyo kweli utakua na haki ya kua huru.Kweli ya ndani(kweli ya nafsi) ni ile hali ambayo mtu unalijua tatizo lako binafsi na hakuna mtu mwingine wa nje anaeweza kuliona wala kugundua juu yako , Na unaamua kulifanyia mabadiliko japo kua hakuna mtu aliekugundua wala kuhisi kitu.Hii ni hatua kubwa sana ambayo itakusaidia kufanya maamuzi ya kuchagua ni nini chanzo sahihi kitakacho kupelekea wewe kuijua hii kweli ambayo kwayo utakua huru.Ni mara nyingi sana tumezidanganya nafsi zetu kua tupo salama kwasababu watu wanaotuzunguka wametuamini na hakuna matokeo yeyote ya nje yaliyokuthibitisha kwa watu kua wewe ni mkosaji au hauko salama,lakini moyoni au nafsini mwetu tukijua kwa hakika hatuko salama. Hali hii kamwe si ya kuinyamazia au kuendekea kuifumbia macho kwani hii imekua ni sababu kubwa sana kua kupotoka kwetu kwasababu matokeo yeyote ya nje unayoyaona chanzo chake kilikua ndani. Na hii sasa ndio maana halisi ya lile andiko tulilosoma kwamba ‘Ajionavyo mtu nafsini mwake hivyo ndivyo alivyo.Hivyo kusema ukweli na nafsi yako kutasababisha mabadiliko sana katika maisha yako , kwamba ni kweli mimi nina tatizo hili hata kama watu hawajanigundua sasa je nifanye nini kuondokana na tatizo hili?Hiyo ndio njia na namna ya kusema ukweli na nafsi yako.

3. UMESIKIA NINI.... TOKA KWA NANI?
Chanzo cha taarifa mara nyingi ndio hua chanzo cha kuakisi na kukuaminisha kitu fulani ambacho baada ya kukisikia, kuona au kusoma na kukiamini na kuiweka imani katika matendo baada ya muda fulani wa mchakato matokeo huja vile vile kama jinsi uliona au kuamini.Inawezekana wewe ulianza kuuona ukuu ndani yako.... katika biashara, huduma, masomo, siasa au uongozi, Sasa baada ya kuhisi kitu hicho ndani yako ni taarifa gani ulioipata juu yako au juu ya ndoto yako? Je chanzo cha hiyo taarifa yako kilikua sahihi? Ukijizoesha kusikia habari za kushindwa basi unajijengea matokeo ya kushindwa kwasababu ubongo wako umekaa tayari kupokea taarifa, kufikiri na kuifanya fikra kua imani na imani kua katika matendo na kuleta matokeo halisi na kama kushindwa ndio imekua taarifa yako basi jiandae kushindwa.

Kama jinsi ulivyoona huo mtirirko katika kifani chetu hapo juu hivyo ndivyo taarifa husafiri na mwisho wake hua ni matokeo ambayo yanaweza kua mazuri au mabaya, lakini inategemea sana pale mwanzoni ulianza kwa kupokea taarifa gani! Kama taarifa ilikua ni sahihi basi tegemea matokeo sahihi ya yenye manufaa, Lakini kama haikua sahihi basi tegemea matokeo yasio sahihi pia. 
Sio kila chanzo cha taarifa ni sahihi kwako, tukutane wiki ijayo ambapo tutaanza kutazama vyanzo sahihi vya taarifa kwako. Unaweza kuwasiliana na mwandishi kupitia namba 0653-318117, ama kwa barua pepe fredymsungu@gmail.com.
 
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.