Thursday, February 23, 2017
MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017
- Next You are viewing Most Recent Post
- Previous Denice Simeo Youth Development Expert atoa ushauri kwa vijana wa chuo
google+
There is greatness inside of you
I believe that there is a seed of greatness in all human beings. Therefore the aim of my blog is to bring to my readers awareness of things that are happening around us. I will focus majorly on inspirational news that can motivate my readers to doing more with their lives too. If you are too busy to get acquainted with what is in the newspapers or you have read the papers but have not felt any inspiration or motivation, please log on this page and be inspired to walk in your purpose and dream.
Watanzania wanaotumia vyombo vya moto wameaswa kufanya uchunguzi wa mara kwa mara, kabla ya kuanza safari ili kuweza kupunguza ajali za barabarani.
Hayo ameyasema Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Kisasa cha kutoa huduma ya magari makubwa na madogo kilichopo Magomeni Mwembechai jijini Dar es Salaam,Masauni amesema kuwa kufanya uchunguzi wa magari katika kituo hicho kitasaidia kupunguza ajali za barabarani.
Amesema teknolojia inakua kwa kasi hivyo magari ya sasa yanatakiwa kufanyiwa uchunguzi wa kisasa kabla ya kuanza kwa safari katika kituo cha mwembe chai.Masauni amesema Superdoll wamekuwa wabunifu wa teknolojia ya kisasa ya katika vyombo vya moto ikiwa ni kuweka safari kuwa salama kwa safari zote.
Amesema kuwa kunzisha kituo hicho watakuwa wamesaidia ujenzi katika masuala ya usalama barabani na kuweza kupunguza ajali za barabarani.Masauni amesema kuwa watashirikiana na superdoll na kampuni ya matairi ya Michelin katika kufanya uchunguzi wa magari kwa teknolojia ya kisasa
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabani, Naibu Kamishina wa Jeshi la Polisi, Mohamed Mpinga, amesema superdoll wamekuwa wadau wa usalama barabarani na kuendelea kuwa wabunifu katika teknolojia mbalimbali.
Amesema wanaomiliki vyombo vya moto watumie kituo cha uchunguzi wa teknolojia ya katika kuweza usalama wa gari na maisha watu katika kufikia lengo la serikali ya kupunguza ajali barabarani.
Mkurugenzi wa Superdoll, Seif Seif amesema kuwa kuna tayari zimekuwa zikiingizwa nchini ambazo matumizi yake ni kwa nchi zenye barafu wakati Tanzania hatuna uhitaji wa hizo.
There is greatness inside of you
I believe that there is a seed of greatness in all human beings. Therefore the aim of my blog is to bring to my readers awareness of things that are happening around us. I will focus majorly on inspirational news that can motivate my readers to doing more with their lives too. If you are too busy to get acquainted with what is in the newspapers or you have read the papers but have not felt any inspiration or motivation, please log on this page and be inspired to walk in your purpose and dream.