MH. HAMAD MASAUNI AZINDUA KITUO CHA KISASA CHA KUTOA HUDUMA ZA MAGARI | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Friday, October 21, 2016

MH. HAMAD MASAUNI AZINDUA KITUO CHA KISASA CHA KUTOA HUDUMA ZA MAGARI

Watanzania wanaotumia vyombo vya moto wameaswa kufanya uchunguzi wa mara kwa mara, kabla ya kuanza safari ili kuweza kupunguza ajali za barabarani.
Hayo ameyasema Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Kisasa cha kutoa huduma ya magari makubwa na madogo kilichopo Magomeni Mwembechai jijini Dar es Salaam,Masauni amesema kuwa kufanya uchunguzi wa magari katika kituo hicho kitasaidia kupunguza ajali za barabarani.
Amesema teknolojia inakua kwa kasi hivyo magari ya sasa yanatakiwa kufanyiwa uchunguzi wa kisasa kabla ya kuanza kwa safari katika kituo cha mwembe chai.Masauni amesema Superdoll wamekuwa wabunifu wa teknolojia ya kisasa ya katika vyombo vya moto ikiwa ni kuweka safari kuwa salama kwa safari zote.
Amesema kuwa kunzisha kituo hicho watakuwa wamesaidia ujenzi katika masuala ya usalama barabani na kuweza kupunguza ajali za barabarani.Masauni amesema kuwa watashirikiana na superdoll na kampuni ya matairi ya Michelin katika kufanya uchunguzi wa magari kwa teknolojia ya kisasa
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabani, Naibu Kamishina wa Jeshi la Polisi, Mohamed Mpinga, amesema superdoll wamekuwa wadau wa usalama barabarani na kuendelea kuwa wabunifu katika teknolojia mbalimbali.
Amesema wanaomiliki vyombo vya moto watumie kituo cha uchunguzi wa teknolojia ya katika kuweza usalama wa gari na maisha watu katika kufikia lengo la serikali ya kupunguza ajali barabarani.
Mkurugenzi wa Superdoll, Seif Seif amesema kuwa kuna tayari zimekuwa zikiingizwa nchini ambazo matumizi yake ni kwa nchi zenye barafu wakati Tanzania hatuna uhitaji wa hizo.

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.