ZIARA YA MH.JANUARY MAKAMBA MKOA WA IRINGA | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Wednesday, October 19, 2016

ZIARA YA MH.JANUARY MAKAMBA MKOA WA IRINGA

Tarehe 18/10/16  Mh January Makamba Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira ambaye alifanya ziara katika kituo cha Maji cha Iruwasapamoja na kukagua vyanzo vya maji Mkoani  Iringa.

Pia Mh January Makamba aliendelea na ziara yake tarehe 19/10/2016 , alitembelea Mto Ruaha Mkuu eneo la Ruaha National Park na kujionea jinsi maji yalivyo kaukakutokana na uharibifu wa mazingira.


Kukauka kwa mto Ruaha kwamshangaza Mh, January makamba katika hifadhi ya Ruaha National Park.


Miongoni mwa rasilimali hizo ambazo ni pamoja na mto ruaha ulivo hatarini kupotea kabisa kutokana na kukauka kwa maji jambo ambalo halitoi ishara njema kwa hifadhi hio.


 Akizungumza mbele ya Waziri huyo mwenye dhamana ya kusimamia mazingira Muhifadhi wa hifadhi hiyo amesema kuwa hii ni mara ya kwanza tangu mwaka 1992 mto huo kukauka kwa miezi sita mfululizo huku akitaja  chanzo kuwa ni uchepushwaji holela wa maji wilayani mbarali.


Katika Ziara yake iliyo ongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi Amina Masenza na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh, Richard Kasesela (Iringa DC), Katibu tawala  Mr. Joseph Chintika. wamezindua zoezi la upandaji miti ambapo kwa pamoja wamepanda miti katika shule ya msingi mlandege.


Mh Makamba pia amesema Serikali ina mpango wa kuanzisha mkakati wa upandaji miti mashuleni ambapo kila mwanafunzi atatakiwa kupanda mti aingiapo shuleni na kulazimika   kuutunza mti huo mpaka atakapo maliza shule..

Picha zote credit to  Daniel Kilonge.

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.