UMOJA wa Ulaya (EU) na Umoja wa Mataifa (UN) Wafikisha Malengo Ya Dunia Mkoani Iringa | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Monday, November 28, 2016

UMOJA wa Ulaya (EU) na Umoja wa Mataifa (UN) Wafikisha Malengo Ya Dunia Mkoani Iringa



UMOJA wa Mataifa nchini Tanzania unaendelea na uelimishaji wa wananchi kuhusu malengo ya Dunia yaliyoelezwa katika Maendeleo Endelevu (SDGs), malengo ambayo sasa yana takribani mwaka mmoja.
Septemba 2015, viongozi 193 kutoka nchi mbalimbali duniani walikubaliana kuhusu malengo endelevu 17 kuelekea mwaka 2030.
Malengo hayo ambayo yanatakiwa kutekelezwa katika kipindi cha miaka 14 ijayo yanaleta kwa pamoja shughuli za kijamii, kiuchumi na kimazingira ili kuwa na maendeleo endelevu.

Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania yakifanya kazi chini ya mwavuli mmoja yanasaidia serikali ya Tanzania katika kuhakikisha kwamba inafanikiwa katika kuyaingiza malengo yote 17 katika mpango wake wa maendeleo wa mwaka 2025 kupitia mpango wake wa kuisaidia Tanzania (UNDAP ll) ulioanza mwaka huu hadi mwaka 2021 
Ili kuweza kufikisha malengo hayo kila mahali , Umoja wa Mataifa kwa kushirikiana na Chuo kikuu iringa  wametoa elimu kwa  wanafunzi wa chuo  ili wawe wakufunzi kwa wenzao.

Mafunzo hayo yamelenga kuwafanya vijana kuelewa na kuongeza ufahamu kuhusiana na malengo hayo ya dunia, hivyo kuwasaidia wenzao na wananchi wengine kutambua wajibu wao katika utekelezaji wake.
 
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, Bw. Alvaro Rodriguez. katika  Semina ya Uelewa wa Malengo Endelevu (picha; Damas A)

Baadhi ya washiriki chuo kikuu cha Iringa katika Semina ya Uelewa wa Malengo Endelevu wa uliohudhuria mafunzo ya siku moja ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) yaliyoandaliwa na Ofisi ya Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na kufanyika katika ukumbi wa chuo kikuu Iringa mkoani.(picha; Damas A)

Pichani mwenye Komputa mpakato ni Ofisa wa Mawasiliano na Ushirikiano NUNV kutoka Ofisi ya Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, Didi Nafisa   mwenye suti ya Blue ni Mtalaam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu Pamoja na David Mtegile wakisikiliza kwa umakini  Malengo ya Dunia (Global Goals) katika mafunzo ya  Malengo ya Dunia (Global Goals) yaliyofanyika  mkoani Iringa.
 ( picha; Damas A.)

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. akimkaribisha Mgeni rasmi wa Semina ya Uelewa wa Malengo Endelevu Ndugu

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe.Richard Kasesela  katika  Semina ya Uelewa wa Malengo Endelevu (picha; David Mtegile)
Mafunzo hayo mkoani Iringa  ni mwendelezo wa mafunzo yaliyozinduliwa mkoani Arusha na Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, Bw. Alvaro Rodriguez.

Hadi sasa Umoja wa Mataifa umewezesha vijana wengi  kutambua malengo hayo na kutumika kufunza wengine. 
Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini ambaye pia ni Afisa Miradi, Anna Muro akiwasalimia wanafunzi wa chuo cha  Karibu ujifunze
Aidha Mkuu wa wilaya ya Iringa Mh. Richard Kasesela, wahadhiri na wanafunzi walipewa mafunzo hayo  kuhusiana na malengo hayo ya maendeleo endelevu.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe.Richard Kasesela  katika  Semina ya Uelewa wa Malengo Endelevu 

Mtalaam wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa nchini, Bi, Hoyce Temu
Sabinus Paul SDG Champoion alisema ''Niliamini, naamini na nitaendelea kuamini kwamba maisha bila unyanyasaji wa kijinsia yanawezekana''. akihojiwa na vyombo vya habari katika  Semina ya Uelewa wa Malengo Endelevu mkoani Iringa

Damas Anthony Mwandishi wa Apostle Blogspot. Ni muhimu sana kwa vijana kuelewa Malengo ya Dunia. Huu ni wakati wao. Kwa kuyaelewa malengo haya inarahisisha utekelezaji wake. Nimefurahi kuona muamko wa vijana waliojitekeza hapa leo na natumaini watawafikishia wengine ujumbe huu.” ( picha; David Mtegile)
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.