DAMAS ANTHONY WA RESTLESS DEVELOPMENT ATOA SALAMU KATIKA MAADHIMISHO YA KIMATAIFA YA VIJANA | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Friday, August 12, 2016

DAMAS ANTHONY WA RESTLESS DEVELOPMENT ATOA SALAMU KATIKA MAADHIMISHO YA KIMATAIFA YA VIJANA

'KUELEKEA 2030

TOKOMEZA UMASIKINI KWA UZALISHAJI ENDELEVU NA MATUMIZI YENYE TIJA'


Salam kwenu ndugu zangu.
 Kwa niaba ya Shirika la Maendeleo ya Vijana la Restless Development napenda kuwapa taarifa kuwa leo tarehe 12.08.2016 ni siku ya Kimataifa ya Vijana na kuwa ni wakati wa vijana kuadhimisha kwa kutengeneza mijadala inayozungumzia masuala mbalimbali yanayowagusa zikiwemo fursa pamoja na changamoto hasa katika ngazi ya kitaifa.

DAMAS ANTHONY WA RESTLESS DEVELOPMENT VOUNTEER ICS
Maadhimisho ya mwaka huu yamebebwa na dhana pana na endelevu ya kujadili msingi wa vijana kama chachu ya mikakati ya kutokomeza umaskini kupitia maendeleo endelevu ya dunia. Tunatambua nguvu kazi kubwa ya watanzania ni vijana ambapo zaidi ya 65% ya nguvu kazi yote ya taifa inamilikiwa na vijana. Ni wajibu wa kila mdau wakiwemo vijana kama wanufaika wakuu kuweza kutambua mchango wao katika kukipa nafasi kizazi hiki ikiwa pia ni kudadavua mchango na nafasi yao katika kuhakikisha Tanzania inakuwa nchi ya uchumi wa kati na inayoongozwa kwa misingi ya ukuaji wa viwanda kupitia mpango wa maendeleo serikali wa miaka mitano na dira ya 2025.
Damas akiwa katika moja ya Shule ya Sekondari Miyomboni
Kwa kutambua dhana hii vijana wanayataja mambo makuu wanayokumbana nayo kama changamoto; Ukosefu wa ajira -zaidi ya asilimia 50 ya vijana hawana ajira na kwamba hawapo shuleni pia; ushiriki katika ufanyaji maamuzi - ni aslimia 18.3 tu ya vijana hushiriki katika vikao vya serikali za mitaa; huduma za afya ya uzazi - vijana ndio wanabeba idadi kubwa ya maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI, wanaathiriwa na matatizo makubwa ya unyanyasaji wa kijinsia, upatikanaji wa huduma rafiki za afya ya uzazi kwa vijana.
Kwa kuwa hayo yote ni mambo yanayomgusa kijana, upo wajibu wa msingi kwa wadau wote tunaobeba bango la maendeleo ya vijana ikiwemo serikali kama mdau mkuu kuhakikisha vijana wanatumia nguvu yao kwa tija katika kuhakikisha tunajipatia maendeleo stahiki na yenye tija. Ni lazima tuhakikishe taarifa sahihi zinawafikia vijana, ni ni wajibu wetu pia kuhakikisha vijana wanashirki kikamilifu katika utekelezaji wa mpango wa serikali wa maendeleo ili tufikie lengo la kuwa nchi ya uchumi wa kati lakini kwa mapana kufikia malengo ya maendeleo ya dunia yaani Sustainable Development Goals.
Allen Muhangwa mdau wa maeendeleo pia mkurugezi wa taasisi  ya kilimo na msaada wa kisheria Tanzania Vijana Agrics & Paralega TAVAPA pamoja na wanfunzi wa shule ya sekondari Miyomboni
 Wito ni juu ya kuungana na kuhakikisha tunajielekeza 'kwa pamoja' katika kuhakikisha tunatumia "Nguvu Kazi Ya Ujana" katika kushawishi  ujana kiwa sehemu muhimu na mstari wa mbele wa maendeleo na mabadiliko katika taifa letu.

katika moja ya Darasa shule ya sekondari Miyomboni




Picha pamoja ya International Citizen Service volunteer  (ICS)

Mr Andrew na Franco katika kituo cha watoto yatima Tosamaganga

Upendo

Denis akiwa na moja wa mtoto katika kituo cha kulea watoto  yatima

Anthony Damas akiwa mmoja wa watoto katika kituo cha Kulea watoto yatima mkoani Iringa

Mr. Denice Simeo afisa miradi ofisi za Restless Development Iringa akionyesha kauli mbiu katika t-shirt ya  Damas

Nawatakia maadhimisho mema  tafadhali tushirikiane kuufikisha ujumbe huu kwa wote.

'KUELEKEA 2030

TOKOMEZA UMASIKINI KWA UZALISHAJI ENDELEVU NA MATUMIZI YENYE TIJA'

 


 
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.