MAJUKUMU YA ROAD SAFETY AMBASSADOR | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Monday, August 22, 2016

MAJUKUMU YA ROAD SAFETY AMBASSADOR

KWA WASIOJUA:
MAJUKUMU MAKUU YA RSA TANZANIA NI:
1. *KUELIMISHA JAMII;*
2. *KUKEMEA NA KURIPOTI MATUKIO YANAYOATHIRI USALAMA BARABARANI;*
3. *KUSHAWISHI MABADILIKO YA TABIA, SHERIA NA SERA.*

Katika kuelimisha jamii RSA TANZANIA inatoa mada mbalimbali za kuelimisha jamii, inaendesha mijadala, inajibu maswali ya mabalozi na wadau wengine, na inaendesha kampeni mbalimbali ndani na nje ya mtandao. Pia inawaelimisha mabalozi wake yenyewe ili wawe mabalozi wazuri kwa wengine bila ubabaoshaji.

Katika kukemea na kuripoti, Mabalozi wa usalama barabarani mara waonapo tukio au kitendo chochote kibaya humkemea mhusika aache mara moja kufanya jambo hilo na asiposikia humripoti mahala husika au kupitia namba 0682887722. Wakati mwingine mabalozi wasipokuna na nafasi ya kuongea na mhusika basi humripoti moja kwa moja na hatimaye hatua kuchukuliwa na mrejesho kutolewa.
Matukio yanayoripotiwa ni pamoja na hali ya barabara, mwenendo wa.magari pamoja na mwenendo wa watumiaji wengine wa barabara na wasimamizi wa sheria. Ndio maana katika kuripoti na kukemea sisi huwaripoti na kuwakemea si tu madereva bali pia hata wasimamizi wa sheria kama vile askari, wamiliki, na Sumatra ili watende kazi zao kwa ufanisi, weledi na kutojisahau. Sawa kabisa na tunavyofanya kwa madereva na watumiaji wengine wa barabara tukiwemo sisi wenyewe mabalozi. Mabalozi kwa mabalozi hukemeana na kuripotiana pia.

Katika kushawishi mabadiliko ya tabia sheria na sera.
RSA Tanzania hushawishi watu wabadilike kimtazamo na kitabia hasa wawapo barabarani na waanze kujali maisha yao na ya wengine. Mtu anayeshawishiwa kunadili tabia hushawishiwa pia kuwa balozi.
Mabalozi hupitia sheria na sera mbalimbali na kuona kama zinakidhi mahitaji ya sasa. Na pale kwenye mapungufu basi mabalozi hushawishi kubadilishwq kwa sheria hizo. Tunatoa mawazo mbalimbali kwa vyombo vya usimamizi wa sheria juu ya namna ya kuboresha usimamizi wa sheria, tunatoa mapendekezo ya namna sheria inavyopaswa kuwa pamoja na kushiriko katika michakato mbalimbali ya kimaamuzi, kisera na kisheria.
HII NDIO RSA TANZANIA ambapo tunaamini *USALAMA BARABARANI NI JUKUMU LETU SOTE*

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.