TANZANIA WITNESS ANNULAR SOLAR ECLIPSE, September 1, 2016 | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Wednesday, August 31, 2016

TANZANIA WITNESS ANNULAR SOLAR ECLIPSE, September 1, 2016


Tanzania will witness the solar eclipse which according to astronomy experts Tanzania in particular Rujewa Area in Mbeya region located in Southern Tanzania will be the best site for viewing this fascinating event where the sun’s disk will change to a ring.

Today, the moon will pass in front of the sun

The Eclipse is expected to begin at 10:01am to 01:45pm.  




Kupatwa kwa jua  au Annular Eclipse hutokea pale jua na mwezi zinapokuwa kwenye mstari mmoja ambapo umbo la mwezi linaonekana kuwa dogo zaidi kuliko umbo la jua.

Wanayansi wanasema kwamba September 1, 2016 Tanzania ndio itakuwa sehemu pekee ambayo kupatwa huko kwa jua kutaonekana vyema na kuwavutia watalii wengi.

Kwa mujibu wa mitandao mbalimbali ya Uingereza imeripoti kwamba kupatwa huko kwa jua kutaanza kwenye bahari ya Altantic, Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Tanzania, Msumbiji, kisiwa cha Madagascar kisha kwenye Bahari ya Hindi.

tanzania-eclipse-phil-hart

Wataalamu wanasema kwamba miongoni mwa maeneo yatakayoonekana vizuri kwa kupatwa kwa jua ni Mbeya na Tunduru, Ruvuma ambapo tukio hilo litachukua dakika 3 hadi dakika 7.





 
Today we are starting a new month

Today is the day of solar eclipse
Today is the day we are starting the last quarter of the year




TUKIO kubwa la angani litatokea tarehe 1 Septemba mwaka huu na kusababisha macho mengi duniani kote kuelekezwa Tanzania.

Tukio hilo linatazamiwa kuanzia saa 4:17 asubuhi hadi 7:56 adhuhuri. Hili si lingine bali ni la kupatwa kwa jua ambapo linatazamiwa kufanyika katika usawa wa anga ya Tanzania. Mashabiki na wanataaluma wa anga kutoka duniani kote pamoja na wanasayansi, wanafunzi pamoja na jamii ya Tanzania wataelekea Rujewa, kusini mwa Tanzania, karibu na Mbeya, kushuhudia duara la Jua linavyobadilika kuwa mithili ya pete.

Nchini kote Tanzania, siku hiyo mamilioni ya watu watashangaa kuona Jua kali la utosini likimegwa kwa zaidi ya asilimia 90 kwa kufunikwa na mwezi katika tukio hilo la kupatwa kwa jua. Hali hiyo italiacha jua lionekane kama pete au hilali nyembamba au mithili ya mwezi mwandamo.

Watu wanaoishi ndani ya ukanda wenye upana wa kilometa 100 unaokatisha kusini mwa Tanzania, kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya- Kongo kuelekea Katavi, Mbeya, Ruvuma hadi Masasi na kuingia Msumbiji, siku hiyo wataona jua kama duara jembamba mithili ya pete, kwa vile asilimia 98 ya jua katika maeneo yao litakuwa limejificha nyuma ya mwezi. Kupatwa huko kwa jua kunaweza kuonekana kwa usalama na watazamaji, lakini inabidi kutumia vichuja maalum vya mwanga wa jua.



Tukio la kupatwa kwa jua ni la kusisimua na la nadra sana kutokea katika maisha ya mtu na baadhi ya dini kama Uislamu zinawataka watu wakati wa kipindi hicho kuwa kwenye swala maalumu. Vijana wengi katika kizazi hiki kipya watakuwa hawajaona tukio hili na hivyo ni tukio litakalowasisimua na wanafunzi ambao wamekuwa wakijifunza mashuleni watapata ushahidi wa moja kwa moia siku hiyo.

Wengine watazidi kujifunza sayansi ili kuelewa kwa nini kinatokea kile wanachokiona. Kwa hiyo tukio hili linaweza kutumiwa na shule na taasisi za elimu kuendeleza sayansi na kuvuta wanafunzi kujiendeleza kisayansi na hasa kuelewa mizunguko mbalimbali iliyopo katika mfumo wetu wa sayari pamoja na anga za juu kwa ujumla. Bila shaka wataongeza uelewa wa sayansi na umuhimu katika kuelewa maumbile ya ulimwengu wetu.

Kupatwa huku kwa jua kutatokea siku ya Alhamisi ambapo wanafunzi wengi watakuwa shuleni na litatokea wakati wa masomo. Kwa vile mchakato wote utaendelea kwa masaa manne hivi, kati ya saa 4:00 asubuhi hadi saa 8:00 mchana wanafunzi wataweza kushirikiana kuangalia, kusimulia na kujadili tukio ili kulielewa vizuri na kuandika ripoti madarasani mwao. Tukio jingine kubwa la kupatwa kwa Jua kama hili halitatokea miaka 15 ijayo, kwa hiyo tunahitaji kutumia fursa hii kwa ukamilifu kujifunza.

Ili kuangalia kupatwa huko, kila mmoja atahitaji kutumia kikinga macho kinachochuja mwanga wa Jua kiitwacho Kitazamia Jua. Nini hatari kuangalia jua lililopatwa kwa macho moja kwa moja au hata kutumia vichujio vingine vya kiza vilivyotengenezwa mitaani. Kitazamia Jua maalumu ni kifaa rahisi kilichotengenezwa kutokana na kichuja nguvu ya jua ambacho kinaondoa mionzi haribifu kwa asilimia 99.999.

Miwani hiyo maalumu ya Jua inaweza kutengenezwa Tanzania kwa gharama isiyozidi Sh 500 kila moja, ikiwemo kuchapa fremu za kadbodi na kichuja nguvu ya jua (polymer filter) kinachoagizwa kutoka Marekani.

Mwandishi wa makala haya, Dk Noorali Jiwaji wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania


Make *evaluation* All the plans and achievements and challenges up to this day.


Remember in *most cases* when you are fine and successful you belong to the Society and other people. But when you are weak, Sick or dead then you belong to the family.

*Try to speak to the family, pray, plan and try to do good for the family* in this month

Remember a good Church, a good Nation and good leader or bad as well as a good or bad society comes from the family.

Ombea familia na ujiombee wewe mwenywe. Panga kufanya kitu kwaajili ya kurekebisha mambo yasiyoenda vizuri katika familia zetu na pia  tushughulikie mambo yasiyofaa katika Nidhamu binafsi, in our personal habits.

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.