Dhambi | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Wednesday, August 21, 2013

Dhambi


IJUE DHAMBI INAVYO MWINGIA MTU 

Na Apostle Darmacy

 


Tunaona Yesu anatufundisha kuwa kilicho nje ya mtu hakiwezi kumtia mtu unajisi bali kimtokacho. Sasa endelea;

Mwanzo 4:3-10 tuangalie mstali wa tano ''''Bali kaini hakumtakabali wala sadaka yake, kaini akaghadhibika sana, uso wake ukakunjamana. 6. Bwana akamwambia kaini, kwanini una ghadhabu? na kwanini uso wako ume kunjamana? 7. kama ukitendavyema, hutapata kibali? usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamaniwewe,walakini yapasa uishinde''''' Hapa tumeona baada ya Mungu kuikataa sadaka ya Kaini, Kaini alighadhibika, kwa hiyo hasira ilitoka ndani ya Kaini. Na Mungu akamwambia kuwa kwanini umeghadhibika? [yaani unahasira?] Mungu akamwambia ukiacha kutenda ni vema. kwa hiyo maamuzi yalitoka ndani ya kaini na alipewa onyo kabla ya kutenda. Mstari wa 8. '''''Kaini akamwambia Habili nduguye, (twende uwandani) ikawa walipokuwapo uwandani Kaini akamwinukia Habili nduguye akamuua''' kwa hiyo tumeona hata kabla ya Kaini na Habili hawajaenda uwandani, Kaini ndani ya moyo wake kulikuwa na na roho ya uuaji kwa lugha nyepesi dhambi ilikuwa mlangoni. wakati anatekeleza lile tendo dhambi alikuwa anayo tayari ndani ya moyo wake.

kumbuka katika injili Yesu alisema ukimtizama mwanamke kwa nia ya matamanio tayari umesha zini naye kwa maana maamuzi yanatoka ndani.
Marko 7:20 aksema kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati, wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila ufisadi,kijicho, matukani. Hayo yote yaliyo maovu yatoka ndani. Hivi ndivyo dhambi imwingiavyo mtu.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.