Kuokoka | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Wednesday, August 21, 2013

Kuokoka

MASANJA AMPONGEZA MATUMAINI KUOKOKA AMTAKA KUFUMUA BREKI ZOTE ILI ASONGE MBELE 

Na Apostle Darmacy


Masanja kushoto akiwa na pacha wake Silas Mbise.
Wiki moja tangu mchekeshaji maarufu nchini aitwaye Matumaini kutoa wimbo wake wa kwanza wa injili wa kumshukuru Mungu kwa kumponya na ugonjwa mbaya ambao ulimpata akiwa nchini Msumbiji, mchekeshaji mwenzake Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji amempongeza mwigizaji mwenzake huyo kusonga mbele na kutokatishwa tamaa na watu wengine juu ya uamuzi wake wa kumpa Kristo maisha yake.

Masanja amesema anajua Matumaini ametendewa jambo kubwa na Mungu la uponyaji wa afya yake na kumtaka kuendelea kung'ang'ania wokovu huo kwakuwa uamuzi wake si kutaka kufurahisha watu bali Mungu na kwamba watu wengi wataanza kumsema vibaya juu ya uamuzi huo, na kwambia kama ameamua kuokoka anatakiwa kufumua breki zote ambazo zitamzuia katika maisha yake ya wokovu. Masanja ameendelea kusema kwamba kumekuwa na wasanii wengi waliotangaza kuokoka lakini wakarudi nyuma, lakini ni maombi yake kuona Matumaini anasonga mbele na asubiri kuona baraka za Mungu juu ya maisha yake "jiandae kuolewa hata kama watu watasema hana umbo namba nane ataolewa tu na hao wenye namba nane watabaki wakishangaa, watu wakisema hutaolewa kwasababu ni mweusi wala usiwasikilize kwakuwa utaolewa na watabaki na weupe wao bila kuolewa.

Matumaini akiwa kazini. Picha kwahisani ya Freebongo.blogspot.com



Aidha Masanja ambaye alikuwa akiyaongea yote hayo kupitia kipindi cha Gospel Celebration ndani ya WAPO Radio Fm kama alivyohojiwa na pacha wake Silas Mbise wakiwa jijini Mbeya kwenye tamasha la muziki wa injili amewataka vijana, wasanii wengine na watu wote kwa ujumla kufanya uamuzi wa kumpokea Kristo sasa sio mpaka waugue au wapatwe na shida ndipo wafanye uamuzi huo kwakuwa ufalme wa Mungu utatekwa na wenye nguvu. Matumaini ametoa wimbo wake alioupa jina la "Nimepona" aliomshirikisha mchekeshaji mwenzake aitwaye Kiwewe, Mkono wa mkonole pamoja na mwanamama Jane Miso aliyeimba vyema kiitikio katika wimbo huo.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.