kazi ya kijana kanisani | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Tuesday, August 27, 2013

kazi ya kijana kanisani

Tambua wajibu wa kijana kanisani

Damas Anthony
 
JEREMIA 1: 4 – 10


Ø Ulishawahi kujiuliza ulizaliwa kwa kusudi gani?

Ø Ujana ni zawadi kutoka kwa Mungu.


Ø Mungu anajua umuhimu wa Kijana na shetani anajua umuhimu wake pia.


Ø Ili kuleta mafanikio na matokeo ya haraka Kijana ana uwezo mkubwa sana.


Ø Ni silaha nyepesi mno na hatari sana.


Ø Mungu anamtuma Yesu katika umri wa ujana na matokeo yake ni makubwa sana.



UMUHIMU WA KIJANA KATIKA JAMII:


a.      Kutatua tatizo ndani ya jamii (1Samw, 17: 31-33, 46-51)

b.     Kurudisha matumaini (Esta, 4: 12-16, 7: 1-10

c.      Kurekebisha hali ya mambo (Mwanzo 41: 34 – 44)

d.     Kurudisha heshima iliyopotea katika jamii.



UMUHIMU WA KIJANA KANISANI (Math, 1: 18 – 21)


a.      Kujishughulisha na mambo ya Kanisani kwake, kuwaza jinsi kutakavyopendeza.


b.     Kujishughulisha na Baba yake wa Kiroho (Mchungaji) 2Tim, 1: 2 – 4.


c.      Kuomba juu ya Kanisa / kufundisha / kuwaleta watu kwa Yesu.


d.     Kuwa mkarimu Kanisani na nyumbani, Mf, Rebeka,Mariamu, Mwanzo 24: 13 -26.


e.      Kujitolea kifedha,Kiakili ,Muda (Mf, Dorkasi, Warumi 12: 1)

v Kanisa lenye nguvu ni lile Vijana wao wanajitambua.


v Kanisa lenye matokeo mazuri linatokana na Familia zinazolijenga Kanisa.

v Kijana akikosa mwelekeo anaharibu mwelekeo mzima wa Kanisa.

v Vijana wachache tu wanaweza kuleta mabadiliko makubwa sana Mf, Vijana watatu (3) Shedraki, Meshaki na Abednego (Danieli 3: 16 – 19 mst 28 -30.


v Kijana aliyebadilika moyoni mmoja tu anaweza kuleta mabadiliko makubwa sana, Mf, Danieli 6: 24 – 28.


v Alionyesha Mungu wake na Mfalme na jamii yote ikamwinamia Mungu wake.


v Biblia inasema mtu asiudharau ujana wako, 1Tim, 4: 12.


v Kijana asipojitambua na kuwajibika atadharauliwa tu kama hakuna kitu umekifanya Kanisani kwako kinachoonekana.


v Una ulichokifanya kwa Baba yako wa Kiroho? (Mchungaji).


v Una ulichokifanya katika jamii ya kwenu?.


v Penda kijana ukiwepo mahali uwepo kwa faida, usiwe hasara bali uwe faida.


v Huwezi kuheshimiwa kama hakuna kitu unachomfaidisha nacho Mungu.


v Kijana Joshua alikabidhiwa jukumu la kuwaingiza watu Kanaani kwani alikuwa Kijana aliyejituma, aliye tayari anayepatikana, (Hesabu, 27: 18, Kutoka, 17: 8 – 10).
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.