Upendo group | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, August 15, 2013

Upendo group

KWA TAARIFA YAKO HII NDIO SIRI YA JOSHUA MLELWA NA MKEWE KUJITOA UPENDO GROUP

Haya msomaji wetu wa Gospel Kitaa karibu katika kipengele chetu cha ''KWA TAARIFA YAKO'' ambacho kinakujia kila siku za alhamisi ndani ya GK kikiwa na lengo la kukupatia habari ambayo iliwahi kutukia lakini yawezekana huijui pia yawezekana ilitukia ukawa unaijua lakini GK ikawa imesahau mahali au kuna sehemu haina usahihi utapata fursa ya kusahihisha kwa kuweka comment yako chini kabisa kwenye habari husika. Karibu.



KWA TAARIFA YAKO hii leo tunaye mwimbaji aliyejijengea jina kubwa ndani na nje ya nchi katika tasnia ya muziki wa injili nchini huyu si mwingine bali ni Joshua Mlelwa ambaye GK inathubutu kusema ndiye alikuwa akilibeba kundi maarufu nchini la Kijitonyama Upendo Group kabla yeye na mkewe ambaye pia ni mwimbaji Lilian Mlelwa kujiondoa na mumewe katika kundi hilo na kuwa waimbaji binafsi.

KWA TAARIFA YAKO kama ulikuwa hujui ni kwamba Joshua ndiye alikuwa mtunzi mkuu wa nyimbo na mwalimu wa kundi hilo kwa taarifa ambazo GK ilizipata lakini pia kanda ya kwanza iliyotambulisha vyema kundi hilo iitwayo "Mungu Anakupenda" asilimia 90 nyimbo zote ni utunzi wa Joshua na kwamba wakati wanaitoa kanda hiyo walikuwa ndani ya kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama kama GK ilivyowahi kuandika kupitia kipengele hiki kwa mara ya kwanza kabisa. KWA TAARIFA YAKO ni kwamba ni takribani miaka minne sasa tangu Joshua na mkewe wajiondoe ndani ya kundi hilo ambalo GK inaweza kuthubutu kusema kwamba ndilo lilikuwa waasisi wakutumia playback na kufanya makundi yote na waimbaji binafsi kutaka kucheza saana kama waimbaji wa kundi hilo.

Joshua enzi zake akiwa na Upendo Group wa kwanza kushoto ni mkewe Lilian.
Sasa watu wengi walikuwa wakijiuliza ni kitu gani kimetokea mpaka wawili hao kujitoa ndani ya kundi hilo, tofauti na wengi walivyotarajia ama Watanzania walivyotarajia majibu mareeeefu ama maelezo maaarefu lakini Joshua alikuwa na majibu mafupi sana akijibu maswali ya wasomaji wa GK kupitia kipengele cha "Muulize via GK". KWA TAARIFA YAKO mwimbaji huyu amesema sababu ya yeye na mkewe kutoka ndani ya kundi hilo "ilikuwa ni agizo kutoka kwa mwenye kazi (Mungu), mwenye kazi akisema wingu limeshahama na wewe lazima ufuate agizo la Roho Mtakatifu kwahiyo nilitii, kifupi ni kwamba nilihama Upendo Group baada ya kutii agizo la Mungu," alisema Joshua

KWA TAARIFA YAKO mwimbaji huyu na mkewe wanafanana kwa mengi wawapo jukwaani katika utumishi kwani mkewe alikuwa mshambuliaji mzuri wa jukwaa toka akiwa ndani ya kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama ambako alikuwa mmoja kati ya masolo wakutegemewa hata walipokuwa ndani ya Upendo Group kati ya waimbaji waliokuwa wakilipa uhai kundi hilo ni Joshua na mkewe huyo ambao uchangamfu wao ulikuwa wakipekee. KWA TAARIFA YAKO Joshua hivi sasa na mkewe wanaendeleza huduma ya kumsifu Mungu kwa pamoja na wamekuwa baraka sana kwa watu wengi kupitia nyimbo zao ambapo wamekuwa wakialikwa katika mikutano ya injili ndani na nje ya nchi.




Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.