WATOTO TULIOPEWA NA MUNGU | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Saturday, August 17, 2013

WATOTO TULIOPEWA NA MUNGU

THAMANI YA WATOTO TULIOPEWA NA MUNGU


Mzazi yeyote mwenye hekima, ambaye ametumia maisha yake yote kujenga utajiri mkubwa na kujipatia mali nyingi, kusaidia watu wenye shida na kujipatia heshima kubwa kwenye jamii. Anapofanya maamuzi ya kuwarithisha wanae ile fahari yake, Kamwe hawezi kumpa usimamizi wa mali zake mwana mkaidi, asiye na adabu, asiyejua kuthamini utu wa mwanadamu wala kumjua mungu. siku zote mzazi mwenye hekima humrithisha mwana mwenye mwelekeo kama wa kwake, na kimsingi humuandaa mwana huyu mapema kwa ajili ya majukumu haya makubwa ya kulinda heshima yake.

Kwa mujibu wa Biblia nisomayo, KATIKA ZABURI 127:3 "TAZAMA WANA NDIO URITHI WA BWANA, UZAO WA TUMBO NI THAWABU"

Mungu anapokupa mtoto, anakuwa amekupa zawadi na amekurithisha kitu cha thamani zaidi katika ulimwengu huu. sielewi ni kwa nini sisi wanadamu tunafikiri Mungu anaweza kumpa tu mtu yeyoye vitu vyake vya thamani pasipo kutathminini ni nani mwana mwenye hekima astahiliye kupokea urithi na zawadi hii Muhimu.

Lakini pia sijui ni watu wangapi ambao wanapopata mtoto wanatambua kweli Kiwango cha heshima na dhamana waliyopewa na Mungu. Naamini kama watu wote wangetambua thamani ya mtoto na heshima waliyopewa na Mungu kusingekuwa kile kinachoitwa "mtoto wa mitaani" kwa kwa unayemwita mtoto wa mitaani can as well be the most powerful man on earth miaka ijayo. Unayemwita "Mbwa" kwa kuwa tu umelewa bia ulizokunywa kwa hela za mkopo can as well be the next Bill Gates.

Dada amechezea ujana wake na dunia, akatoa mimba 3, kisha akili ikamjia akatulia akapata jamaa mmoja akamwoa, huyo jamaa naye amechezea ujana wake na dunia akawakana watoto watatu, na kusababisha mimba kutolewa au watoto wakazaliwa lakini wakaishi katika mazingira magumu. Hawa watu wakakosa kupata watoto katika ndoa yao na bado wakawa hawana adabu ya kutafuta rehema za Mungu. Hivi kwa nini tunafikiri Mungu hana feelings? kwamba haimsumbui hata ukichezea kile alichokupa bado anaweza akakupa tu?

Mungu kakupa mtoto mmoja, Unamgeuza kuwa ndiyo sababu ya wewe na maswahiba zako kufanya kufuru zote za ulevi, Ubatizo, Kipaimara, Graduation ya chekechea, zote ni kufuru tupu za ulevi na anasa. Why would God give you another child? ili naye umharibu kwa anasa?

Ikiwa sisi wanadamu tulio waovu, tunathamini sana heshima tuliyojijengea na Jina tulilonalo kiasi kwamba hatuwezi kumrithisha fahari yetu na jina zuli tulilojijengea mwana mkaidi na mpenda anasa. si zaidi sana Mungu?

NINAMUOMBA mUNGU AKUPE KUTAMBUA THAMANI YA WATOTO ALIOKUPA, NA KIWNGI CHA HESHIMA ULIYONAYO MBELE ZAKE HATA AKAKURITHISHA KITU CHA THAMANI NAMNA HIYO.

HII NI KWA WALE WOTE WALIOBARIKIWA KUWA NA WATOTO.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.