Maendeleo Misungwi | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Saturday, September 7, 2013

Maendeleo Misungwi




JK azindua shule, x-ray Mwanza

Na Apostle Darmacy Damas AnthonyDamas AnthonyDamas Anthony


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisiliza maelezo ya huduma ya Xray kutoka kwa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Dk.Marco Magessa muda mfupi baada ya kuzindua huduma hiyo katika hospitalini Misungwi . 
Na Mwandishi Wetu, Mwananchi

Posted  Jumapili,Septemba8  2013  saa 1:3 AM
Kwa ufupi
  • Rais Kikwete ameanza ziara ya kikazi ya siku tano mkoani Mwanza, ambapo atazindua miradi ya maendeleo
  • Mwanza. Rais Jakaya Kikwete amefungua shule ya kisasa ya msingi ya Ntulya Wilaya ya Misungwi, iliyotolewa zawadi kwa wanakijiji na taasisi kutoka Marekani.
Pia, Rais Kikwete amezindua huduma za x-ray kwenye Hospitali ya Wilaya ya Misungwi, siku yake ya kwanza ya ziara ya kikazi ya siku tano mkoani Mwanza.
Shule ya Ntulya iliyoko kilomita 47 kutoka mjini Misungwi, ina wanafunzi 466 na walimu 11 na ni zawadi ya Taasisi ya Africa School House ya Marekani kwa wanakijiji cha Ntulya ambako Mwanzilishi na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Dk Aimee Bessire ambaye amehudhuria sherehe za uzinduzi wa shule hiyo na mume wake, Mark Bessire walipata kuishi wakifanya utafiti kuhusu utamaduni wa Kabila la Wasukuma.
Shule hiyo ya kisasa imejengwa kwa matofali ya kuchomwa na ilijengwa kati ya 2008 na 2010. Ina madarasa 11, nyumba 10 za walimu na kisima cha maji safi. Kwa jumla shule hiyo ina uwezo wa kuwa na wanafunzi 600 kwa wakati mmoja.
Akizungumza kwenye sherehe hizo, Dk Bessire ambaye amezungumza kwa ufasaha lugha za Kiingereza, Kiswahili na Kisukuma, alisema kuwa shule hiyo imejengwa kwa jumla ya Sh1.038 bilioni, na kati ya hizo Sh980 milioni zilitolewa na Africa School House, Halmashauri ya Misungwi ilichangia Sh28 milioni na nguvu za wananchi zilichangia Sh30 milioni.
Taasisi hiyo ya Marekani pia imewajengea wanakijiji hao wa Ntulya, Kituo cha Afya kwenye eneo hilo la shule na Dk Bessire alisema kuwa taasisi hiyo ina mipango ya kujenga shule ya mfano ya sekondari ya bweni ya wasichana.
Dk Bessire pia alisema kuwa yataanzishwa madarasa kwenye shule hiyo kwa ajili ya watu wazima wasiojua kusoma na kuandika.

Kipanya Septemba


Mwanza. Rais Jakaya Kikwete amefungua shule ya kisasa ya msingi ya Ntulya Wilaya ya Misungwi, iliyotolewa zawadi kwa wanakijiji na taasisi kutoka Marekani.
Pia, Rais Kikwete amezindua huduma za x-ray kwenye Hospitali ya Wilaya ya Misungwi, siku yake ya kwanza ya ziara ya kikazi ya siku tano mkoani Mwanza.
Shule hiyo ya kisasa imejengwa kwa matofali ya kuchomwa na ilijengwa kati ya 2008 na 2010. Ina madarasa 11, nyumba 10 za walimu na kisima cha maji safi. Kwa jumla shule hiyo ina uwezo wa kuwa na wanafunzi 600 kwa wakati mmoja.
Akizungumza kwenye sherehe hizo, Dk Bessire ambaye amezungumza kwa ufasaha lugha za Kiingereza, Kiswahili na Kisukuma, alisema kuwa shule hiyo imejengwa kwa jumla ya Sh1.038 bilioni, na kati ya hizo Sh980 milioni zilitolewa na Africa School House, Halmashauri ya Misungwi ilichangia Sh28 milioni na nguvu za wananchi zilichangia Sh30 milioni.
Taasisi hiyo ya Marekani pia imewajengea wanakijiji hao wa Ntulya, Kituo cha Afya kwenye eneo hilo la shule na Dk Bessire alisema kuwa taasisi hiyo ina mipango ya kujenga shule ya mfano ya sekondari ya bweni ya wasichana.
Dk Bessire pia alisema kuwa yataanzishwa madarasa kwenye shule hiyo kwa ajili ya watu wazima wasiojua kusoma na kuandika.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.