ZIARA YA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII.. | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, November 7, 2013

ZIARA YA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII..


Uongozi wa Chuo Kikuu  Teofilo Kisanji  Uliandaa ziara ya maafisa wa waendelelo jamii kuzuru moja ya kituo cha kulelea watoto yatima kichopo IWAMBI-  Mbeya  Kijulikanacho Kwa jina la

 “ Mkate Wa Watoto Yatima” Kilicho chini ya Kanisa la Kiinjiri la Kilutheri Tanzania Dayosisi  Ya Konde.

Lengo na madhumuni  ya  ziara hiyo  ni kujifunza kwa vitendo kazi  za maafisa maendeleo ya jamii na usatawi wa jamii. 

Ambapo Tulipokelewa na Mama Mlezi wa kituo hicho ajulikanaye kwa jina la Sister Sabina Siwale ambaye alitoa historia fupi ya Kituo kwa kusema “ Mnamo 1995 Kituo kilianzishwa chini ya Mchungaji Mwakasege ambapo ofisi zilikuwa Forest  na walianza na Kituo cha kutunza  watu walioadhilika madawa ya Kulevya  (Rehabitation Centre).

 Pia  alisema  jinsi ya kuwapata watoto  yatima ni kwa njia ya kuwafuata mashuleni na kupata taarifa kutaka kwa walimu kuhusu watoto yatima waliopo hapo shuleni.
Kituo cha  “ Mkate Wa Watoto Yatima” Kimefanikiwa  kuwapatia elimu na baadhi yao wamehitimu vyuo vikuu na wengine kupata ajira mfano walimu,madereva,mafundi ujenzi na ushonaji.
Pamoja na hayo  pia tumefanikiwa kuwapatia  cherehani wahitimu wote wa fani  ushonaji. 

Pia  alisema  jinsi ya kuwapata watoto  yatima ni kwa njia ya kuwafuata mashuleni na kupata taarifa kutaka kwa walimu kuhusu watoto yatima waliopo hapo shuleni.
Kituo cha  “ Mkate Wa Watoto Yatima” Kimefanikiwa  kuwapatia elimu na baadhi yao wamehitimu vyuo vikuu na wengine kupata ajira mfano walimu,madereva,mafundi ujenzi na ushonaji. 

Pamoja na hayo  pia tumefanikiwa kuwapatia  cherehani wahitimu wote wa fani  ushonaji. 

Licha ya hayo Mkuu wa kituo aliwakaribisha  maafisa wa waendelelo jamii  Kutoka TEKU kuwa  marafiki wa ndani licha ya kuwa na marafiki wa nje. Pia alizungumzia namna ya Kuinua Vipawa vya vijana kulingana mabadiliko   ya ulimwengu.

Kwa hisani ya http://apostledarmacy.blogspot.com/ tumeandaa baadhi ya matukio jinsi ilivyo kuwa; 

 

Mr. Mwakigali mkuu wa kituo

 

Sister Sabina Siwale



Baadhi ya watoto wanao ishi katika kituo


Darmacy akiwa na mwangalizi wa kituo




Maafisa Maendeleo  ya Jamii kutoka TEKU






Maafisa Maendeleo  ya Jamii kutoka TEKU


Maafisa Maendeleo  ya Jamii kutoka TEKU


Maafisa Maendeleo  ya Jamii kutoka TEKU


Afisa Maendeleo ya Jamii Mr. Steve akitoa Hoja


Mkuu wa Msafara Kutoka TEKU




Mr. Mdollow Akitoa ushauri

Picha Ya Pamoja






















Picha ya pamoja



Apostle Darmacy

Mwandishi wa http://apostledarmacy.blogspot.com




Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.