Azikwa akiwa Hai-Mbeya | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, November 7, 2013

Azikwa akiwa Hai-Mbeya


MWILI WA MAREHEMU MWAIKASU AMBAYE ALIZIKWA AKIWA HAI UKIENDELEA KUIBULIWA KABURINI

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu 12  akiwemo Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mshewe wakituhumiwa kwa kosa la kuua mtu kwa kumzika mtu akiwa hai.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Diwani Athumani, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuongeza kuwa lilitokea juzi majira ya  saa 08:30  mchana  novemba 6 mwaka huu  katika kijiji cha Mshewe, kata   ya  Mshewe , tarafa ya  bonde la Usongwe wilaya ya  Mbeya vijijini Mkoani hapa.


SHUGHULI ZA UFUKUAJI ZAANZA CHINI YA USIMAMIZI WA JESHI LA POLISI
JUHUDI ZA KUENDELEA KUUFUKUA MWILI WA ALIEZIKWA HAI ZAENDELEA
NI KAZI NI NZITO NA INAHITAJI UVUMILIVU
MWILI WA ALIEZIKWA HAI WAANZA KUONEKANA
MSAMARIA MWEMA ALIYEJITOLEA KUUTOA MWILI BAADA YA KUUKUTA 

KATIKATI MJANE WA ALIYEZIKWA HAI
MWILI UKIWA TAYARI KWA KUZIKWA UPYA
NDUGU WAKIWA NA SIMANZI 
MOJA YA WANAUSALAMA AKIWASHUKURU NDUGU KWA UVUMILIVU WALIYOUONYESHA KATIKA MSIBA HUU MZITO
ULITOKA KWA UDONGO UTARUDI KWA UDONGO NDIYO NDUGU WA MAREHEMU WALIVYOKUWA WAKISEMA
SHUGHULI YA KUZIKA UPYA IKIENDELEA
SHUGHULI YA MAZISHI IMEKAMILIKA KWA AMANI NA UTULIVU LAKINI HAKUNA WANAKIJIJI WALIYOJITOKEZA KATIKA MSIBA HUU HOFU KUKAMATWA NA DOLA

Hili ndilo kaburi alimozikwa Alson Mwaikasu akiwa hai
Edward Mwaikasu akionyesha kaburi la ndugu yake aliezikwa akiwa hai  
Kaburi la Juma Mwaikasu aliefariki kwa ugonjwa wa wa kupooza baada ya kuanguka bafuni
Ndugu wa marehemu wakiwa msibani
Kushoto ni Elisia Kibweja ambae ni mke  wa alison aliyezikwa akiwa hai kulia ni mke wa Juma Mwaikasu Enesia Daliasi 40 ambae mumewe alikufa kwa ugonjwa wa kupooza 
Mtoto wa marehemu aliezikwa akiwa hai Tunosye Mwakabana Mwaikasu

Biashara zikiwa zimefungwa baada ya wenyeji kukumbilia msituni kwa hofu ya kukamatwa  na vyombo vya usalama






Alimtaja marehemu kuwa ni Alison maarufu kwa jina la  Hanahela Mwakabana(80) kyusa, mkulima, mkazi wa kijiji cha Mshewe ambaye  aliuawa na kundi la wananchi  walioamua kujichukulia sheria mkononi.
Alisema wauaji hao walikuwa  wakiongozwa na   Julius  Katisha Ngole ambaye ni mwenyekiti wa kijiji cha Mshewe baada ya  kumfukia ndani ya  kaburi akiwa hai.
Alisema  chanzo cha mauaji hayo ni tuhuma za kishirikina baada ya  marehemu kutuhumiwa kumuua mtoto wake Juma Hanahela(48) kyusa, fundi ushonaji, mkazi wa kijiji cha Mshewe aliyefariki dunia  Novemba 5, mwaka huu kwa maradhi ya  kiharusi ambayo alianza kuugua Oktoba 29, Mwaka huu na kulazwa hospitali teule ya  Ifisi.
Kamanda Diwani alisema mbinu iliyotumika ni  watuhumiwa   baada ya  kumaliza kuchimba  kaburi walimwambia marehemu aingie ndani ya  kaburi ili apime kama linatosha kumzika mtoto wake ndipo walipomfukia, kisha kuchimba kaburi lingine pembeni na kumzika mtoto wake  Juma Hanahela.
Kwa mujibu wa Mjomba wa Marehemu ambaye alikuwa shuhuda wa tukio hilo,Edward Mwaikasu aliliambia JamboLeo kuwa wakati taratibu za mazishi ya mtoto wao zinaendelea aliwashauri kumwita mchungaji yeyote wa kanisa lililokaribu jambo ambalo liliafikiwa na Mwenyekiti wa Kitongoji.
Alisema wakati wakisubiri taratibu hizo kufanyika Mwenyekiti alisikika akimtuhumu Marehemu kuwa ndiye aliyemuua mwanae hivyo adhabu inayostahili dhidi yake inaandaliwa na lazima naye ashughulikiwe.
Alisema wakati Mwenyekiti akiongea hivyo waliokuwa wakichimba kaburi kwa ajili ya kumzika Marehemu walimwita wakitaka asaidie kuchimba shimo ambapowalimtaka kuingia ndani ya shimo na kutoa udongo ambapo baada ya kufanya hivyo walianza kumrushia udongo na kumfukia.
Alisema kutokana na tukio hilo Mwenyekiti alishauriwa apige simu polisi akidai kuwa Marehemu alifanya tukio msibani hivyo wananchi wenye hasira kali wamemuua hivyo nay eye kukubaliana na ushauri huo.
Kutokana na tukio hilo Jeshi la Polisi linawashikilia  watuhumiwa kumi na mbili 12 kuhusiana na tukio hili wakiongozwa na Mwenyekiti Julius Katisha Ngole(52) msafwa, wote wakazi wa kijiji cha mshewe.
Kamanda Diwani alisema  taratibu zinafanywa ili watuhumiwa wafikishwe mahakamani na pia mwili wa marehemu ufukuliwe na kufanyiwa uchunguzi  wa kitabibu ili uzikwe upya kwa heshima na taratibu zinazopaswa. 

Ni kwa hisani ya http://mbeyayetu.blogspot.com/

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.