VYANZO VYA HOFU KWA MUJIBU WA BIBLIA | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Monday, March 17, 2014

VYANZO VYA HOFU KWA MUJIBU WA BIBLIA


Hofu inaweza kumfanya mtu akawa mtumwa , biblia inasema “….mlipokuwa watumwa wa dhambi…..”warumi 6:17,20 , hofu ni dhambi ambayo inatuweka katika utumwa , utahofia kila kitu , kila mtu n.k. 
VYANZO VYA HOFU 


Kutokuwa na mwongozo wa Roho mtakatifu!

Photo: INJILI BARABARANI

Kukosa mwongozo wa Roho mtakatifu kutakufanya ukose uhakika wa pale unapoelekea na ndio maana Yesu alisema “lakini mtakapo pelekwa pelekwa, msifikiri fikiri mtakayo sema , maana mtapewa saa ileile mtakayosema ,. Kwa maana si ninyi msemao bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu” Mathayo 10:19-20 , kukosa mwongozo wa Roho kuna mletea mtu hofu na kushindwa kuamua.

Kutokufunga na kuomba

Mtu asiyeishi maisha ya maombi anakuwa na imani dhaifu, ambayo inasababisha hofu, tunajifunza Yesu alipoona mateso anayoyaelekea kuwa ni mazito sana, akachukua hatua ya kuomba Yesu alijua hofu ni dhambi na kuyaogopa mateso ni dhambi akaamua kushindana dhambi hiyo hadi kutoa machozi ya damu, biblia inasema “hamjafanya vita hata kumwagika damu, mkishindana na dhambi” Waebrania 12:4, Yesu alipambana kuishinda dhambi ya hofu! Lazima tupambane na hofu!

Kutokusoma na kutafakari neno la Mungu


 

Mtu asiyesoma neno la Mungu imani yake inakuwa ndogo, ambayo haijalishwa neno la kutosha, mfano wa Petro, alimwona Yesu anaelea kwenye maji akataka kumfuata Yesu akamwambia njoo, katikati akaona shaka akataka kuzama sasa angalia maneno ya Yesu “Mara Yesu akamshika mkono akamwambia , Ewe mwenye imani haba , mbona uliona shaka” uhaba wa imani unasababishwa na upungufu wa maneno ya Mungu, ukisoma neno la Mungu unaikuza imani yako na kwa kutafakari unaimarisha ulichoingiza! Hapo hofu itakosa nafasi kwako kabisa!

Kitokuwa na Iman


Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo , ni bayana ya mambo yasioonekana kwa macho. Kutokuwa na imani ni kutokuwa na uhakika wa mambo ya tarajiwayo, hii ni sababu moja wapo ya hofu kama tulivyoona hapo juu. Watu wengi wameishi kwenye mateso kwasababu ya hofu yamkini hata wanaomwamini Yesu kristo! Hii ni kukosa imani na kuishi maisha yasiyoya imani ni dhambi mbele za Mungu! “kwa kuwa tendo lolote lisilotoka katika imani ni dhambi” 1kor 14:23

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.