CHANGIA MADAWATI OKOA IRINGA NA KIZAZI CHA BADAE | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Monday, April 25, 2016

CHANGIA MADAWATI OKOA IRINGA NA KIZAZI CHA BADAE

SERIKALI MKOANI IRINGA YADHAMIRIA KUMALIZA KADHIA YA UPUNGUFU WA MADAWATI

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi Amina Masenza amewaomba wakazi wa Mkoa huo waishio Dar es salaam kujitokeza kwa wingi tarehe 4/05/2016 kuanzia saa 9:00 Alasiri kwenye Ukumbi wa External Jijini humo kwa muktadha wa kuchangia madawati.

Binafsi Naomba Iringa na Tanzania kwa ujumla kujitokeza na kumuunga mkono mkuu huyu wa Mkoa Mwenye dhamira ya dhati kabisa kumkomboa mwanafunzi wa Kitanzania anayeketi chini ilihali anayaandaa maarifa ya kulitumikia Taifa lake.

Wote tunafahamu kuwa mtoto ni mtu mzima anayekua na elimu ndio msingi wake mkuu wa uimara wa mafanikio kimtazamo na kiuchumi pia.

Kwanza nampongeza mkuu wa Mkoa kwa dhati kabisa kuamua uchangiaji huu ufanyike kwenye ukumbi wa kanisa la Maisha ya Ushindi kitendo cha kufanyia kanisani tu kinaleta baraka kwa kila atakayeshiriki jambo hili muhimu, serikali ya Iringa na Taifa vitamtambua kwa dhamira yake ya dhati zaidi sana Mungu wa mbinguni ataongeza maradufu kile ulichokitoa.

Kujitokeza kwako na kuchangia ni kukubali kuifanya Iringa kuwa ya Mfano lakini kumfanya mtoto kuamini kama wazazi na walezi wa kitanzania ni tunu kwa Taifa hivyo naye ana deni kubwa la kulitumikia Taifa na vizazi vijavyo hapo baadae.

HONGERA SANA MAMA MASENZA
HONGERA PIA KWA Iringa DC Mr Kasesela Naamini mnashirikiana vyema na wakazi wa Iringa kuitambulisha Iringa.

Changia Madawati, Okoa Iringa na kizazi cha  Baadae

Credit to
Canal Mathias

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.