Kanuni za Kibiblia za Uchumi | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Tuesday, October 11, 2016

Kanuni za Kibiblia za Uchumi




Kutumia vyema fedha ambazo Mungu ametupa ni changamoto kubwa katika maisha. Kumbuka kuwa tutatoa hesabu ya vile ambavyo Mungu ameviweka mikononi mwetu. Ni jukumu letu kufanikisha maisha yetu kwa zile fedha ambazo Mungu ametupa, kila mkristo ni lazima ahakikishe anafanikiwa katika suala la uchumi kwa utukufu wa Mungu.
Kuna mambo matatu inabidi tuelewe
  1. Fedha ni muhimu katika maisha yetu
  2. Mipango ya matumizi ya fedha ni muhimu kuliko fedha zenyewe
  3. Dhamira na nia yako ya kutumia vizuri fedha zako ni muhimu zaidi katika uwakili wako wa fedha
Mwandishi mmoja alisema kuwa katika fedha zetu, mali, muda, vipawa na nafasi zetu Mungu ameandika ‘Tumia hadi nitakapokuja’, hapa inamaana sio vyakwetu bali Mungu ametuazima kwa kitambo tu.
Mafanikio yanakuja unapokuwa na mtazamo sahihi
1.Jitoe kikamilifu kwa Mungu
Mungu alimbariki Abraham kwa sababu alijitoa kikamilifu kwa Mungu, akaacha nchi  yake na kwenda kule Mungu alipomwambia aende bila kujua aendako. Mwanzo 13:12-18.
Ebrania 11:8-10  8Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende kwenye nchi ambayo Mungu angempa kama urithi. Naye aliondoka akaenda ingawa hakujua aendako. 9Kwa imani aliishi kama mgeni katika nchi ya ahadi. Aliishi katika nchi ya ugenini katika mahema pamoja na Isaki na Yakobo ambao pia walikuwa warithi pamoja naye wa ahadi ile ile. 10Maana alikuwa akitazamia mji wenye misingi ya kudumu ambao umebuniwa na kujengwa na Mungu mwenyewe
Mafanikio yanapatikana katika kujitoa miili na nafsi zetu kwa Mungu, pale tunapotambua kuwa tunaishi kwa ajili yake na yatupasa kwanza kuyafuata mapenzi ya Mungu katika kila sehemu ya maisha yetu.
Warumi 6:13 13Msikubali kutoa sehemu yoyote ya miili yenu itumike kama vyombo vya uovu kutenda dhambi. Bali jitoeni kwa Mungu kama watu waliotolewa kutoka katika kifo wakaingizwa uzimani. Pia toeni sehemu zote za miili yenu zitumike kama vyombo vya haki.
2. Kabili majukumu yako na wajibu wako
Fanya kazi yako kwa uaminifu na kwa kuijali. Mungu amekupatia kazi / biashara ili uweze kujipatia kipato, yakupasa kuifanya kwa moyo wako wote na uwezo wako wote.
1Kor 10:31-32 31Basi, lolote mfanyalo, kama ni kula au ni kunywa, fanyeni mambo yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu. 32Msiwe ki wazo kwa Wayahudi au kwa Wagiriki, au kwa kanisa la Mungu
Vile vile lazima uwe makini katika matumizi yako ya fedha. Huwezi kufanikiwa kama kile kidogo ulichionacho hukitumii kwa busara na kwa kuwajibika..
Mithali 10:4
Mithali 22:29

Mafanikio huja unapofunguka toka kwenye makosa ya kiuchumi
1.Kutokuwa na maana sahihi ya kuweka akiba
Huwezi kuiita akiba kama fedha hizo ni kwa ajili ya matumizi ya wakati huu. Fedha iliyohifadhiwa ni fedha inayowekwa kwa ajili ya mahitaji ya baadaye nay a dharura na sio kwa ajili ya mahitaji ya kila siku. Fedha iliyohifadhiwa hukuelekea wakati fedha inayotumika huelekea mbali na wewe.Lazima utofautishe hela unayoiweka akiba na hela unayoitumia, kuweka hela kwa ajili ya harusi au manunuzi fulani sio akiba.Akiba ni hela ambayo hauitumii wala kuipangia mipango kwa sasa, unaweka kwa ajili ya yatakayotukia maana hatujui ya kesho.

2.Kushindana na wengine
Watu hutumia fedha sio kwa sababu wanamahitaji muhimu bali ni ili wawe sawa na wengine, waende na wakati wasije wakaonekana wabahili au washamba. Unaweza ukawa na uhitaji wa gari au simu, jiulize je unayoinunua ni kweli ndio hitaji latko au unataka uonekane nawe umo japo uwezo wako haufikii hapo? Watu wako tayari kuingia kwenye madeni ili mradi washindane na wengine katika kumiliki vitu vya gaharma.
Kiburi cha kutaka kuonekana kinawafanya watu kuishi kwa madeni bila akiba yoyote, yote hii ni kutaka kuonekana kwa watu kuwa unafehda za kutumia.
1 Tim 6:10 10Maana kupenda fedha ni chanzo cha uovu wote. Tamaa ya fedha imewafanya wengine watangetange mbali na imani na kuteseka kwa huzuni nyingi
Yatukasa kuwa mkweli na nafsi yako, kubali hali yako na tafuta njia halali za kujikwamua na sio kujidanganya na kujikweza. Tambua uwezo wako na avikwazo vyako kiuchumi na kasha tafuta njia ya kujikwamua na sio kutafuta kujilinganisha na wengine na kujidai huoni vikwazo vyako.

3. Kuahirisha mipango yako mara kwa mara
Adui mkubwa wa mafanikio ni kusitasita na kuchelewa. Tunapanga mambo mengi sana kwa ajili ya maisha yetu ila tunakwamishwa na kusitasita na kuchelewa kuyatekeleza. Kila unapotaka kuchukua hatua unaona ngoja ufikirie ena na uangalie hali inakwendaje, hatimaye siku, miezi, miaka inakatika wewe upo pale pale. Unapoona tayari umeshaazimia moyoni mwako usikubali kuahirisha kila mara, chukua hatua ili iweze kufanikisha maisha yako.
Ubarikiwe

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.