UWANJA UNAOWAUA WAHUBIRI | Apostle Darmacy Blog MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 | Apostle Darmacy Blog

APOSTLE DAMAS

Breaking News

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Thursday, February 23, 2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 24,2017 

 

Goo

 

Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 
About Muses Radio Player...
Version 2.1 (html5)

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.
-->

Tangaza nasi

Breaking News
Loading...

Soma App

Soma App
DOWNLOAD Somaapp NOW!

Gospel Awards

Gospel Awards
GOSPO AWARDS ni tuzo maalum zilizoanzishwa na kampuni ya Gospo Media kwa waimbaji, wanamuziki, na wataarishaji wa muziki wa Injili walioweza kufanya vizuri kupitia tovuti ya gospomedia.com, mitandao ya kijamii, radio na tv kwa mwaka 2016 kutoka Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.

RSA TANZANIA

RSA TANZANIA
RSA ni kifupi cha maneno ROAD SAFETY AMBASSADORS ikiwa na maana Mabalozi wa Usalama Barabarani.

Radio Sayuni

ASAS Dairies LTD

Soma BIBILIA

Soma BIBILIA

Monday, February 24, 2014

UWANJA UNAOWAUA WAHUBIRI

UWANJA UNAOWAUA WAHUBIRI TANZANIA WAPATA TIBA 

Yawezekana umewahi kusikia maneno zamani au hata leo kwamba kuna eneo fulani haliingiliki kirahisi kwasababu ya matambiko ama nguvu za giza zilizoko katika eneo hilo ama mkoa huo. Moja ya maeneo hayo amabyo yamepata tiba ni Handeni huko mkoani Tanga ambako timu ya The Voice of Hope ministries chini ya mkurugenzi wake mchungaji Peter Mitimingi wanawasha moto wa injili.

Baadhi ya umati wa watu waliofika mbele kumkabidhi Yesu maisha yao.


Chini ni maelezo ya mchungaji Mitimingi akieleza kuhusiana na eneo wanapofanya mkutano kwamba wahubiri watatu waliaga dunia....
Hapa ni Handeni Tanga wa Wazigua
Uwanja huu unahistoria ya kuangusha wahubiri jukwaani na kufa.
Wameshakufa wahubiri 3 na maagano yamefanyika kwa miaka mingi kwamba hapa kijijini hakutakuwa na kuristo wala mtu yeyote kuhubiri na atakaye thubutu atakwenda chini futi 6. Tuliposikia hayo majigambo ya adui tukasema lazima tupeleke kikosi cha makomandoo wa Yesu kupitia VHM kwenda kumaliza mzizi wa fitina.
Tulipoanza tu wazee walitengeneza mvua ya radi uwanjani kumdondosha mwinjiristi lakini kama Bwana Aishivyo leo ni siku ya 9 tunakandamiza kwa kwenda mbela na mavuno sio ya kubahatisha HADONDOKI MTU HAPA WALA HAFI MTU HAPA WALA HAKUNA CHA MAFUA WALA NINI chezea nguvu za Yesu aliye hai.

Wakina mama wakimsifu Mungu licha ya mvua kubwa.

Makomandoo wa Yesu wakifanya kazi ya kumtukuza muumba wao.


Hata watoto hawakutaka kupitwa na neema ya neno la Mungu.



Mchungaji Peter Mitimingi akicheza mbele ya Mungu wake.



Moja ya hirizi iiliyosalimishwa na watu waliokuwa wakitenda vitendo vya kishirikina

Anthony DarmasyAnthony DarmasyAnthony Darmasy
Source Logo




Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

 

NURU MINISTRY

PURE MISSION

PURE MISSION
MAPINDUZI YA FIKRA

Apostle Damasy

Apostle Damasy

Emare Arts Collection - E.A.C

Emare Arts Collection - E.A.C
Sw: Karibuni kwa ununuzi wa picha za kitamaduni ili kukuza Sanaa ya nyumbani, kupitia 0625 927 752 au 0758 576 065, Bei ni nzuri, Asanteni! ******* Eng: Welcome for purchasing different Africultural Arts, as to boost the market of African cultural products via the numbers 0652 927 752 or 0758 576 065. The prices are affordable, Thank you!

ABC Studio Mwanza

ABC Studio Mwanza
Photograph,Video shooting & all Printing works +255756143999, +255658720091, We are located at New Post Office Pamba Road & Nyerere Road, Mza Tz www.facebook.com/abcmwanza,www.youtube.com/abcstudiomwanza
apostledarmasy. Powered by Blogger.